Baba Mbasha: Flora alichoka kuishi na mwanangu

Baba Mbasha: Flora alichoka kuishi na mwanangu

DAH,sema inatia uchungu sana,unakuta watu tunda lako wanakula,.alaf wanataka bado wakulostishe,,Damn,Shit will happen mother f****er.
 
Mkuu grafani11.

Umenena kweli lakini si kweli yote.
Madhaifu uliyoyaona ni sehemu ya changa moto katika uokovu na makanisa. Kweli maadili yameshuka.

Lakini elewa hiyo ndio unabii uliyosemwa na Yesu. Kwamba nyakati za mwisho, watu watapenda pesa, anasa, zinaa na yanayofanana na hayo.

Hivyo hilo linatakiwa kukufanya kumtafuta Mungu zaidi, kwani alichosema kimetimia na kinadhihirisha neno la Kristo, Ndio Kweli, Uzima na Njia. Siyo kuikimbia kweli na kuenda mbali na injili.

Kweli safari ya wana Israel walipotoka Misri walikuwa mamilioni, lakini kwa ukaidi na kupenda mambo ya kumuasi Mungu, mamilioni walifiia jangwani.

Suala la Flora na mumewe ni kielelezo kwamba , yeyote anaweza kuanguka akiliacha neno la Mungu.

Biblia inatuambia, ni jinsi gani kijana aisafishe njia yake? Ni kwa kutii Zab 119.9. Utii kwa neno la Mungu , ndio njia pekee ya kujilinda na vishawishi vya dunia.

Hakuna usalama nje ya kanuni za Mungu, ambazo zimo ndani ya neno.
 
sasa mwana naona umeanza kuleta majanga nani amekwambia waimba nyimbo za injili wameokoka wengi wao hawajaokoka wanafanya biashara tu hakuna ni wachache waliokuwa walokole wengi wao WANAGANGA NJAA tu ili wapate pesa best hivyo walokole waliokoka wako sana na tena sana ila wako wale wanaojiingiza kuharibu kondoo wa Mungu na kulitukana jina la YESU hivyo kuwa makini bestito ndo mana maanidiko yanasema kuwa sio wote watakaomwita BWANA wataingia katika ufalme wa Mungu hivyo kuhusu waimbaji au wanamuziki wa injili wengi wanafanya biashara tu hakuna cha ulolkole ndani yao ni wachache tu katika 20% nadhani ni kama 5% ndo waliokoka wengine wote ni matapeli na wafanyabiashara tu wewe nunua kanda zao sikiliza ila usifuatishe maisha wanayoishi si unaona mwenyewe mwimbaji mmoja anayetamba siku hizi na kibao chake cha fb anapokwenda kurekodi ni lazima kwanza aonje kisha ndo akapate stimu ya kuruka sasa hapo kuna ulokole kama sio kuchafua dini za wenzao best hakuna chochote kaibisa wanatafuta pesa tu hao ili watoke na watatokaje ndo hivyo akina flora mbasha wanatafuta umaarufu kwa kuchafuana ndani ya ndoa zao hakuna chochoe bestito sijui umenasa hapa
Kuhusu Flora Mbasha naomba niseme ukweli, nilishawahi kugombana na mlokole mmoja siku ya kwanza tu kumuona akiimba kwenye mkutano wa The Big November Cruisade pale jangwani. Nilisema pale hakuna mlokole, ndipo yule mama wa kilokole alipoanza kunishambulia bila kujua kuna mlango wa fahamu wa 6 ambao huona hata kilichojificha hata kwa miaka ishirini ijayo...
 
yaani asante sana kwa kutufumbua macho kwani hawa wanamuziki waimbaji wamechafua JINA LA YESU NA WOKOVU kiujumla watu wanasema hakuna kuokoka wakati kuokoka kupo sana wasome warumi 10:9-11 ndipo wataelewa kuwa KUOKOKA KUNAWEZEKANA NA KUPO MTU AKIAMINI NA KUKIRI YESU NI BWANA ATAPATA WOKOVU
Mkuu grafani11.

Umenena kweli lakini si kweli yote.
Madhaifu uliyoyaona ni sehemu ya changa moto katika uokovu na makanisa. Kweli maadili yameshuka.

Lakini elewa hiyo ndio unabii uliyosemwa na Yesu. Kwamba nyakati za mwisho, watu watapenda pesa, anasa, zinaa na yanayofanana na hayo.

Hivyo hilo linatakiwa kukufanya kumtafuta Mungu zaidi, kwani alichosema kimetimia na kinadhihirisha neno la Kristo, Ndio Kweli, Uzima na Njia. Siyo kuikimbia kweli na kuenda mbali na injili.

Kweli safari ya wana Israel walipotoka Misri walikuwa mamilioni, lakini kwa ukaidi na kupenda mambo ya kumuasi Mungu, mamilioni walifiia jangwani.

Suala la Flora na mumewe ni kielelezo kwamba , yeyote anaweza kuanguka akiliacha neno la Mungu.

Biblia inatuambia, ni jinsi gani kijana aisafishe njia yake? Ni kwa kutii Zab 119.9. Utii kwa neno la Mungu , ndio njia pekee ya kujilinda na vishawishi vya dunia.

Hakuna usalama nje ya kanuni za Mungu, ambazo zimo ndani ya neno.
 
sasa mwana naona umeanza kuleta majanga nani amekwambia waimba nyimbo za injili wameokoka wengi wao hawajaokoka wanafanya biashara tu hakuna ni wachache waliokuwa walokole wengi wao WANAGANGA NJAA tu ili wapate pesa best hivyo walokole waliokoka wako sana na tena sana ila wako wale wanaojiingiza kuharibu kondoo wa Mungu na kulitukana jina la YESU hivyo kuwa makini bestito ndo mana maanidiko yanasema kuwa sio wote watakaomwita BWANA wataingia katika ufalme wa Mungu hivyo kuhusu waimbaji au wanamuziki wa injili wengi wanafanya biashara tu hakuna cha ulolkole ndani yao ni wachache tu katika 20% nadhani ni kama 5% ndo waliokoka wengine wote ni matapeli na wafanyabiashara tu wewe nunua kanda zao sikiliza ila usifuatishe maisha wanayoishi si unaona mwenyewe mwimbaji mmoja anayetamba siku hizi na kibao chake cha fb anapokwenda kurekodi ni lazima kwanza aonje kisha ndo akapate stimu ya kuruka sasa hapo kuna ulokole kama sio kuchafua dini za wenzao best hakuna chochote kaibisa wanatafuta pesa tu hao ili watoke na watatokaje ndo hivyo akina flora mbasha wanatafuta umaarufu kwa kuchafuana ndani ya ndoa zao hakuna chochoe bestito sijui umenasa hapa
Besti yaani siku hiyo huyo mama alinishambulia mpaka akawa anatoa mapovu, kisa eti nimesema Flora Mbasha si mlokole, natamani tungekuwa wote tumpe vipande mpaka azimie.... Ni kweli kabisa pale hakuna ulokole, wala kwa Rose Muhando hakuna zaidi sana ni skendo za kuchukua waume za watu kila kukicha....
 
Sasa si ana tuhuma za kubaka, kwani alimbaka flora? Ajibu tuhuma mahakamani

kunywa soda ntalipa.watu wananishangaza Emma anakabiliwa na kosa la jinai sasa Matendo maovu ya Frola kwa mujibu wa sheria sio makosa. mbona Gwajima katembea na Frola haku mbaka wala hakutembea na mdogo wa mkewe? kwahiyo mke akikunyima unyumba utembee na dada yake au mama yake? kila mtu ana makosa ila mwanaume ndo kabugi vinginevyo angemfumania Frola ndo maneno yake yangekua na mashiko
 
kweli best yaani mm ningempa makavu live huyo mama

best yaani hawa waimbaji wa injili wameharibu tasnia ya uimbaji na wamechafua hekalu la Mungu kabisa siku hizi huwezi mwambie kuwa mtu kwa ulokole kuna neema inakuwa ni ngumu tokana na maisha yao wanayoishi hawa wasanii wamekuwa na nyimbo za kuwafanya watu wabadilike lakini maisha yao na matendo yao tlofauti na nyimbo wanazoimba wanaigiza tu si bora waamue moja tu kusuka au kunyoa
Besti yaani siku hiyo huyo mama alinishambulia mpaka akawa anatoa mapovu, kisa eti nimesema Flora Mbasha si mlokole, natamani tungekuwa wote tumpe vipande mpaka azimie.... Ni kweli kabisa pale hakuna ulokole, wala kwa Rose Muhando hakuna zaidi sana ni skendo za kuchukua waume za watu kila kukicha....
 
Flora tapeli tu
kuna mwaka alikwepo singida mjini,pale kanisa la roma,alikuwa akizindua album yake km sikosei
kabla ya kuimba akasimama jukwaani na kuahidi eti atajenga hospitali,aliongea kwa bashasha kweli,yapata miaka karibu mitano sasa hata kiwanja hajapata

flora ni tapeli tu,hata sura yake inajieleza


Yuko mwingine nae siku hizi ni mbunge kutoka Singida nae anaimba imba nyimbo za dini; huyu ndio kahaba nambari moja wa wabunge wa magamba hana ulokole hata punje moja!!


 
hao ndio walokole wasiokunywa pombe na kuvuta sigara kwamba ni dhambi pyuuuuuuuuuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! karibuni RC mrudi kundini

Unachoongea hakina hekima. Je kanisa linafundisha ulevi na kuvuta sigara?
 
"Mjini msingi kiuno... Ukishatendwa ndo baibai..." -Rich Mavoko

Imma alipaswa kujiondokea baada ya kuona kimenuka kupitia kiuno cha Mchungwajima. Alipong'ang'ania kaangushiwa la ubakaji - na hatapona hili zengwe - Babu Seya et al. Inaonekana kuna mengi waliyafunika muda mrefu sanaaaaa ndo maana imelipuka hivi.

Mithali kinasema, 'usimwamini mwanamke usiempenda'. Sembuse asiekupenda...!!!!!
 
Flora si kaupenda mgegedo wa gwamaji kuliko wa mumewe!!! basi amwache mume vixuri sio kumsingizia. na sheria za nchi yetu khaaaaa. mbasha asipokuw makini .......
 
wanamtesa mtoto wao tu ambaye anahitaji sana malezi ya baba na mama.

na gwamaji alishajipanga kanunua daktari kasign cheti cha ubakaji kwa buku tano tu. hahaha
 
Jamani huyu mtu ni pesa ndio inamsumbu,istoshe wakati Mbasha anamchukua Frola si alikuwa kwa mtu mwingine tena ilikuwa karibu ndoa,Mbasha akafrahi kukamata mzigo,sasa ni zamu yake kuumia kama ambavyo aliumia yule jamaa wa awali,huwezi amin Yule jamaa baada ya kuachwa na Frola ktk hatua za mwisho mpaka leo jamaa alikataa kuoa,sa Mbasha avumirie maana yeye pia alimfanyia mtu,ikumbukwe kwamba KUNGURU HAFUGIKI,na anaejiona kapata na yeye ipo cku yake ya maumivu,Frola ni janga....!@
 
Hii inaitwa ukimwaga ugali mie namwaga mboga, huo muda aliokimbilia kwenye vyombo vya habari angetumia kukutana na wazazi wenzake kuangalia namna ya kutatua tatizo unless kama wameamua kupiga chini moja kwa moja hapo hata wakiongea inakuwa poa

Waandishi wa habari ndo wamewatafuta, kwa hali ya sasa wawili wakiamua kupigana chini, sidhani kama kunakuwa na reverse. Ngoja tuone.
 
laana ipi tena?
walimtuhumu amewaibia sh.laki tatu 300,000 wakaingia kumpekua vya kutosha,mzee chozi likamtoka,akasema "usanii wenu wa kujifanya mmeokoka iko siku mungu ata......"
 
Halafu yaani ndoa tokea 2002,wana mtoto mmoja tu.Ila mkwe wake inaonekana anataka ndoa iendelee,najiuliza kwa nini Flora hataki ndoa?si aliapa mpaka kifo kiwetenganishe

Hataki ndoa kwa sababu mumewe hana kitu na GWAJIMA ana mihela kibao.....baaaas
 
Back
Top Bottom