kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,506
- 18,872
hata kama nikikubali au nikikataa,siwezi kufanya hivyo mbele yake.
ndugu baba mkwe amekuchukulia wewe kuwa mwanawe mkubwa wakiume ndio maana akasema hivyo...
ungeendelea kupiga nae story juu ya totoz...