sakapal
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,804
- 1,424
MTOTO: BABA LEO SHULE NIMESIKIA MWALIMU WAKISEMA WASHENZI NYIE MAANA YAKE NINI?
baba hataki mtoto wake ajue matusi akaamua bora amdanganye kumpotezea,......
BABA: MAANA YAKE NI WAGENI MWANANGU.
siku iliyofuata.....
MTOTO: BABA LEO WAKATI NATOKA DUKANI NA DADA NILISIKIA WATU WAKISEMA MAPUMBU MAANA YAKE NINI?
baba mawazo lol nini tena hiki kaua soo tena.....
BABA: MAANA YAKE MIAMVULI
siku ikaisha.
MTOTO: BABA JANA NILISIKIA WATOTO WA USWAHILINI WANASEMA KUTOMBANA MAANA YAKE NINI?
BABA: MWANANGU USISIKILIZE MANENO YA WATU ILA MAANA YAKE NI KUOGA.
mtoto akaacha kusikiliza maneno ya watu, baada ya siku kadhaa wageni wakaja kwao wakati mvua kali inanyesha mambo yakawa hivi......
MTOTO: KARIBUNI WASHENZI WEKENI MAPUMBU YENU HAPO NJE YAVUJE MAJI BABA ANATOMBANA..........lol....!!!!!
baada ya mapokezi hayo wageni waliondoka bila hata kuitikia karibu ila walisahau mapumbu yao pamoja na mvua ilikuwa inanyesha ....! lol!
NAMALIZA HIVI, WATOTO HAWADANGANYWI.
baba hataki mtoto wake ajue matusi akaamua bora amdanganye kumpotezea,......
BABA: MAANA YAKE NI WAGENI MWANANGU.
siku iliyofuata.....
MTOTO: BABA LEO WAKATI NATOKA DUKANI NA DADA NILISIKIA WATU WAKISEMA MAPUMBU MAANA YAKE NINI?
baba mawazo lol nini tena hiki kaua soo tena.....
BABA: MAANA YAKE MIAMVULI
siku ikaisha.
MTOTO: BABA JANA NILISIKIA WATOTO WA USWAHILINI WANASEMA KUTOMBANA MAANA YAKE NINI?
BABA: MWANANGU USISIKILIZE MANENO YA WATU ILA MAANA YAKE NI KUOGA.
mtoto akaacha kusikiliza maneno ya watu, baada ya siku kadhaa wageni wakaja kwao wakati mvua kali inanyesha mambo yakawa hivi......
MTOTO: KARIBUNI WASHENZI WEKENI MAPUMBU YENU HAPO NJE YAVUJE MAJI BABA ANATOMBANA..........lol....!!!!!
baada ya mapokezi hayo wageni waliondoka bila hata kuitikia karibu ila walisahau mapumbu yao pamoja na mvua ilikuwa inanyesha ....! lol!
NAMALIZA HIVI, WATOTO HAWADANGANYWI.