Wana ya kwao, si ajbu wala. Ni kumpotezea tu huyo baba.
ujui unachosema wazaz ni miungu wanaweza kukulaani au kukubariki kumbuka yakobo,ruben so baraka za mzaz muhimu na ni amri ya Mungu atakama ajafika basi atoe baraka zake kama ajafika lizima ujue reason uombe radhi unless unaweza pata laana