Baba mzazi hataki binti yake aolewe

Katika kanisa ninalosali kuna Baba mzazi mmoja Ana binti yake wa kwanza, japo mama wa binti huyo alifaliki baada ya kumzaa binti huyo. Baba akaoa mwanamke mwingine.

Hila huyo binti anamiaka 36 hivi Sasa. Na Ni mwalimu wa chekechekea. Shida Ni kwamba Baba mzazi hataki binti yake aolewe kabisa. Binti akipanda mtu akienda kumwambia Baba yake , Baba anajibu "sitaki kujua kuhusu hayo Mambo na usiniambie Tena hebu toka hapa" kamfanyia hivi Mara kadhaa tuu Hadi binti analia inafika kipindi analia.

Miaka Kama 4 Nyuma alitengeneza mahusiano, na kijana mmoja kanisa huyo kijana Kaka Yale tunasalinae hapa hapa kanisani na Kaka Yale ameoa.

Binti na kijana walipenda sana ikafika mpaka kipindi kanisa Zima wakajua mapaka baba yake, japo Baba yake hakusema chochote, binti alikuwa anaenda mapaka kwenye geto la jamaa kufanya usafi na kumsaidia Baadhi ya kazi nyumbani kwake, na ikafika hatua wakakubaliana wafunge ndoa. Shida ikafika namna ya kwenda kwa mzee wake.

Wakaamua kwenda kwa uongozi wa kanisa kuomba waandae utaratibu wa kwenda kwa Baba yake KUPITIA Mwamvuli wa kanisa. Kanisa likaamua kuchugua wazee wakanisa Kama 3 wanaoeshimika kanisani waende kwa mzee. Kijana akandaa barua ya posa na wazee wakaenda.

Walipo fika nyumbani kwa wakakalibishwa vizuri sana na vinywaji juu. Wakaongea na kueleza kilicho wapeleka, mzee akawajibu kuwa "Nani aliyewahambia kuwa Mimi ninaoza binti na sijatangaza binti yangu alitewe posa, sitaki kusikia kuhusu haya Mambo hebu tokeni hapa sitaki kuwaona tokeni tokeni" wazee wabusara wakandoka na kurudisha taarifa.

Binti yule alivyorudi home mzee wake hakusema chochote alinyamaza tuu mapaka leo , na binti mara nyingi akimwambia Baba nimepata mchumba mzee hapana sitaki kusika.

Washiriki wa kanisa walisema Sana juu ya iyo ishu , mpaka shemeji Yale "mke wa Kaka yake" alilalamika Sana na akasema Wenda akawa anamtaka au anatembea na binti yake.

Kijana alipata mchuba mwingine na akafunga ndoa kanisani na ukumbi nje ya kanisa na ilikuwa Ni mzuri Sana watu walikula na walifurahi , yule binti hakuja kwenye ndoa.

Hivi sababu gani inaweza kupelekea Baba mzazi kukataa binti Yale asiolewe shida Ni Nini wakuu.
Karibuni......
Mwambieni huyo sista alengeshe mimba
 
Ok umeenda serikalini,
Ila kumbuka Muanzilishi wa Ndoa Ni MUNGU.
Mambo ya imani weka pembeni; chakula cha mungu ni sala, na cha binadamu ni sadaka; ndoa ni makubaliano ya watu wawili, mke na mume, na si wazazi. Tunashirikisha wazazi ili pale majanga ya kifamilia yakitokea, kuwepo na utulivu. Mfano binti kufariki n.k
 
chinician, post: 43216708, member: 668907"]
Ninavyofahamu Mimi mkuu Baba wa binti akiwepo hai ndie anayetoa kibali kwamba mwanae ndo aoelewe. Na yeye ndio anayeoza, Kama kashafariki anachaguliwa mtoto wa kiume katika familia, mbali na hapo mnaenda kwa Baba mkubwa au Mdogo.
Sasa hao wanaofunga ndoa bila upande mmoja kutokuwepo , sijui wao maana ya kuoa wanaielewaje.
[/QUOTE]
Wamekosea na ndoa hiyo ni batili kwa mujibu wa sheria
Sheria ipi? Kwa DC wanafuata sheria pia.
 
chinician, post: 43216708, member: 668907"]
Ninavyofahamu Mimi mkuu Baba wa binti akiwepo hai ndie anayetoa kibali kwamba mwanae ndo aoelewe. Na yeye ndio anayeoza, Kama kashafariki anachaguliwa mtoto wa kiume katika familia, mbali na hapo mnaenda kwa Baba mkubwa au Mdogo.
Sasa hao wanaofunga ndoa bila upande mmoja kutokuwepo , sijui wao maana ya kuoa wanaielewaje.
Sheria ipi? Kwa DC wanafuata sheria pia.[/QUOTE]Download Sheri af usome
 
chinician, post: 43216708, member: 668907"]
Ninavyofahamu Mimi mkuu Baba wa binti akiwepo hai ndie anayetoa kibali kwamba mwanae ndo aoelewe. Na yeye ndio anayeoza, Kama kashafariki anachaguliwa mtoto wa kiume katika familia, mbali na hapo mnaenda kwa Baba mkubwa au Mdogo.
Sasa hao wanaofunga ndoa bila upande mmoja kutokuwepo , sijui wao maana ya kuoa wanaielewaje.
Sheria ipi? Kwa DC wanafuata sheria pia.[/QUOTE]Kusiwe na Pingamizi: Kabla ya ndoa kufungwa ni lazima tangazo litolewe juu ya kusudio la kufunga ndoa, na ndoa hiyo haitafungwa iwapo kutakuwa na pingamizi halali kutoka kwa mtu mwenye haki ya kufanya hivyo

Ambapo pingamizi inamuhusisha mzazi Kama hajalizia ndoa kufungwa hiyo na awe na Sababu zenye mashiko lakini pia pingamizi haijamzuia mtu yeyote yule kupinga ndoa hiyo
 
Katika kanisa ninalosali kuna Baba mzazi mmoja Ana binti yake wa kwanza, japo mama wa binti huyo alifaliki baada ya kumzaa binti huyo. Baba akaoa mwanamke mwingine.

Hila huyo binti anamiaka 36 hivi Sasa. Na Ni mwalimu wa chekechekea. Shida Ni kwamba Baba mzazi hataki binti yake aolewe kabisa. Binti akipanda mtu akienda kumwambia Baba yake , Baba anajibu "sitaki kujua kuhusu hayo Mambo na usiniambie Tena hebu toka hapa" kamfanyia hivi Mara kadhaa tuu Hadi binti analia inafika kipindi analia.

Miaka Kama 4 Nyuma alitengeneza mahusiano, na kijana mmoja kanisa huyo kijana Kaka Yale tunasalinae hapa hapa kanisani na Kaka Yale ameoa.

Binti na kijana walipenda sana ikafika mpaka kipindi kanisa Zima wakajua mapaka baba yake, japo Baba yake hakusema chochote, binti alikuwa anaenda mapaka kwenye geto la jamaa kufanya usafi na kumsaidia Baadhi ya kazi nyumbani kwake, na ikafika hatua wakakubaliana wafunge ndoa. Shida ikafika namna ya kwenda kwa mzee wake.

Wakaamua kwenda kwa uongozi wa kanisa kuomba waandae utaratibu wa kwenda kwa Baba yake KUPITIA Mwamvuli wa kanisa. Kanisa likaamua kuchugua wazee wakanisa Kama 3 wanaoeshimika kanisani waende kwa mzee. Kijana akandaa barua ya posa na wazee wakaenda.

Walipo fika nyumbani kwa wakakalibishwa vizuri sana na vinywaji juu. Wakaongea na kueleza kilicho wapeleka, mzee akawajibu kuwa "Nani aliyewahambia kuwa Mimi ninaoza binti na sijatangaza binti yangu alitewe posa, sitaki kusikia kuhusu haya Mambo hebu tokeni hapa sitaki kuwaona tokeni tokeni" wazee wabusara wakandoka na kurudisha taarifa.

Binti yule alivyorudi home mzee wake hakusema chochote alinyamaza tuu mapaka leo , na binti mara nyingi akimwambia Baba nimepata mchumba mzee hapana sitaki kusika.

Washiriki wa kanisa walisema Sana juu ya iyo ishu , mpaka shemeji Yale "mke wa Kaka yake" alilalamika Sana na akasema Wenda akawa anamtaka au anatembea na binti yake.

Kijana alipata mchuba mwingine na akafunga ndoa kanisani na ukumbi nje ya kanisa na ilikuwa Ni mzuri Sana watu walikula na walifurahi , yule binti hakuja kwenye ndoa.

Hivi sababu gani inaweza kupelekea Baba mzazi kukataa binti Yale asiolewe shida Ni Nini wakuu.
Karibuni......
..Anamla Binti Yake huyo....
 
Sheria ipi? Kwa DC wanafuata sheria pia.
Kusiwe na Pingamizi: Kabla ya ndoa kufungwa ni lazima tangazo litolewe juu ya kusudio la kufunga ndoa, na ndoa hiyo haitafungwa iwapo kutakuwa na pingamizi halali kutoka kwa mtu mwenye haki ya kufanya hivyo

Ambapo pingamizi inamuhusisha mzazi Kama hajalizia ndoa kufungwa hiyo na awe na Sababu zenye mashiko lakini pia pingamizi haijamzuia mtu yeyote yule kupinga ndoa hiyo
[/QUOTE]
Ahaa kumbe pingamizi ni mtu yeyote Yule iwapo pingamizi hilo Lina MASHIKO!
 
Kusiwe na Pingamizi: Kabla ya ndoa kufungwa ni lazima tangazo litolewe juu ya kusudio la kufunga ndoa, na ndoa hiyo haitafungwa iwapo kutakuwa na pingamizi halali kutoka kwa mtu mwenye haki ya kufanya hivyo

Ambapo pingamizi inamuhusisha mzazi Kama hajalizia ndoa kufungwa hiyo na awe na Sababu zenye mashiko lakini pia pingamizi haijamzuia mtu yeyote yule kupinga ndoa hiyo
Ahaa kumbe pingamizi ni mtu yeyote Yule iwapo pingamizi hilo Lina MASHIKO![/QUOTE]Ndio labda Dada anaeolewa alikuwa mkeo na hujampa taraka au kaka anae funga ndoa ana ndoa nyingine na hajatoa talaka
 
Ahaa kumbe pingamizi ni mtu yeyote Yule iwapo pingamizi hilo Lina MASHIKO!
Ndio labda Dada anaeolewa alikuwa mkeo na hujampa taraka au kaka anae funga ndoa ana ndoa nyingine na hajatoa talaka
[/QUOTE


MKUU MIMI SWALI LANGU BADO NI LILE LILE BINTI ANAWEZA KUOZWA PINDI BABA MZAZI AJAKUBALI NA YUPO HAI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom