Baba mkwe, mahari hii imenishinda

Nani amekwambia kuwa wote wanaoenda ukweni ni ndugu asilimia mia, unaweza chukua ndugu jamaa na marafiki plus ndugu zako mambo yanaenda kiivyo
Hao wadada uliokodi ndo wamesbabisha ukatozwa adi gharama ya vyakula....ungechukua watu wazima ndugu zako isingekuwa ivo, afu una bahati, kwetu uniletei watu wa kukodi aiseee
 
Nani amekwambia kuwa wote wanaoenda ukweni ni ndugu asilimia mia, unaweza chukua ndugu jamaa na marafiki plus ndugu zako mambo yanaenda kiivyo
Vile tunatofautiana, jamii yangu suala la kupangiwa mahari uwa wanatakiwa wazazi/walezi....baba, mama, mjomba, shangazi, ba mdogo,mkubwa.....
 
Vile tunatofautiana, jamii yangu suala la kupangiwa mahari uwa wanatakiwa wazazi/walezi....baba, mama, mjomba, shangazi, ba mdogo,mkubwa.....
Ok nimekusoma lakini sio sawa kumpangia mkweo mahali Kubwa kiasi kile kwa maana kuoana ni kuunga udugu baina ya pande mbili
 
Elimu inahusika vipi kwenye mapenzi?
 
ndugu kwani uchagani na LOAN BOARD kuna tofauti? kwanini hadi udaiwe? hivi mkifanya heshima tu mnaumia nini?
 
Haya mambo hamkuongea na mwenzio kabla?
Hajui hali yako kifedha au ulimdanganya?
 
Nenda kachumbie Zanzibar, wenyewe mahali yao ni kitanda, kabati, dressingtable, Godoro , kabat la nguo bas.
 
Kaoe makabila yenye mahari 50000 ..wachaga waachie wanaowaweza.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hongera mkuu.
Mahari hutoi na mtoto wao wa mchukue bwana
Wanataka ukata wao uishie mfukoni kwako nini 5ml for what? Ana password ya kufungulia hazina Benki kuu au???
Mahari mil5 Kanyaga!!!! Wakwe matapeli Kanyaga Kanyaga!!!!!
 
kuwa makini, hiyo mimba inaweza kuamia kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…