Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,050
- 15,769
Inaendaje?Haiendi hivyo.
Inaendaje?Haiendi hivyo.
Sio wanahisi raia hawana akili bali wao ndio hawana akiliYaani haya majibu ya polisi yananifanya nielewe polisi wanahisi raia akili hatuna.Babake marehemu kasema kawaida tukio la kujinyonga ilibidi apigwe picha au ndugu aitwe kushuhudia .lkn yote hayo hayakufanyika.Na bado tuwaamini marehemu alijinyonga tena mbaya zaidi na tambara la deki?Tena akiwa mahabusu. GetHilo tambara la deki lenye urefu wa kutosha kujinyonga na uimara wa kubeba mtu mzima let say kg 70 ni la aina gani?
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Na unategemea atakuacha salama wakatiushajua siri?Penye haki utalindwa still bado sio final zipo mamlaka zinazoshughulika na uonevu wa viongozi.Kama imesimama kwenye haki unasikilizwa na haki yako hazipotei.
Nadhani wengi sababu ya kutokujua sheria za Kazi na haki zao kazini.
Unayo haki ya kugomea amri binafsi ya kiongozi wako kama Ina kiuka maadili.
Mengi tutasikia. R.I.P HashimPolisi wengine ni shida sana. Subiri upate tatizo ndio utawajua vizuri polisi. Yaani sishangai kusikia haya yanayoendelea. Kuna wengine wana roho mbaya sana
Hilo halikuwa tambara la deki bali tambara la kamba maana michubuko ilikuwa ya kamba na nijuavyo kamba haiwezi kuwa tambara la deki"Ndugu yetu aliitwa wakati marehemu alishapelekwa hospitali ya Ligula na akaoneshwa michubuko akielezwa ni ya kamba, kisha akaambiwa ni ya tambara la deki, hivi mahabusu ya jeshi kuna tambara la deki?" Gaitan Mahembe, baba mzazi wa Greyson Mahembe, askari anayedaiwa kujinyonga https://t.co/1ezV2Sk4KQ
Ukifanya kosa,unategemea ufanye kosa ili ukwepe makosa?Haipo hivyo,labda utokee utendaji wa makosa kukwepesha wahalifu kukutwa na makosa.Inaendaje?
Jeshi la polisi lifumuliwe upya, kuna uozo mwingi sana wa mauaji, utekaji na utesaji wa raia, weledi wao ni finyu na mbinu zao ni za kitoto sanaAkiongea na Azam News, Baba mzazi wa askari aliyejinyonga anasema hajaridhishwa na taarifa za kifo cha mwanae!
Anasema alipigiwa simu na kuambiwa mwanao tumpeleke akazikwe wapi? Akawaambia mleteni nyumbani kwangu Tabata, Dar Ea Salaam...
Uchunguzi huru unahitajika, ila kwa Tanzania sioni kama kuna lolote litafanyika, litapita na tutakaa kimya maisha yataendeleaHii ndo point lengo lao ilikuwa ni kupoteza ushahidi
Ukiua kwa upanga utauawa kwa upanga, inashangaza kwamba askari anashindwa kusimamia ethics za kazi yake anakubali kutumwa kuua raia wasio na hatia....halafu leo tunaambiwa amejiua kwa tambara dekiASKARI ALIYESHTAKIWA KWA MAUAJI AJINYONGA MAHABUSU KWA TAMBALA LA KUDEKIA...
Hapo sasa, anakubali kutoa uhai wa mtu, sasa nae amejitoa uhai, damu ya mtu haijamuacha salama, na itawamaliza wote waliohusika ni suala la muda tuKama alitumwa kuuwa na akakubali huo ni upumbavu wake.
Kwani angegoma angefukuzwa Kazi?
Hata wasipokuacha salama Siri haifichi.Na unategemea atakuacha salama wakatiushajua siri?
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kwani mazingira ya kifo chake kinaonyesha alijitundika au pio lupango hawewezi tolea maelezo juu ya hilo ndiyo maana wameshikilia hilo la kujiuaAkiongea na Azam News, Baba mzazi wa askari aliyejinyonga anasema hajaridhishwa na taarifa za kifo cha mwanae!
Anasema alipigiwa simu na kuambiwa mwanao tumpeleke akazikwe wapi? Akawaambia mleteni nyumbani kwangu Tabata, Dar Ea Salaam...
Criminal law principle: kwenye kesi za accessories/accomplices: mtenda kosa mkuu yaani mshitakiwa mkuu asipopatikana na hatia kwa sababu iwayo yeyote, wale watuhumiwa wengine wanakuwa hawana hatia kwa sababu ikiwa mashtaka ni kula njama na kuua, halafu mtendaji mkuu hajapatikana na hatia ya kuua, basi haiwezekani uwakute washiriki na hatia ya kosa ambalo halijathibiyishwa.Ukifanya kosa,unategemea ufanye kosa ili ukwepe makosa?Haipo hivyo,labda utokee utendaji wa makosa kukwepesha wahalifu kukutwa na makosa.
Unaelezaje watuhumiwa kuachiwa,halafu kudakwa upya nje ya mahakama ili mbilinge ianze upya?Criminal law principle: kwenye kesi za accessories/accomplices: mtenda kosa mkuu yaani mshitakiwa mkuu asipopatikana na hatia kwa sababu iwayo yeyote, wale watuhumiwa wengine wanakuwa hawana hatia kwa sababu ikiwa mashtaka ni kula njama na kuua, halafu mtendaji mkuu hajapatikana na hatia ya kuua, basi haiwezekani uwakute washiriki na hatia ya kosa ambalo halijathibiyishwa.
Rejea kesi ya akina Zombe. Saadi ambaye alifyatua risasi alifariki kabla ya hukumu. Na zombe akaponea hapo maana mshirika wake hakupatikana na hatia