Baba Mkwe wangu ananitishia NISHAURINI

Baba Mkwe wangu ananitishia NISHAURINI

mwanakwetu pole sana. Kuwa katika ndoa yenye matatizo kwa miaka kumi mfulilizo its not a joke!
Kwetu sisi Kirua dada akishaolewa kurudi nyumbani mwiko....so ingekuwa ni mimi nisisingeweza kumrudisha kwa wazazi wake na nikifanya hivyo hawatomlaza kamwe tena unasema ni karibu wangemleta hata kama saa nane za usiku kufind out what is wrong!

Yawezekana kwenu ni tofauti na kwetu lakini bottom line ni kuwa hao wazazi kama kama alivyo mtoto wao hawana busara hivyo kama unataka kumpata mshauri na msuluhishi mwema, undo....umepotea.

Mkuu we dini gani?
 
huu ndo ushauri wa mtu mzima mwenye ndoa yake na anayeelewa nini maana ya ndoa

Ndoa haina third part, matatizo uenu haijalishi ni makubwa kiasi gani mnatakiwa kutasolve wenyewe


After 10 years unamrudisha kwao?

Na namshangaa huyo mwanamke aliyebeba virago kwenda kwao aisee

Kaeni nuie watu wazima msolve matatizo yenu sio kukimbilia kwa wazazi mwisho mnaoshia kuwatukana kama hivyo ulivyofanya



Mwanakwetu,
Nimekusoma na kuwasoma washauri wako nami natamani nikupe ushauri kidogo tu.
Kwanza, hujasema ndoa yako ni ya Kimila, kiserekali,Kiislam au Kikristo.
Sasa, mimi nakupa ushauri wa ndoa ya Kikristo kwani umekaa na huyu bidada miaka 10 bila kuvuta mchuma mwingine ndani. Hii inaonesha unamheshimu sana mkeo na hilo ni zuri.
Sasa, cha ajabu ni jinsi ulivyoamua sasa kutafuta ushauri kwa yeyote atakayekuhurumia. We, kumbuka, mkeo ni wewe wala si vinginevyo. Mi nimeoa na sasa ni 40yrs. Hajawahi kwenda kwao, ugomvi haukosekani, tena nataka kukufahamisha kwamba kule kwao mimi sithubutu hata kujilinganisha, wanacho. Lakini, alinipenda, ananipenda na tunapendana.
Tumesimamia masharti yetu, kwamba atamwacha baba na mama yake nami nitamwacha baba na mama yangu nasi tutaungana na kuwa mwili mmoja.
Tutagombana lakini hakuna mtu mwingine ataingilia kati ugomvi wetu. Tutaumaliza wenyewe. Mithali moja inasema; Ndugu wakigombana, inua jembe ukalime wakipatana chukua panga ukavune. Huo ndio ukweli wa mambo. Hakuna awezaye kukupatanisha na mkeo. Ni wewe mwenyewe na yeyetu. Mnaishi pamoja tena kwa amani na furaha kuliko jinsi ambavyo ungeishi na mama yako mzazi. Fikiri, ukiugua tumbo la kuhara, mkeo atakuosha tena bila hata kinyaa lakini mama atakuangalia vibaya tu.
Kosa lako kubwa ni kwamba umewatusi wakwe zako. Ati mpokeeni mwanenu mmfundishe adabu. We ndiyo huna adabu kabisaaa. Umekaa na mtoto wa watu 10 yrs leo umrudishe kwao. Umempa mshahara na kiinua mgongo ikiwa atashindwa kupata adabu huko aendelee na biashara yanke huko huko? Mbona tunakosa heshima hivi jamani? Je huyo bidada atakurudisha lini kwenu ukafunzwe adabu na wazazi wako weyeee?
Nakushauri, nenda kule kwa wakwe zako, kaombe radhi, chukua mzigo wako uurudishe mwenyewe nyumbani kama ulivyo utoa.
 
Nilisubiri hata wanipigie kuniita badala yake wananitishia bila hata kujua tatizo lililotufikisha hapo? Hapo nalazimishwa kuishi na tatizo ambalo wao wangekuwa na hekima kidogo kama wazazi wangu solution ingekuwa simple. Wa kuonywa aonnywe na wakupewa pole apewe tuanze ukurasa mpya.
Kwani tatizo haswa la NDOA yenu ni nini mkuu? inawezekana hao wakwe zako hawana kosa kwa hayo maamuzi kutokana na kutojua tatizo la NDOA YENU kaka. Kaa chini tafakari kabla haujachukua hatua na kufanya maamuzi. Haswa Kama una watoto na huyo binti. Kila mtu atakupa ushauri hapa jamvini...lakini mwisho wa siku wewe ndio Mwenye ukweli wote uliokufanya umvumilie huyo Mkeo. Maana kumvumilia mtu kwa miaka kumi ya ndoa yenye matatizo sio mchezo kaka.
 
Yani umeshindwa kusolve ako katatizo mpka ulete uku??
 
Ni wiki imepita tangu nimrejeshe kwao wife kwa mara ya kwanza tangu tuoane miaka 10 iliyopita kutokana na kutozingatia makubaliano tunayowekeana kama couple na jeuri, ubabe pamoja na kiburi. Lengo la kumpeleka si kumfukuza bali ili wazazi wamhoji na kumshauri baada ya wazazi wangu kufanya kazi hiyo miaka zaidi ya 9. Wazazi wangu (mwanaume) wamekuwa kimbilio la mke wangu kwa zaidi ya miaka 9 hata pale mkosa anapokuwa ni yeye akiamini wao nitawasikiliza zaidi pale wanapoomba nimsamehe wife. Kwa upande mwingine hajawahi kimbilia kwao licha ya kuwa jirani na tunapoishi kwa kuona ndugu zake watamwona ameshindwa kuishi ktk ndoa. This time nimemwambia aende kwa wazazi wake na then tutaongea mambo yote pale baada ya wiki moja............!
Mwanawakwetu, unanishangaza unaposema mkeo ameenda kwao, kwao ni wapi wakati ulisha mwoa! KWAO NI KULE KWA WAZAZI WAKO. HIVYO ALIKUWA SAHIHI KABISA KUKIMBILIA HUKO KWA SABABU HUKO NDIYO KWAO HALISI. INAVYOONEKANA UMEMCHOKA MKEO. UNGETAKA SULUHU NA MKEO UNGEMWITA MSHENGA ASULUHISHE, NAAMINI ASINGEELEMEA UPANDE WOWOTE. KUNA WATU WAMEKUSHAURI UTAFUTE BI MDOGO, LAKINI WASWAHILI WANASEMA " WEZA ZUNGUKA BUCHA ZOTE LAKNI NYAMA HUWA ILEILE" SULUHISHA NA MKEO USITAKE KUKUZA KUTOELEWANA. NADHANI MMEJALIWA KUPATA WATOTO. JE UKO TAYARI WATOTO WASILELEWE NA MAMA YAO? UCHUNGU WA MWANA WA KWELI ANAUJUA MAMA YAO!
 
ni wiki imepita tangu nimrejeshe kwao wife kwa mara ya kwanza tangu tuoane miaka 10 iliyopita kutokana na kutozingatia makubaliano tunayowekeana kama couple na jeuri, ubabe pamoja na kiburi. Lengo la kumpeleka si kumfukuza bali ili wazazi wamhoji na kumshauri baada ya wazazi wangu kufanya kazi hiyo miaka zaidi ya 9. Wazazi wangu (mwanaume) wamekuwa kimbilio la mke wangu kwa zaidi ya miaka 9 hata pale mkosa anapokuwa ni yeye akiamini wao nitawasikiliza zaidi pale wanapoomba nimsamehe wife. Kwa upande mwingine hajawahi kimbilia kwao licha ya kuwa jirani na tunapoishi kwa kuona ndugu zake watamwona ameshindwa kuishi ktk ndoa. This time nimemwambia aende kwa wazazi wake na then tutaongea mambo yote pale baada ya wiki moja.

Siku mbili baada ya kufika kwao mama yake kaanza kulaani mimi(mume) kumpa binti yao masharti ya kuishi ktk ndoa na kusema ni marufuku mimi kumpa masharti binti yao. Kwa tone hiyo hiyo siku nne baadaye baba mkwe kanipigia simu kunitishia kwamba atamleta kwa nguvu binti yake huku mama yake akisema nisipofungua nyumba wakati wa kumleta watavunja mlango wamwinngize ndani.

Cha ajabu hawa wazazi wa binti hawajawahi niuliza tuna ugomvi gani, tometofautiana nini bali kunilaumu hata bila kunisikiliza. Hali hii inanifanya niamini kuwa ujeuri, ubabe na kiburi cha binti yao ambaye ni mke wangu kinakuzwa na hawa wazazi wake kwa kutokuwa rational.
Ndugu zangu wanachukulia huu kama udhalilishaji na vita isiyokuwa ya lazima ya ukoo na dharau kwa upande si wa ndugu zangu tu bali hata kwa mume wa binti yao.
Nisaidieni busara za ku react!!!!

asingekuwa na wazazi ungempeleka wapi?
 
Ni wiki imepita tangu nimrejeshe kwao wife kwa mara ya kwanza tangu tuoane miaka 10 iliyopita kutokana na kutozingatia makubaliano tunayowekeana kama couple na jeuri, ubabe pamoja na kiburi. Lengo la kumpeleka si kumfukuza bali ili wazazi wamhoji na kumshauri baada ya wazazi wangu kufanya kazi hiyo miaka zaidi ya 9. Wazazi wangu (mwanaume) wamekuwa kimbilio la mke wangu kwa zaidi ya miaka 9 hata pale mkosa anapokuwa ni yeye akiamini wao nitawasikiliza zaidi pale wanapoomba nimsamehe wife. Kwa upande mwingine hajawahi kimbilia kwao licha ya kuwa jirani na tunapoishi kwa kuona ndugu zake watamwona ameshindwa kuishi ktk ndoa. This time nimemwambia aende kwa wazazi wake na then tutaongea mambo yote pale baada ya wiki moja.

Siku mbili baada ya kufika kwao Mama yake kaanza kulaani mimi(mume) kumpa binti yao masharti ya kuishi ktk ndoa na kusema ni marufuku mimi kumpa masharti binti yao. Kwa tone hiyo hiyo siku nne baadaye baba mkwe kanipigia simu KUNITISHIA KWAMBA atamleta KWA NGUVU BINTI YAKE huku mama yake akisema nisipofungua nyumba wakati wa kumleta WATAVUNJA MLANGO WAMWINNGIZE NDANI.

Cha ajabu hawa wazazi wa binti hawajawahi niuliza tuna ugomvi gani, tometofautiana nini bali kunilaumu hata bila kunisikiliza. Hali hii inanifanya niamini kuwa ujeuri, ubabe na kiburi cha binti yao ambaye ni mke wangu kinakuzwa na hawa wazazi wake kwa kutokuwa rational.
Ndugu zangu wanachukulia huu kama udhalilishaji na vita isiyokuwa ya lazima ya ukoo na dharau kwa upande si wa ndugu zangu tu bali hata kwa mume wa binti yao.
NISAIDIENI BUSARA ZA KU REACT!!!!

Bila shaka huyo mwanamke ni wa degeree na zaid pole,ndoa haina supplementary jikaze komaa nae tu ndio wako
 
Heri mimi sijaoa na kwa mwendo huu kuoa ntakusikia kwenye bomba tu.

Ya nini kutafuta karaha yote hii?
 
Pole sana mkuu, miaka 10 kwa stail hiyo!!!! Kwenu washasolve kama mara tisa huo ni wastan wa kila mwaka mnasuluhishwa mara 1 ondoa zile mnazomaliza wenyewe........ Hv bado unatuambia umedumu kwenye ndoa miaka 10!!!!! Kweli?????

Practically mlishaachana siku nyingi sana...... Kuwa makini mkuu haya maudhi ndio mana wanaume tunakufa mapema sn. Tafuta mke oa nae akizingua piga chini oa mwingine na kuendelea.............
 
Kama ungekuwa ni wewe ungechukuwa hatua gani ? Miaka 10 ni mingi kwa mtoto wa kike ndani ya ndoa huku akitumika + msongo wa ndoa. kama ni mkirto unaambiwa ww + yy wote mmekuwa mwili mmoja. kama ni swala la kutafuta ushauri kwa wazazi mlitakikiwa kwenda wote.
 
Heri mimi sijaoa na kwa mwendo huu kuoa ntakusikia kwenye bomba tu.

Ya nini kutafuta karaha yote hii?
Na siku utakapohitaji kuoa hakuna atakayekutaka, maana utakuwa umekongoroka sana!
 
ni kweli huyu mkosa mada kwanza kaeleza ksi upande mmoja tu halafu anataka tumhukumu mke wake na wazazi wake bila kuwasikia au kueleza matatizo yao kwa kina..

nakubaliana na wewe kwa 100% kuwa huyu jamaa ndiye mwenye matatizo na sio mke wake, na huyo mwanamke anonysha ni mzuri na anaelewana hata na wakwe zake vizuri(wazazi wa mume) na dio mana kwa maelezo ya jamaa huyu mke huwa anakimbilia nyumbani kwa wakwe( wazazi wa mume). Na pia wazazi wa mume wasingemtetea kama kweli huyu binti angekuwa mkorofi kama mleta mada anavyotaka kutuaminisha.

Na ili kuthibitisha kuwa huyu binti ni msafi na huyu jamaa ndio mkorofi ndio maana wazazi wake yeye binti pamoja na wazazi wake yeye kijana wanamtetea. kwa vyovyote vile huyo kijana ndio mwenye matatizo na sio huyo binti. Kumbuka kuwa wazazi wako wwe na wazazi wake yeye wote ni watu wazima wenye busara zao. Haiwezekani wote kwa pamoja kwa nyakati tofauti wamtetee mke wako, ni lazima ww una matatizo.

Na pia kwa nini umlazimishe aende kwao wakati yeye huwa anakwenda kwenu? kwani wazazi si wale wale tu kama mtu ameamua kwenda kwenu kwa nini umzuie na umlazimishe aende kwao. Wewe ndio huna busara kabisa, yaani binti anajaribu kuficha aibu ya magomvi yenu kwa wazazi wake halafu ww unamlazimisha akawasimulie? Hivi ulifikiri wazazi wake wanamchukia binti yao kama wewe? We umepata mke mzuri ambaye anakufichia upuuzi wako kwa kutowaambia ndugu zake ili ndugu zake wasikuchukie. huyu mke anakupenda sana na hataki uonekane mbaya nyumbani kwao, halafu ww unalazimisha uonekane mbaya kwa wakwe? kichwa yako ina matatizo si bure

Na mwisho mambo ya kurudishana nyumbani yamepitwa na wakati, eti nirudi nyumbani nikafanye nini? kha tutabanana hapohapo..hapo sasa badala ya kusove ishu umeitapakaza na kuwa stori ya mtaa.....

Umenena Mkuu! Inaonekana binti amelelewa na kufundwa vema na anajijua kama AMEOLEWA ndio maana amewafanya wazazi wa mumewe kuwa kimbilio na ndio wazazi wake! sasa hiki Kidume kisilete hadithi hapa; Mwana Kwetu jirekebishe haraka
 
Last edited by a moderator:
Nilishawaeleza twice mara ya kwanza walielewa na kumwonya na mara ya pili pia


Pamoja na kwamba kwenye maelezo yako mimi sijaona kama ulishawaeleza bado ulitakiwa uende naye na kukaa nao ili kuweka sawa hayo masharti uliyoyaweka na kuona kama yanatekelezeka!
 
Heri mimi sijaoa na kwa mwendo huu kuoa ntakusikia kwenye bomba tu.

Ya nini kutafuta karaha yote hii?

Mkuu kwa sasa ni rahisi sana kusema chochote kwa kuwa kile unachofikiria kuwa unakihitaji kwa mwanamke unakipata wakati wowote unaotaka, Kiranga hujapata kibano cha maisha na ukaona kuwa hawa watu tunawahitaji kwa kiasi gani? kama wenza katika maisha.Mwanamke ni zaidi ya unavyofikiria. Sijui umezaliwa na kulelewa katika mazingira gani? Lakini embu fikiria kama baba yako angeishi kama wewe!! leo hii kiranga ungekuwa na Kiranga??
Kutofautiana katika maisha ya ndoa sio jambo geni ni kawaida tu kila binadamu ana mapungufu yake, pale mwenzanko anapoishia we anzia hapo! jazia mapungufu yake, na maisha husonga mbele
 
Huyo ni mkeo. Hukustaili kumrudisha kwao but ulitakiwa kumpeleka kwenu coz ni wa kwenu toka pale mlipofunga ndoa. Na jina alibadili na kuitwa ubini wenu.

Keep this on mind, fanya yote ktk tofauti yako na mkeo but never kuwashirikisha wazazi and especially wakwe.
 
Ni wiki imepita tangu nimrejeshe kwao wife kwa mara ya kwanza tangu tuoane miaka 10 iliyopita kutokana na kutozingatia makubaliano tunayowekeana kama couple na jeuri, ubabe pamoja na kiburi. Lengo la kumpeleka si kumfukuza bali ili wazazi wamhoji na kumshauri baada ya wazazi wangu kufanya kazi hiyo miaka zaidi ya 9. Wazazi wangu (mwanaume) wamekuwa kimbilio la mke wangu kwa zaidi ya miaka 9 hata pale mkosa anapokuwa ni yeye akiamini wao nitawasikiliza zaidi pale wanapoomba nimsamehe wife. Kwa upande mwingine hajawahi kimbilia kwao licha ya kuwa jirani na tunapoishi kwa kuona ndugu zake watamwona ameshindwa kuishi ktk ndoa. This time nimemwambia aende kwa wazazi wake na then tutaongea mambo yote pale baada ya wiki moja.

Siku mbili baada ya kufika kwao Mama yake kaanza kulaani mimi(mume) kumpa binti yao masharti ya kuishi ktk ndoa na kusema ni marufuku mimi kumpa masharti binti yao. Kwa tone hiyo hiyo siku nne baadaye baba mkwe kanipigia simu KUNITISHIA KWAMBA atamleta KWA NGUVU BINTI YAKE huku mama yake akisema nisipofungua nyumba wakati wa kumleta WATAVUNJA MLANGO WAMWINNGIZE NDANI.

Cha ajabu hawa wazazi wa binti hawajawahi niuliza tuna ugomvi gani, tometofautiana nini bali kunilaumu hata bila kunisikiliza. Hali hii inanifanya niamini kuwa ujeuri, ubabe na kiburi cha binti yao ambaye ni mke wangu kinakuzwa na hawa wazazi wake kwa kutokuwa rational.
Ndugu zangu wanachukulia huu kama udhalilishaji na vita isiyokuwa ya lazima ya ukoo na dharau kwa upande si wa ndugu zangu tu bali hata kwa mume wa binti yao.
NISAIDIENI BUSARA ZA KU REACT!!!!

Ungetueleza na kosa la kumpeleka kwao ndo tungeweza kukusaidi
 
Kamchukue mkeo, wewe ni mkatoriki sawa UPENDO haupotei kama ufunguo wa gari .
Upendo -huvumilia yote.
-hauhesabu mabaya.
-hustahimili yote.
-hauhusudu.
-hautakabari.
-haujivuni.
-haukosi kua na adabu.
-hautafuti mambo yake.
-hauoni uchungu.
-haufura hii udhalimu.
-bali hufurahi pamoja na kweli.
-huamini yote.
-hutimaini yote.
-haupungui neno wakati wote bali ukwapo una bii utabatilika.

narudia tena kamchukue mkeo, kwani waswahili husema wagombanao ndio wapatanao. Kumbuka alimsaliti Yesu, lakini usishangae wapo wote kwenye kiti cha enzi.
 
Ni wiki imepita tangu nimrejeshe kwao wife kwa mara ya kwanza tangu tuoane miaka 10 iliyopita kutokana na kutozingatia makubaliano tunayowekeana kama couple na jeuri, ubabe pamoja na kiburi. Lengo la kumpeleka si kumfukuza bali ili wazazi wamhoji na kumshauri baada ya wazazi wangu kufanya kazi hiyo miaka zaidi ya 9. Wazazi wangu (mwanaume) wamekuwa kimbilio la mke wangu kwa zaidi ya miaka 9 hata pale mkosa anapokuwa ni yeye akiamini wao nitawasikiliza zaidi pale wanapoomba nimsamehe wife. Kwa upande mwingine hajawahi kimbilia kwao licha ya kuwa jirani na tunapoishi kwa kuona ndugu zake watamwona ameshindwa kuishi ktk ndoa. This time nimemwambia aende kwa wazazi wake na then tutaongea mambo yote pale baada ya wiki moja.

Siku mbili baada ya kufika kwao Mama yake kaanza kulaani mimi(mume) kumpa binti yao masharti ya kuishi ktk ndoa na kusema ni marufuku mimi kumpa masharti binti yao. Kwa tone hiyo hiyo siku nne baadaye baba mkwe kanipigia simu KUNITISHIA KWAMBA atamleta KWA NGUVU BINTI YAKE huku mama yake akisema nisipofungua nyumba wakati wa kumleta WATAVUNJA MLANGO WAMWINNGIZE NDANI.

Cha ajabu hawa wazazi wa binti hawajawahi niuliza tuna ugomvi gani, tometofautiana nini bali kunilaumu hata bila kunisikiliza. Hali hii inanifanya niamini kuwa ujeuri, ubabe na kiburi cha binti yao ambaye ni mke wangu kinakuzwa na hawa wazazi wake kwa kutokuwa rational.
Ndugu zangu wanachukulia huu kama udhalilishaji na vita isiyokuwa ya lazima ya ukoo na dharau kwa upande si wa ndugu zangu tu bali hata kwa mume wa binti yao.
NISAIDIENI BUSARA ZA KU REACT!!!!

hakuna kuacha huyo ni mkewako chakufanya hapo hama mbali na wazazi then tafta wazaz wengne wenyeheshma haswa wachungaj watakusaidia
 
Back
Top Bottom