Baba mdogo anakula kitimoto hadharani

Hamna kitu ambacho ngurue Hali ;
Kinyesi ,udongo, watoto wake hata mwanao ukimuacha vibaya anapita naye
Anavyokula bata unavijua vyote? Wenzio hawamli kwa sababu za kidini na si sababu za usafi wa mazingira anayoishi na vitu anavyokula..!!! Kambale unajua anachokula?
 
Cha ajabu BIA wanakunywa utadhani kurani imewaruhusu..!!! Yaani kwao dhambi ni kitimoto tu..!! Hayo makitu mengine wanayafanya utadhani wameruhusiwa na kitabu chao
 
Ni kweli wapo wastaarabu hata ukienda kwao wanajali,
 
Ni kweli uwezi kuona utama na zaidi utajutia eti
 
Baba mdogo wako ni mstaarabu, haitishwi na hadithi za kale zisizo na kichwa wala miguu
 
Kula hiyo Nyama Mkuu
Utanishukuru baadae
 
Kichukue onja hapo kidogo utanu wake tu hutakichukia tena na wewe utakuwa unashiriki naye Asubuh na Pepsi
 
Angekuwa anakula huko mabandani kwa kitimoto
Kwani huko kwenye mabanda hawali hadharani? Halafu umesema analetewa ndani sasa hapo hadharani iko wapi? Au wewe ukimwona unafikiri wote wamemwona?
Ila huku zenj mtihani hadi tuje huko bara ndo tunapata ila kwa tahadhari maana ukionwa masharti yake kurudi uislam Tena ni aibu.
 
 
Kujificha kula ni tabia mbaya, inafundisha uchoyo na ulafi. Heko huyo baba mdogo kula nyumbani na kama hamlazimishi mtu wala kumshawishi achana nae.
Mambo haramu mengi tuu kitimoto haimpi dhambi asiyetumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…