Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Huyu ndiye baba mwenye umri mdogo kuliko wote duniani akiwa na mke wake.
Mtoto Face Alfie, ambaye ana miaka 13 (kushoto)ndie baba mdogo kuliko wote duniani. Yeye pamoja na rafiki yake wa kike Chantelle Steadman (15) (kulia) kutoka Sussex County nchini Uingereza waliamua kumzaa Maisie Roxanne mwenye ratili 7 katikati.