Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 40,745
- 118,708
Huna sababu ya kutoa lugha ya kejeli, au kuanza kutukana watu! kwa sababu tu unatofautiana nao mtazamo. Tujifunze kujibizana kwa hoja.That's fact kuna wajinga wa JF ni useless ,
Huna sababu ya kutoa lugha ya kejeli, au kuanza kutukana watu! kwa sababu tu unatofautiana nao mtazamo. Tujifunze kujibizana kwa hoja.That's fact kuna wajinga wa JF ni useless ,
Naheshimu maoni yako.Ingekuwa CV ya elimu kubwa ndio inakupa ubunge. Walioishia Darasa la saba Kina Msukuma, shigongo,babu tale, tajiri kishimba wasingekuwepo bungeni.
Pia hata mama samia na division four yake hasingeupata urais.. bali u rais wangepewa ma professor na A zao za masomo yote
Uzuri Life ina rewards watu wa aina zote, hata ambao hawajasoma sana wapo ambao wanafanikiwa sana
Nani angekua mgombea strong?..hiyo battle ni konki sana,baba level anakubalika sana hapo kg townImekaa kimtego sana hii. Amewekwa mgombea dhaifu ili Mh. Zitto alipwe fadhila. Time will tell.
Baba Levo anaangushwa na Zitto saa nane mchana.Naomba qualification/CV zao.
Bila Shaka kwenye Elimu na Uzoefu wa siasa, ZITTO atakuwa anamzidi Baba LEVO.
Sifa zingine:
Baba LEVO ni CHAWA
ZITTO ni mnafiki na opportunist.
Na zito alikuwa mbunge hapo kigoma mjini, ingawa naamini levo atapita kwakuwa ccm haitegemei kura kushinda.Baba levo ni mgombea mgumu sana kwa zitto.
Kwenye siasa ogopa sana nguvu ya umaarufu.
Kumbuka baba levo alishakuwa diwani hapo kigoma mjini.
Tuna Massacre .....Hakuna anayetaka kujua nani aliyepewa Ubunge,udiwani na Tume ya CCM.Nani zaidi kwenye huu mchuano?
Chawa 1 yupo kichwani mwingine yupo kwenye nguo kiunoni, hapo chacha chwa yupi kaibuka mshindi?Zitto ni Chawa baba Levo nae Chawa