Baba mdogo anakula kitimoto hadharani

Loooh hiyo nyama ni tamu??
 
Mtoto mdogo sana
 
Mwache ale kwa afya yake, hii kitu ni tamu nyie! Kuendelea kuamini maneno ya mwarabu tusifaidi neema za nchi ni kujitesa bure.
 
Tena mshukuruni Sana kuleta ndani, maana Yale madude yaliyotoka uarabuni Yale ambayo huwaingia watu na kiwatesa yatakimbia hapo nyumbani kwenu
 
Angekuwa anakula huko mabandani kwa kitimoto
Kwenye maisha ni lazima ujifunze kupotezea. Mara yangu ya kwanza kuona mtu anakula senene nilishangaa sana na nilijiaminisha kwamba sitokuja kula senene (wakati huo niliona ni wadudu) /panzi.

Miaka miwili mbeleni nilikuja kukutana na mwanamama mmoja mrembo sana nikaangukia kwenye penzi lake, siku nimetoka nimeenda zangu kuhangaika jioni narudi nakuta kaniandalia senene wamewaka ile mbaya. Nikaweka msimamo hao wadudu mimi sili akanikaushia akawala yeye wengine wakabakia.

Usiku namuomba chiu akakataa katakata kwa kudai nimedharau chakula kwa kuita wadudu, nikaona mmmmmhhhh! Nikose utamu kisa senene? Mbona yeye kala na hajadhurika! Nikamuomba samahani akainuka akawaleta nikafumba macho nikabugia nikawala ooohoooooooooo......ni watamu hatari ! ,
Nikawatafuna wote....kisha akaniambia sasa Chiu Mali yako vurugua uwezavyo ......

Binafsi sipendelei kula nyama ya Bata kwasababu ya namna alivyo tu, lakini haimaananishi nikikukuta wewe unakula nakwazika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu miaka iyo sisi wakati tunakua ilikuwa mtoto akitaka kwenda shule au sehemu ya mbali na Nyumabani kwenye nguo yake anafungiwa mfupa wa kitimoto! Amini ni kinga tosha ya Majini na mashetani mabaya, Kama una mtu hapo nyumbani anasumbuliwa na Majini angalia kipindi hichi ambacho mjomba anatumia hapo happy nyumbani Kama atasumbuliwa. Lakini kilicho haramu kwako siyo kitimoto ni kula kitimoto, kwahiyo Kama hajakulazimisha utumie muache aenjoy maisha, ndiyo maana ni haramu kwake kuwa na wanawake wengi kwako halali lakini hajakuzia kwenda kwake na wake zako wote.
 
Yaani chai yake ni kitimoto na pepsi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…