Baba Mbasha: Flora alichoka kuishi na mwanangu

Baba Mbasha: Flora alichoka kuishi na mwanangu

Hataki ndoa kwa sababu mumewe hana kitu na GWAJIMA ana mihela kibao.....baaaas
Hata wakati wanaoana mbona Imma alikuwa kapuku tu,tena hadi familia ya Kulola ilikataa,sema Flora alimpenda Imma hivyo hivyo.Leo wana mali,sidhani kama mali za Gwajima zinaweza kumzuzua Flora
 
Back
Top Bottom