GE2025 Baba Levo VS Zitto Kabwe naomba qualification/CV zao

GE2025 Baba Levo VS Zitto Kabwe naomba qualification/CV zao

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
869
Reaction score
1,282
Naomba qualification/CV zao.

Bila Shaka kwenye Elimu na Uzoefu wa siasa, ZITTO atakuwa anamzidi Baba LEVO.

Sifa zingine:
Baba LEVO ni CHAWA

ZITTO ni mnafiki na opportunist.
 
Naomba qualification/CV zao.

Bila Shaka kwenye Elimu na Uzoefu wa siasa, ZITTO atakuwa anamzidi Baba LEVO.

Sifa zingine:
Baba LEVO ni CHAWA

ZITTO ni mnafiki na opportunist.
Siasa ni zaidi ya hizo CV na uzoefu!

Trump alimshida Hillary Clinton akitokea mtaani tu ambako hajawahi hata kuwa Mwenyekiti wa mtaa.
 
Imekaa kimtego sana hii. Amewekwa mgombea dhaifu ili Mh. Zitto alipwe fadhila. Time will tell.
Hivi Baba Levo ni mgombea dhaifu??

The guy has it all.

Elimu? Hakuna anayejali elimu ni hapa tu JF ambapo Wengi wetu tumesoma na hatuna kazi. Wapiga kura wengi wanataka mtu anayefanana nao...na Baba Levo ni typical sample ya mtu wa kawaida wa mtaani....

Upinzani ni mkubwa lakini kwasababu Zitto ana uzoefu.
 
Hivi Baba Levo ni mgombea dhaifu??

The guy has it all.

Elimu? Hakuna anayejali elimu ni hapa tu JF ambapo Wengi wetu tumesoma na hatuna kazi. Wapiga kura wengi wanataka mtu anayefanana nao...na Baba Levo ni typical sample ya mtu wa kawaida wa mtaani....

Upinzani ni mkubwa lakini kwasababu Zitto ana uzoefu.
Zitto ana uzoefu wa nini
Kuwa dabo ajenti au nini ?
 
Hivi Baba Levo ni mgombea dhaifu??

The guy has it all.

Elimu? Hakuna anayejali elimu ni hapa tu JF ambapo Wengi wetu tumesoma na hatuna kazi. Wapiga kura wengi wanataka mtu anayefanana nao...na Baba Levo ni typical sample ya mtu wa kawaida wa mtaani....

Upinzani ni mkubwa lakini kwasababu Zitto ana uzoefu.
That's fact kuna wajinga wa JF ni useless ,
 
Watu hamjui siasa nyie Yani hapo Zito kapewa mgombea dhaifu Ili apate kirahisi!!! Huu ni mpango wa muda mrefu sana
 
Imekaa kimtego sana hii. Amewekwa mgombea dhaifu ili Mh. Zitto alipwe fadhila. Time will tell.
hujui ulisemalo Zitto ana ushindani mkubwa sana kwa Levo...levo ashakuwa diwani pale kigoma mjini so usimchukulie poa
 
Mine was a question broo.
Zitto ana experience kubwa kwenye siasa za Kigoma.
Sidhani kama hili linahitaji kujadiliana.

Him being a CCM B or F.... doesn't take away his extensive experience.....
 
Naomba qualification/CV zao.

Bila Shaka kwenye Elimu na Uzoefu wa siasa, ZITTO atakuwa anamzidi Baba LEVO.

Sifa zingine:
Baba LEVO ni CHAWA

ZITTO ni mnafiki na opportunist.
Baba levo anasubiria kuapishwa maana NIDA zenu zishatumika tayari
 
Zitto ana experience kubwa kwenye siasa za Kigoma.
Sidhani kama hili linahitaji kujadiliana.

Him being a CCM B or F.... doesn't take away his extensive experience.....
Gotcha
 
hujui ulisemalo Zitto ana ushindani mkubwa sana kwa Levo...levo ashakuwa diwani pale kigoma mjini so usimchukulie poa
CV ya Zitto Kabwe haiwezi kulingana na ya Baba Levo. Wakati mnasema Baba Levo alikuwa diwani, Zitto alikuwa ni Mbunge hapo hapo Kigoma Mjini.
 
CV ya Zitto Kabwe haiwezi kulingana na ya Baba Levo. Wakati mnasema Baba Levo alikuwa diwani, Zitto alikuwa ni Mbunge hapo hapo Kigoma Mjini.

Ingekuwa CV ya elimu kubwa ndio inakupa ubunge. Walioishia Darasa la saba Kina Msukuma, shigongo,babu tale, tajiri kishimba wasingekuwepo bungeni.

Pia hata mama samia na division four yake hasingeupata urais.. bali u rais wangepewa ma professor na A zao za masomo yote

Uzuri Life ina rewards watu wa aina zote, hata ambao hawajasoma sana wapo ambao wanafanikiwa sana
 
Naomba qualification/CV zao.

Bila Shaka kwenye Elimu na Uzoefu wa siasa, ZITTO atakuwa anamzidi Baba LEVO.

Sifa zingine:
Baba LEVO ni CHAWA

ZITTO ni mnafiki na opportunist.

Ushabiki wa nini wakati tume tayari wana matokeo. Tabia za kujidanganya😂😂😂
 
Zitto ana experience kubwa kwenye siasa za Kigoma.
Sidhani kama hili linahitaji kujadiliana.

Him being a CCM B or F.... doesn't take away his extensive experience.....
Baba leo ni Sadaka ya Wale jama
 
Back
Top Bottom