Baba mkwe kanisakizia mzigo!!!

Baba mkwe kanisakizia mzigo!!!

ka hiyo kwa mfano wewe ukiwa mwanamke hutafeel pain mumeo akitoka na mwanamke bomba kukuzidi......nasisitiza we will never clearly define Women
Luggy hivi umewah kusoma baadhi ya comments zangu??
nilishawah nkusema wazi kwamba nikimkuta na kichuna wa ukweli zaid yangu mbona nitamkumbusha tru kucondomize??
ujue hapa najua hamwez kunielewa unless Mapi akueleweshe. natumia kiswahil kigumu sana
 
Last edited by a moderator:
nimekuelewa vizuri sana,ndo nasema hata nikikubali kuwa ni mwanamme zaidi yangu au nikatae sio mwanamme zaidi yangu,but siwezi beba mzigo mbele yake.

yaani bhado hujanielewa............
bamkwe wako anajua kwamba mwanaume kaumbiwa tamaa na alikuwa anakuchora unavyo mtizama binti kwa jicho la wizi ilihali kumtizama kwa jicho la halali sio vibaya.

kimsingi nhuyo bamkwe alikuona poyoyo kwamba unashindwa hata kuitendea nafsi yako haki ya kutizama licha ya kutongoza. learn to be a man bhana.
 
ndugu baba mkwe amekuchukulia wewe kuwa mwanawe mkubwa wakiume ndio maana akasema hivyo...
ungeendelea kupiga nae story juu ya totoz...

mkuu kabanga,ningeweza kuendeleza stori za totoz na dingi mkubwa but cjawahi kuwa na mazoea nae kiasi hicho hadi kufikia kupiga stori za kidizaini hiyo.nilichofikiria kwa mara ya kwanza kabisa ni kuwa pengine alikuwa akinijaribu kuona kama na mimi ni mzee wa totoz.coz ananiheshimu sana ukizingatia hana mtoto wa kiume,mi ndo kama kijana wake wa kiume,sasa kwa ghafla stori hizo ziliniwia vigumu kidogo kuendelea nazo
 
I recommend this film from Czech.
Men in Hope. kwa stori hii - lile tangazo la tuko wangapi linahusika saaaana.
Anayeweza aitafute hiyo film, ni nzuri sana. Hasahasa Baba mkwe anapomsakizia mkwewe mabinti - huku akimuelezea raha ya cheating. Ni ajabu.
 
yaani bhado hujanielewa............
bamkwe wako anajua kwamba mwanaume kaumbiwa tamaa na alikuwa anakuchora unavyo mtizama binti kwa jicho la wizi ilihali kumtizama kwa jicho la halali sio vibaya.

kimsingi nhuyo bamkwe alikuona poyoyo kwamba unashindwa hata kuitendea nafsi yako haki ya kutizama licha ya kutongoza. learn to be a man bhana.

am a man mtu wangu,tena mwanamme wa kweli(siyo yule anayetumia dume),but kuna mazingira ya kufanya vitu flani flani.hebu imagine uwe na mamkwe wako mnaenda sokoni afu akuambie maneno kama hayo kwa mwanamme mwingine ilihali akijua unakijana wake,utajiskiaje?atakuwa amekuona kicheche au amekuona uko loose?au anataka kujua ni jinsi gani usivyomuaminifu kwa kijana wake?we respond yako itakuwa nini?
 
huyu baba mkwe namsifu kwanza kaonyesha kwamba yeye ni mwanaume japo mzee lkn ana guts kuliko vijana wa kileo

Kwa hiyo unataka tuwe tom.ba tom.ba? Duh! Mwalimu, mpaka nimeogopa! Nyie wenyewe mnalalamika kwamba waume zenu sio waaminifu, bado mnasifia wazinifu! Loh!
 
am a man mtu wangu,tena mwanamme wa kweli(siyo yule anayetumia dume),but kuna mazingira ya kufanya vitu flani flani.hebu imagine uwe na mamkwe wako mnaenda sokoni afu akuambie maneno kama hayo kwa mwanamme mwingine ilihali akijua unakijana wake,utajiskiaje?atakuwa amekuona kicheche au amekuona uko loose?au anataka kujua ni jinsi gani usivyomuaminifu kwa kijana wake?we respond yako itakuwa nini?
yani skiliza sio kwamba baba alitaka utongoze mbele yake wala kukupa michapo iyo hakumaanisha kwamba utongoze ila baba alitaka ujue kwamba kumtizama huyo binti haikuwa vibaya na ndo mana akakuuzia chai kimtindo ila ndo ivo wewe ukamwelewa vibaya
 
Kwa hiyo unataka tuwe tom.ba tom.ba? Duh! Mwalimu, mpaka nimeogopa! Nyie wenyewe mnalalamika kwamba waume zenu sio waaminifu, bado mnasifia wazinifu! Loh!

na wewe pia hujanielewa kabisa soma post zangu zote utaelewa...............muda mwingine mwanaume inabidi a-act kama mwanaume na wala hakuna dhambi kwa yeye ku-act kiume.
 
Mleta mada kasema wazi kuwa mzigo
ulikuwa na viwango vyote yaani niseme
INTERNATION STANDARD ORGANIZATION
(ISO) .

Nae akaumezea mate vizuri sana lakini
pale alikuwa na Baba Mkwe ilikuwa sio
rahisi kuaga kuwa nafukuzia mzigo japo
ruhusa ilitolewa kikubwa na Mkwe .

Alichofanya mleta mada ni kuwa na staha
km watu wanavyosema ukitaka kuona
usiku mfupi"KOJOA UKWENI"
 
huo uwezekano upo mkuu

kwa hakika alikuwa anakutega ndugu, wazee wengine wajanja na wamekaa kuviziavizia wakwe.
ila pia anaweza akawa nae ndio tabia yake sasa alikuwa anataka kuonesha ni mambo ya kawaida ili hata akichukua yeye hilo zigo wewe usimshangae kisa ni mwanaume mwenzako yani alijifanya a man to man talk. be careful my brother. yote mawili si mazuri kwako.
 
Mleta mada kasema wazi kuwa mzigo
ulikuwa na viwango vyote yaani niseme
INTERNATION STANDARD ORGANIZATION
(ISO) .

Nae akaumezea mate vizuri sana lakini
pale alikuwa na Baba Mkwe ilikuwa sio
rahisi kuaga kuwa nafukuzia mzigo japo
ruhusa ilitolewa kikubwa na Mkwe .

Alichofanya mleta mada ni kuwa na staha
km watu wanavyosema ukitaka kuona
usiku mfupi"KOJOA UKWENI"

asante sana mkuu,umegonga pale pale
 
kwa hakika alikuwa anakutega ndugu, wazee wengine wajanja na wamekaa kuviziavizia wakwe.
ila pia anaweza akawa nae ndio tabia yake sasa alikuwa anataka kuonesha ni mambo ya kawaida ili hata akichukua yeye hilo zigo wewe usimshangae kisa ni mwanaume mwenzako yani alijifanya a man to man talk. be careful my brother. yote mawili si mazuri kwako.

umenena wangu
 
nimekuelewa vizuri sana,ndo nasema hata nikikubali kuwa ni mwanamme zaidi yangu au nikatae sio mwanamme zaidi yangu,but siwezi beba mzigo mbele yake.

Isitoshe kutekeleza kauli ya baba mkwe hakukufanyi kuwa rijali zaidi. Hizo nyingine ni trick tu.
Ukiingia kichwa kichwa inakula kwako. Usisikilize maneno ya wataabishaji hawa.
 
Isitoshe kutekeleza kauli ya baba mkwe hakukufanyi kuwa rijali zaidi. Hizo nyingine ni trick tu.
Ukiingia kichwa kichwa inakula kwako. Usisikilize maneno ya wataabishaji hawa.

mwenyewe niliusoma mchezo kwa stahili hiyo,nikabaki kujichekesha na kupotezea
 
not at all brodah!!

iko hivi huyu jamaa yeye kamtazam,a binti kwa jicho la wizi bamkwe kamwona akajikausha na akaendelea kumtizama binti kwa jicho la haki.

kimsingi bamkwe anajua wazi kwamba kutaman kwa mwanaume sio dhambi na hivyo kumtazama binti mrembo kwa jicho la haki sio kosa.

sasa jamaa anajidai malaika ilihali wanaume wameumbiwa kutaman na Mungu alisema tamaa ya mwanaume itakuwa juu ya mwanamke?? kimsing bamkwe kaonyesha uanaume ule wenyewe kwamba yeye hakutaka kijana achukue zigo ila alitaka kumwonyesha kijana uanaume ni nini.
Sasa nimekuelewa dada yangu kipenzi.....Vp tunapanda this time?
 
kwan kuwa naq mwanae na mjukuu ni ishu?
kubali ukweli kwamba bamkwe ni mwanaume kuliko wewe

Kama kuacha kumtongoza mwanamke mbele ya Baba DEMBA ndiyo kutani downgrade uanaume wangu basi na iwe hivyo!

Mwanamme anayetongoza mbele ya wakwe zake ni mwanamme wa hovyo hovyo kabisa!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom