Baba Levo masharti ya mikopo naongezea na riba

Baba Levo masharti ya mikopo naongezea na riba

idiomer

Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
95
Reaction score
56
Mikopo ya wafanyakazi sasa inafanyika kupitia mfumo wa kuhifadhi taarifa za watumishi wa serikali ESS.

CHA KUSHANGAZA MPAKA SASA HUDUMA ZA KUOMBA MKOPO NI ZILE ZILE LICHA YA KUCHUKUA MUDA MFUPI.

PIA RIBA YA 17% NI KUBWA NA V.A.T JUU. Hii si sawa.
 
Back
Top Bottom