Baba mkwe kanisakizia mzigo!!!

Baba mkwe kanisakizia mzigo!!!

hata kama nikikubali au nikikataa,siwezi kufanya hivyo mbele yake.

Ulichokifanya ndicho hasa kila mwana mme mwenye akili timamu anastahili kukifanya!

No matter what;ni utovu mkubwa wa nidhamu kutongoza mbele ya wakwe zako! Anayetongoza mbele za wakwe zake without any reasonable doubt his upstairs is not normal!Huyo kwetu tunamuita ana "kigune"
 
Kama kuacha kumtongoza mwanamke mbele ya Baba DEMBA ndiyo kutani downgrade uanaume wangu basi na iwe hivyo!

Mwanamme anayetongoza mbele ya wakwe zake ni mwanamme wa hovyo hovyo kabisa!
wewe na nawe hujaelewa kabisa nilichomaanisah naomba nisipoteze muda zaid ila pitia post zangu utaelewa
 
Ulichokifanya ndicho hasa kila mwana mme mwenye akili timamu anastahili kukifanya!

No matter what;ni utovu mkubwa wa nidhamu kutongoza mbele ya wakwe zako! Anayetongoza mbele za wakwe zake without any reasonable doubt his upstairs is not normal!Huyo kwetu tunamuita ana "kigune"

dats ryt bro
 
Kweli baba mkwe alitoka outing akaamua kuwa huru mpaka kwene mazungumzo. Alikuwa huru tuu kwako wala usimuelewe vibaya.

hata simfikirii vibaya baba aliyenizalia mke,but nahisi tu ujana wake ulikuwa balaa
 
yaani bhado hujanielewa............
bamkwe wako anajua kwamba mwanaume kaumbiwa tamaa na alikuwa anakuchora unavyo mtizama binti kwa jicho la wizi ilihali kumtizama kwa jicho la halali sio vibaya.

kimsingi nhuyo bamkwe alikuona poyoyo kwamba unashindwa hata kuitendea nafsi yako haki ya kutizama licha ya kutongoza. learn to be a man bhana.

Apa nilivo elewa ni kwamba huwezi kumzuia ndege kutua juu ya kichwa chako ila unaeza kumzuia asijenge kiota juu yako.
 
upo sahihi kaka kwani alijua unapiga kungine zaidi ya mwanae sio mbele yake uko safi kabisaaaaa
:smile-big::smile-big::smile-big:
 
mmmh wanawake kazi tunayo.tuwaombee sana waume zetu waepuke vishawishi kila wanapoenda.umesema huwez fanya maamuz mbele ya.mkweo hata kama ulimtamani.just imagine umeacha mke home, ushamsahau na kuwaka tamaa.kutazama si kosa coz macho hayana pazia.kosa ni pale unapouruhusu moyo wako na akili yako kufanya maamuzi.tuheshim ndoa zetu na tuepuke tamaa.
 
Huyo baba mkwe nooooma kweli! Naamini alikuwa anataka kuona reaction yako ikoje! Sometimes anaweza akawa amechora picha nzima kukuona utareact vp?
 
Mi ndio maana hua spengagi kubisa kumpa kampani baba mkwe, alikuja kwangu some few months ago kwa matibabu, mi ndio niliyemwita, mzee akawa anapenda sana misele, kiukweli nilikua nagoma sana kumpa kampani kwenye hiyo misele yake though nilikuaga namtoa tu-misimbazi kimtindo!
 
mmmh wanawake kazi tunayo.tuwaombee sana waume zetu waepuke vishawishi kila wanapoenda.umesema huwez fanya maamuz mbele ya.mkweo hata kama ulimtamani.just imagine umeacha mke home, ushamsahau na kuwaka tamaa.kutazama si kosa coz macho hayana pazia.kosa ni pale unapouruhusu moyo wako na akili yako kufanya maamuzi.tuheshim ndoa zetu na tuepuke tamaa.
Umezisoma comments za mwanamke mwenzio gfsonwin lakini!? Msitulaumu tu wanaume while nyie wenyewe kumbe mnafurahia tukipiga mechi za ugenini hasa kama tumechagua viwanja vizuri!
 
huyu baba mkwe namsifu kwanza kaonyesha kwamba yeye ni mwanaume japo mzee lkn ana guts kuliko vijana wa kileo

Dada mkubwa na wewe huwa unashiwishika kiurahisi hivi?? Kimsingi sipingi kwamba huenda ni kweli, lakini hayo ni maneno tu mtu yeyote anaweza kuyasema. Hujui kwamba kuna watu wako vizuri sana kujisifia kwamba wao ni vidume!
 
not at all brodah!!

iko hivi huyu jamaa yeye kamtazam,a binti kwa jicho la wizi bamkwe kamwona akajikausha na akaendelea kumtizama binti kwa jicho la haki.

kimsingi bamkwe anajua wazi kwamba kutaman kwa mwanaume sio dhambi na hivyo kumtazama binti mrembo kwa jicho la haki sio kosa.

sasa jamaa anajidai malaika ilihali wanaume wameumbiwa kutaman na Mungu alisema tamaa ya mwanaume itakuwa juu ya mwanamke?? kimsing bamkwe kaonyesha uanaume ule wenyewe kwamba yeye hakutaka kijana achukue zigo ila alitaka kumwonyesha kijana uanaume ni nini.

Dada mkubwa leo umetupia kitu cha Uruguay nini? :smile-big:
 
Aisee, kumbe tuko wengi, hata mi leo utadhani nimepiga huu mchicha Jamaica hivi, yaani kila nikikuangaliaga huko nyuma yako yaani mi kwishney kabisa yaani, hivi unaweza kunipa kampani sikumoja!?
mi mwenyewe hata sijielewi kwa kweli,,,,,,,,,,,,,ila tu akili yangu iko resi sana leo
 
ww umenielewa vzr sana, mwanaume ana sifa yake bhana na haswaaa anapojitambua.

ss wewe hata kumuangalia tuu una mwangali kwa jicho la kuiba halaf ukadhan bamkwe hakuon kumbe anakuona na anaona jins ulivyokuwa poyoyo

ni kweli kabisa, mwanaume yeyote bila kujali hadhi yake kunamwanamke akikatiza mbele yake lazima ageuke..baada ya kuangalia sasa tunatofautiana katika maamuzi ya kwenda ama kutokwenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom