HeartBreak
JF-Expert Member
- Apr 21, 2008
- 346
- 29
Flora anawaibisha wanawake wote Tanzania, wanaopeleka mambo kiajeji
Kuhusu Flora Mbasha naomba niseme ukweli, nilishawahi kugombana na mlokole mmoja siku ya kwanza tu kumuona akiimba kwenye mkutano wa The Big November Cruisade pale jangwani. Nilisema pale hakuna mlokole, ndipo yule mama wa kilokole alipoanza kunishambulia bila kujua kuna mlango wa fahamu wa 6 ambao huona hata kilichojificha hata kwa miaka ishirini ijayo...
Uchungu wa mwana aujuae ni mzazi.Hii inaitwa ukimwaga ugali mie namwaga mboga, huo muda aliokimbilia kwenye vyombo vya habari angetumia kukutana na wazazi wenzake kuangalia namna ya kutatua tatizo unless kama wameamua kupiga chini moja kwa moja hapo hata wakiongea inakuwa poa
Ama kwa hakika, mzee Maneno kanena tena kwa yakini kabisa. Hivi kumbe kuimba nyimbo za injili siyo ishara kwamba mtu keshampokea bwana kiukweli na kuachana na maovu! Ikiwa mzee Mbasha alivyoongea ni vya ukweli na kweli tupu, basi Flora ana laana. Halafu niliwahi kuona ktk mitandao mdogo waki akifanya ngono na Mrisho Ngassa wa Yanga. Ama kweli kunguru hafugiki
Kuhusu Flora Mbasha naomba niseme ukweli, nilishawahi kugombana na mlokole mmoja siku ya kwanza tu kumuona akiimba kwenye mkutano wa The Big November Cruisade pale jangwani. Nilisema pale hakuna mlokole, ndipo yule mama wa kilokole alipoanza kunishambulia bila kujua kuna mlango wa fahamu wa 6 ambao huona hata kilichojificha hata kwa miaka ishirini ijayo...
Hawa wazazi naona kama ndio wanaharibu kabisa!
Acheni kuhangaika na makanisa.Kanisa la kweli ni Kanisa katoliki tu. Hakuna miujiza ya kudanganya watu. Nenda kwa Mwingira pale Efatha utaona mambo ambayo yatakushangaza sana.Hakuna Mungu ndani yao.Mimi pia ni mmoja wa watu waliokuwa vipofu wa kudhani hawa watu wa maknisa ya kimiujiza ni wanafanya kweli kumbe ni uhuni mtupu.Sijawahi kuingia huko lakini huwa nawafuatilia sana.Mwaka huu niliona pale Efatha jinsi watu wanavyowekwa upofu wa akili. Yani sina hakika kama hawa wafuasi wao wana akili ya kutambua yaliyojificha nyuma ya makanisa haya.
Ama kwa hakika, mzee Maneno kanena tena kwa yakini kabisa. Hivi kumbe kuimba nyimbo za injili siyo ishara kwamba mtu keshampokea bwana kiukweli na kuachana na maovu! Ikiwa mzee Mbasha alivyoongea ni vya ukweli na kweli tupu, basi Flora ana laana. Halafu niliwahi kuona ktk mitandao mdogo waki akifanya ngono na Mrisho Ngassa wa Yanga. Ama kweli kunguru hafugiki
Mkwe wa Flora bwana Maneno ana hekima sana na mkewe pia. Hakika Flora ulipo, laana itakutafuna. Mwanamke huwezi kuwa na roho ngumu kiasi hicho. Hebu chukua hata mfano wa Bill Clinton na Hilary, waliishi wakaweka mbali matatizo makubwa waliyopata kama familia. Na ninakumbuka sana kuwa Hilary alisema kuwa " My husband is very handsome, every woman would admire to have him". Na popote alimtetea huku akisema Jurry itafanya kazi yake, alikataa media kabisa. Wewe Flora ni nani hata umwaibishe mumeo kiasi hicho. Kwa namna ambavyo umeliendesha hili tatizo inaonekana kabisa ulimchoka Imma. Ninamwomba Mungu HIV ikupate na uugue upate mateso makali na madonda kushinda yale ya Ayubu!! Huna adabu mlolole mnafiki!!!
Baba wa Mbasha kanitia simanzi huyu..hasakitendo cha flora kumtelekeza stendi ya mabasi ..kweli kama mmechokana kila mtu ahike lwake mpeane talaka..manbo ya kusingiziana tuhuma sio fresh
Kwanini amuite Frola kumpokea stand na si mwanae! Huu ni unafiki wa kwanza wa huyu mzee! Na kwanini afike Ubungo ndio ampigie simu akampokee, kwanini asimpe taarifa kabla hajaanza safari! Hii haijakaa sawa, hata mimi mtu akitoka mkoani agike ubungo aniambie nikampokee siwezi kwenda!
wanamtesa mtoto wao tu ambaye anahitaji sana malezi ya baba na mama.
Laana ipi tena?Sina shaka hapa ile laana ya Moses Kulola inawatafuna.:embarrassed: