Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,858
- 136,485
Wassalaam.
Ni hivi upande wa baba wapo mseto lkn %95 ni wakristo, %5 ndiyo siye,
Baba mdogo kaja nyumbani kutusalimia na ana wiki sasa,
Shida ba mdogo anapenda kula kitimoto balaa,
Yaani chai yake ni kitimoto na pepsi,
Shida anakuja nacho ndani, kama leo kamtuma boda amletee na muda boda kaja ba mdogo anaoga na akaniambia nikampokelee
Na kumuambia asilete ndani nitaanzaje??
Hawezi kuona tunamnyanyapaa??
Au hatumtaki??
Je anafanya kusudi?? maana anaelewa kuwa hatutumii,
Naombeni ushauri nitumie njia gani kumfikishia kuwa hatupendezewi na hii tabia?
NB. Mama hajui maana si mtu wa nyumbani.
MREJESHO..............................
______________________________
mchana huu,nimemwambia ba mdogo
Si unajua imani tumetofautiana,akasema ndiyo,
Nikamwambia hivyo hiyo nyama unayokujaga nayo siye hatutumi,uwage unakula huko mabandanii
Akasema sorry kwanini usingenishtua? maana nilijisahau mwanangu,NISAMEHE,
Nimemwambia haina shida baba kuwa na amani,
Ni hivi upande wa baba wapo mseto lkn %95 ni wakristo, %5 ndiyo siye,
Baba mdogo kaja nyumbani kutusalimia na ana wiki sasa,
Shida ba mdogo anapenda kula kitimoto balaa,
Yaani chai yake ni kitimoto na pepsi,
Shida anakuja nacho ndani, kama leo kamtuma boda amletee na muda boda kaja ba mdogo anaoga na akaniambia nikampokelee
Na kumuambia asilete ndani nitaanzaje??
Hawezi kuona tunamnyanyapaa??
Au hatumtaki??
Je anafanya kusudi?? maana anaelewa kuwa hatutumii,
Naombeni ushauri nitumie njia gani kumfikishia kuwa hatupendezewi na hii tabia?
NB. Mama hajui maana si mtu wa nyumbani.
MREJESHO..............................
______________________________
mchana huu,nimemwambia ba mdogo
Si unajua imani tumetofautiana,akasema ndiyo,
Nikamwambia hivyo hiyo nyama unayokujaga nayo siye hatutumi,uwage unakula huko mabandanii

Akasema sorry kwanini usingenishtua? maana nilijisahau mwanangu,NISAMEHE,
Nimemwambia haina shida baba kuwa na amani,



