Baba Mkwe wangu ananitishia NISHAURINI

Baba Mkwe wangu ananitishia NISHAURINI

...Duh! Mkuu Paka Jimmy, hayo Masharti unayodhani Jamaa kamuwekea Mkewe...!!! Ngoja kwanza niendelee Kuvunjika Mbavu..!!!😛ound:😛ound:
 
Tafuta jamaa yoyote kutoka mkoa wa Mara akuonyeshe jinsi ya kuishi na mkeo.Mkeo hana tatizo ila wewe mwenyewe tu, kiburi, ubabe na jeuri aliyonayo unailea wewe mwenyewe.Mpe kichapo cha nguvu pamoja na orgasm la nguvu mbona atakuwa mtiifu.Yaani na kushangaa kumrudisha mke nyumbani kwa kakosa kama hako.Kosa kubwa kwa mwanamke ni uzinzi na ushirikina tu mwengine kama mwanaume unatakiwa kuyasolve bila hata kuwashirikisha watu.
 
Vp kwa upande wa mke yeye anareact vp je anatoa maelezo yoyote ya kukuplease au yuko kmya tu?

Kwa sababu anataka aonekane hana kosa haswa mbele ya wazazi wake anajitahidi kuonyesha kuwa reaction ya wazazi ni yao binafsi asihusishwe jambo ambalo ni la kisanii sana na haiwezi kuwa kweli
 
Nakushauri mtafutie bi mdogo kuongeza ushindani,mimi sasa hivi nimeamini kuwa ukitaka kujua tabia ya binti fuatilia tabia ya mama mzazi ama mlezi![/QUOTE]
Kwa hali kama yangu usemalo halina ubishi

Mama anaishi naliendele/bukoba/kigoma/tarakea....etc binti umekutana nae JIJI la rakha (DSM) utaenda mchunguza mama ake saa ngapi huko kijijini
 
Ngoja tujaribu kuvaa uhusika wa hao wazazi; fikiria wewe Mwana Kwetu mwanao ameolewa na kuishi na mume miaka 10 hujasikia malalamiko yoyote kutoka kwa mkwe wako. Ghafla unashangaa binti yako anarudishwa kuja kujifunza adabu bila maelezo yoyote kutoka kwa mkweo; elewa hapo binti ni lazima avutie kwake! Je wewe ungekubaliana na hilo? usingehamaki na kutoa vitisho? nani angependa kurudishiwa binti aliyeshindana na mumewe? Wao hawakutakiwa waanze kukuhoji wewe matatito ya mtoto wao kwa kuyasikia pembeni; Wewe pia ulitakiwa uende kuongea na wakwezo mapema kuhusiana na tabia za mkeo. Siwatetei kwamba sio wakorofi ila najaribu kukuonyesha hata wao wanakuona wewe mkorofi.


Nilishawaeleza twice mara ya kwanza walielewa na kumwonya na mara ya pili pia
 
...Duh! Mkuu Paka Jimmy, hayo Masharti unayodhani Jamaa kamuwekea Mkewe...!!! Ngoja kwanza niendelee Kuvunjika Mbavu..!!!😛ound:😛ound:

Mkuu kuna watu wamekulia kwenye maisha ya kanuni kutoka kwa wazazi wao,wengine wamepata kanuni wakiwa kwenye mafunzo mathalan shule na wengine labda kwenye military training na wengine makazini!

Kosa wanalolifanya ama niseme tunalolifanya wanaume wengi kwa makusudi ama kutojua ni kufikiri baada ya kulipa mahari ndiyo umemnunua binti wa watu kwa ujumla na kwamba akifika kwako ni lazima afuate prinsiple ulizojiwekea...ni kosa kubwa sana kwa kuwa victim atakuwa wewe mwenyewe so far mkeo atakuwa anaishi nje ya kanuni zako!

Sio jambo rahisi kwa watu wawili mliozaliwa na wazazi tofauti,mkakukia kwenye mazingira tofauti,tena kwa malezi totauti kukosa kasoro mbili tatu. Muhimu si kufukuza bali kujua nini cha kuacha wewe ama kujiongeza ili walau muendane kwa maana ukianza kukosoa sana mwishowe nawe utajikuta unajikosoa!
 
Kabla ya kumrudisha kwao ulishazungumza na wakwe zako? Kumrudisha mke wako kwao ni dalili mbaya kama bado una nia ya kufanya mazungumzo na isitoshe mda wote huo wazazi wako ndio walokuwa waamuzi! Ni vipi kama wakifikiri mlikuwa mkifanya maamuzi ya upande mmoja?
 
Ni wiki imepita tangu nimrejeshe kwao wife kwa mara ya kwanza tangu tuoane miaka 10 iliyopita kutokana na kutozingatia makubaliano tunayowekeana kama couple na jeuri
NISAIDIENI BUSARA ZA KU REACT!!!!

Kwani mmewekeana masharti gani?
 
Nyie wote mna mfumo dume!

Cha msingi hapa ni kumuuliza huyu mleta mada,,,,Je ni mambo gani ambayo yeye yuko deficient nayo?

Mleta mada utakuwa na tatizo serious ambalo wewe binafsi hujalisema hapa, au la hutaki kulisema hadharani, na hiyo itafanya wachangiaji washindwe kutoa fair decision au rule out!

Je huyo mwanamke anaanza spontaneously kufanya kiburi bila kisababishi?...sema unachomfanyia bana!

Nilivyokusoma we jamaa unaonyesha kwamba una MASHARTI MAZITO sana unayomwekea mkeo, na ndiyo maana wazazi wake wameona hiyo haitafaa kuendelea!

Jichunguze upande wako, kwanini umwekee masharti binadamu ambaye ni mkeo, kama vile unamfuga?

Je yeye amekuwekea MASHARTI?

Nikiangalia kwa uzoefu jambo hili, MASHARTI ndani ya ndoa ni kitu kibaya sana!

Mimi kwa uzoefu wangu nahisi huenda unamwambia mkeo kuwa:

-Mwisho wa kurudi nyumbani kama ulitoka ni saa 11.00 jioni!
-Ukipika wali pima kwa vikombe viwili tu, hata kama kuna wageni!
-Marufuku kuleta ndugu zako hapa!
-marufuku kuleta mashoga zako nyumbani.
-Nikiwa nafika nyumbani hakikisha maji ya kuoga yapo tayari bafuni.
-dozi kutwa mara mbili.
-nikiondoka nyumbani tu hakikisha unazima umeme kwenye saketi-breka!
-na vitu vya namna hiyo!

Kweli kabisa broda kama una masharti ya hivyo, au yanayoendana na hayo ndoa imekushinda, na utaoa hata mara 5 lakini usipobadilika wewe unacheza tu!

WEKA HADHARANI HAPA, MASHARTI UNAYOMPA MKEO HADI WAZAZI WAKE WANAKOSA SUBIRA, NI YEPI HAYO?
Ndoa ni taasisi inayoendeshwa kwa two way traffic na siyo dominant and recessive party!



Yote uliyosema Paka si ya kweli hayapo ndoa yetu ni ya wafanyakazi wasomi hatunaga mambo ya kijinga
 
Ngoja tujaribu kuvaa uhusika wa hao wazazi; fikiria wewe Mwana Kwetu mwanao ameolewa na kuishi na mume miaka 10 hujasikia malalamiko yoyote kutoka kwa mkwe wako. Ghafla unashangaa binti yako anarudishwa kuja kujifunza adabu bila maelezo yoyote kutoka kwa mkweo; elewa hapo binti ni lazima avutie kwake! Je wewe ungekubaliana na hilo? usingehamaki na kutoa vitisho? nani angependa kurudishiwa binti aliyeshindana na mumewe? Wao hawakutakiwa waanze kukuhoji wewe matatito ya mtoto wao kwa kuyasikia pembeni; Wewe pia ulitakiwa uende kuongea na wakwezo mapema kuhusiana na tabia za mkeo. Siwatetei kwamba sio wakorofi ila najaribu kukuonyesha hata wao wanakuona wewe mkorofi.


ni kweli huyu mkosa mada kwanza kaeleza ksi upande mmoja tu halafu anataka tumhukumu mke wake na wazazi wake bila kuwasikia au kueleza matatizo yao kwa kina..

nakubaliana na wewe kwa 100% kuwa huyu jamaa ndiye mwenye matatizo na sio mke wake, na huyo mwanamke anonysha ni mzuri na anaelewana hata na wakwe zake vizuri(wazazi wa mume) na dio mana kwa maelezo ya jamaa huyu mke huwa anakimbilia nyumbani kwa wakwe( wazazi wa mume). Na pia wazazi wa mume wasingemtetea kama kweli huyu binti angekuwa mkorofi kama mleta mada anavyotaka kutuaminisha.

Na ili kuthibitisha kuwa huyu binti ni msafi na huyu jamaa ndio mkorofi ndio maana wazazi wake yeye binti pamoja na wazazi wake yeye kijana wanamtetea. kwa vyovyote vile huyo kijana ndio mwenye matatizo na sio huyo binti. Kumbuka kuwa wazazi wako wwe na wazazi wake yeye wote ni watu wazima wenye busara zao. Haiwezekani wote kwa pamoja kwa nyakati tofauti wamtetee mke wako, ni lazima ww una matatizo.

Na pia kwa nini umlazimishe aende kwao wakati yeye huwa anakwenda kwenu? kwani wazazi si wale wale tu kama mtu ameamua kwenda kwenu kwa nini umzuie na umlazimishe aende kwao. Wewe ndio huna busara kabisa, yaani binti anajaribu kuficha aibu ya magomvi yenu kwa wazazi wake halafu ww unamlazimisha akawasimulie? Hivi ulifikiri wazazi wake wanamchukia binti yao kama wewe? We umepata mke mzuri ambaye anakufichia upuuzi wako kwa kutowaambia ndugu zake ili ndugu zake wasikuchukie. huyu mke anakupenda sana na hataki uonekane mbaya nyumbani kwao, halafu ww unalazimisha uonekane mbaya kwa wakwe? kichwa yako ina matatizo si bure

Na mwisho mambo ya kurudishana nyumbani yamepitwa na wakati, eti nirudi nyumbani nikafanye nini? kha tutabanana hapohapo..hapo sasa badala ya kusove ishu umeitapakaza na kuwa stori ya mtaa.....
 
Ni wiki imepita tangu nimrejeshe kwao wife kwa mara ya kwanza tangu tuoane miaka 10 iliyopita kutokana na kutozingatia makubaliano tunayowekeana kama couple na jeuri, ubabe pamoja na kiburi. Lengo la kumpeleka si kumfukuza bali ili wazazi wamhoji na kumshauri baada ya wazazi wangu kufanya kazi hiyo miaka zaidi ya 9. Wazazi wangu (mwanaume) wamekuwa kimbilio la mke wangu kwa zaidi ya miaka 9 hata pale mkosa anapokuwa ni yeye akiamini wao nitawasikiliza zaidi pale wanapoomba nimsamehe wife. Kwa upande mwingine hajawahi kimbilia kwao licha ya kuwa jirani na tunapoishi kwa kuona ndugu zake watamwona ameshindwa kuishi ktk ndoa. This time nimemwambia aende kwa wazazi wake na then tutaongea mambo yote pale baada ya wiki moja.

Siku mbili baada ya kufika kwao Mama yake kaanza kulaani mimi(mume) kumpa binti yao masharti ya kuishi ktk ndoa na kusema ni marufuku mimi kumpa masharti binti yao. Kwa tone hiyo hiyo siku nne baadaye baba mkwe kanipigia simu KUNITISHIA KWAMBA atamleta KWA NGUVU BINTI YAKE huku mama yake akisema nisipofungua nyumba wakati wa kumleta WATAVUNJA MLANGO WAMWINNGIZE NDANI.

Cha ajabu hawa wazazi wa binti hawajawahi niuliza tuna ugomvi gani, tometofautiana nini bali kunilaumu hata bila kunisikiliza. Hali hii inanifanya niamini kuwa ujeuri, ubabe na kiburi cha binti yao ambaye ni mke wangu kinakuzwa na hawa wazazi wake kwa kutokuwa rational.
Ndugu zangu wanachukulia huu kama udhalilishaji na vita isiyokuwa ya lazima ya ukoo na dharau kwa upande si wa ndugu zangu tu bali hata kwa mume wa binti yao.
NISAIDIENI BUSARA ZA KU REACT!!!!



Sikiliza mafundisho ya ndoa na familia Kiisa Siku jumatatu saa 3 kamili usiku Radio 5, au alhamis saa 3 kamili usiku radio upendo. MUNGU ATAIOKOA NDOA YAKO NDUGU YANGU.
 
muhadisiaji akiwa mmoja habari huwa haikamiliki,embu mlete hewani shem nae atuambie,enasema miaka 9 matatizo yote wazazi wako ndo washurulishi mwaka wa 10 ndo wakweze wakusaidie,inaonyesha hiyo ndo inamigogoro kweli kila mwaka mnagombana kiasi mpaaka muamuliwe?hapa ni zaidi ya uyasemayo mlete shemu nae amalizie upande wa pili, ama sivyo unanifanya niamini tunajadiri kitu tusichokielewa vyema.
 
Kwanza pole sana Mwanakwetu, hata kabla ya kuuliza swali naanza kama mtabiri. Huyu wifi lazima ni binti wa kwanza katika watoto wa mzee huyo, kwa sababu inaonyesha tangu utoto amekuwa akideka sana kwa wazazi wake. Ingekuwa kuna binti ambaye ni dada yake angeangalia maisha ya dada yake katika ndoa na angejirekebisha. Hapo hana sehemu anaweza kuiga maisha ya mtangulizi wake.

Nikisoma mada hii najifunza kitu toka kwa Baba yake kwamba anamchango mkubwa sana kuharibu mwenendo wa mwanae. Uthibitisho wa hili ni pale anapomwambia kuwa atamrudisha kwa nguvu na kwamba hata akishindwa kufungua mlango atauvunja, hii inampa kichwa cha mbuzi binti mwenyewe kwamba safari hii amepata mtetezi wa uhakika. Kitendo cha Baba mkwe kutamka hivyo inaashiria wewe kaka umekuwa tegemeo kubwa kwa familia hii bila wewe kujua. Nasema bila wewe kujua kwasababu huyu wifi inaelekea amekufanya ni kitega uchumi chake.

Mfano:- Ukiona amejaa kiburi ujue amekusanya kiasi kikubwa cha fedha kutoka kwako na hivyo zinampa jeuri. Kujifanya amejirekebisha kwa kipindi cha mwaka mmoja ni pale anapopanda DECI yake na baada ya muda anavuna na kujaa nundu ya kiburi tena.

Watu wa namna hii hujifanya wako busy kuwatembelea ndugu zao, kumbe hapana anatumia muda mwingi kuwatembelea marafiki zake kuwaonyesha uwezo alionao kifedha. Ukali na kiburi chake ni silaha ya kuhakikisha anaendelea kuwa katika hali ya kifedha ili isiwe rahisi kwa marafiki zake kugundua mapungufu yake kifedha. Kwa asilimia kubwa huyu wifi anapotoshwa na marafiki zake, yawezekana kindoa ni mwaminifu japo ni dhaifu wakati mwingine.

Ushauri wangu:-

1. Siku akirejea hapo nyumbani baada ya kufikia suluhu usimpe kiasi kikubwa cha fedha kwani hata katika maandiko kuna maandiko yanasema "Kupenda sana fedha ni chanzo cha uovu wote.

2. Kuna wale ambao Baba anafanya biashara tofauti na mkewe, la msingi hapo ni kuwa na akaunti moja kuleta discipline ya fedha.

3. Itisha kikao upande wako na upande wake wifi mkae pamoja mkishirikisha wazee wenye busara sana wampe maadili binti huyu kizungu mkuti mdandia treni kwa mbele.
 
imenisikitisha sana ishu hii. Pole sana ndg yangu, hiyo ni mitihani katika maisha na mitihani hiyo tumeumbiwa sisi wanadamu. Kaka cha kufanya hapo ni kuwashirikisha ndugu zako wewe wajue vitisho unavyopata kutoka kwa wazazi wa mkeo, (nimekushauri uwashirikishe ndugu zako pia kwa kuwa kwa sasa matatizo yenu sio siri za ndani tena, familia zenu zinayafahamu). Hii itasaidia kwa wao pia kuingilia kati na kukaa pamoja pande zote mbili na kufikia muafaka wa suala hili.
Ni wiki imepita tangu nimrejeshe kwao wife kwa mara ya kwanza tangu tuoane miaka 10 iliyopita kutokana na kutozingatia makubaliano tunayowekeana kama couple na jeuri, ubabe pamoja na kiburi. Lengo la kumpeleka si kumfukuza bali ili wazazi wamhoji na kumshauri baada ya wazazi wangu kufanya kazi hiyo miaka zaidi ya 9. Wazazi wangu (mwanaume) wamekuwa kimbilio la mke wangu kwa zaidi ya miaka 9 hata pale mkosa anapokuwa ni yeye akiamini wao nitawasikiliza zaidi pale wanapoomba nimsamehe wife. Kwa upande mwingine hajawahi kimbilia kwao licha ya kuwa jirani na tunapoishi kwa kuona ndugu zake watamwona ameshindwa kuishi ktk ndoa. This time nimemwambia aende kwa wazazi wake na then tutaongea mambo yote pale baada ya wiki moja.

Siku mbili baada ya kufika kwao Mama yake kaanza kulaani mimi(mume) kumpa binti yao masharti ya kuishi ktk ndoa na kusema ni marufuku mimi kumpa masharti binti yao. Kwa tone hiyo hiyo siku nne baadaye baba mkwe kanipigia simu KUNITISHIA KWAMBA atamleta KWA NGUVU BINTI YAKE huku mama yake akisema nisipofungua nyumba wakati wa kumleta WATAVUNJA MLANGO WAMWINNGIZE NDANI.

Cha ajabu hawa wazazi wa binti hawajawahi niuliza tuna ugomvi gani, tometofautiana nini bali kunilaumu hata bila kunisikiliza. Hali hii inanifanya niamini kuwa ujeuri, ubabe na kiburi cha binti yao ambaye ni mke wangu kinakuzwa na hawa wazazi wake kwa kutokuwa rational.
Ndugu zangu wanachukulia huu kama udhalilishaji na vita isiyokuwa ya lazima ya ukoo na dharau kwa upande si wa ndugu zangu tu bali hata kwa mume wa binti yao.
NISAIDIENI BUSARA ZA KU REACT!!!!
 
Hivi mwanamke hawezi fanya maisha yake bila kuwa kwenye ndoa? Kitendo cha wazazi kutoa vitisho ni kuonyesha jinsi walivyo wadhaifu kwa kutaka kumrudisha haraka kwa mmewe. Wanaona shida gani ya kumuita mkwe wao na kujua nini hasa tatizo linalowakabili.
 
imenisikitisha sana ishu hii. Pole sana ndg yangu, hiyo ni mitihani katika maisha na mitihani hiyo tumeumbiwa sisi wanadamu. Kaka cha kufanya hapo ni kuwashirikisha ndugu zako wewe wajue vitisho unavyopata kutoka kwa wazazi wa mkeo, (nimekushauri uwashirikishe ndugu zako pia kwa kuwa kwa sasa matatizo yenu sio siri za ndani tena, familia zenu zinayafahamu). Hii itasaidia kwa wao pia kuingilia kati na kukaa pamoja pande zote mbili na kufikia muafaka wa suala hili.

Vitisho nimesha vi ripoti polisi dada asante. Kwani siwezi kuwa submissive zaidi ya hapo kiasi cha kudharauliwa na baba mkwe kiasi hicho?
 
Hivi mwanamke hawezi fanya maisha yake bila kuwa kwenye ndoa? Kitendo cha wazazi kutoa vitisho ni kuonyesha jinsi walivyo wadhaifu kwa kutaka kumrudisha haraka kwa mmewe. Wanaona shida gani ya kumuita mkwe wao na kujua nini hasa tatizo linalowakabili.

Kwenye RED nafikiri ingekuwa solution na hata mimi nilitaka ikiwa vipi niwe free ili wife awe huru ku exercise tabia zake hizo kwa uhuru bila kuingiliwa. Iweje wang'ang'anize kurudi kama vile nao hawamhitaji?
 
mimi mwanaume hawezi nirudisha nyumbani kamwe,kwanza im idependent woman anaanzaje kunirudisha kwetu?kanikuta nilishatoka mikononi mwa wazazi eti anirudishe big no,hata alete winch,kurudi kwenye maada kwa nini wewe Mwana Kwetu hujasema mkeo kafanya nini mpaka umrudishe kwao?Inawezekana wewe ndo una makosa,kuwa muwazi
 
Last edited by a moderator:
maisha ya ndoa haya mwalimu wala doctor, maisha ya ndoa mwalimu wake na doctor wake ni mke na mume, wakati namuoa mke wangu nilimwambia matatizo ya ndani yatatatuliwa na sisi wenyewe, yakifika kwa wazazi wangu au wazazi wake au mtu yeyote awe ndugu au asiye ndugu kwa kusudio la kuyatatua basi ndo mwisho wa ndoa yetu,
 
Mwana Kwetu mbona unakuwa mgumu kusoma alama? Ina maana hata wao pa kumuweka hawapaoni, tena ilikuwa nafuu kuwa at least yuko mahali, halafu wewe unamrudisha? Lazima tuvunje mlango kukurudishia bwana....


Pole yangu bado unapata, coz inaonekana ushauri utapatikana kwa wazazi wako sio wake...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom