connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,802
- 3,856
Wajameni Jumamosi nilihudhuria harusi ya rafiki yangu pale KIRAMUU Hall, Mbezi sasa kabla bwana harusi hajaingia ukumbini nilimsikia akihaha kumpigia simu Baba yake (Baba Mzazi) ambae anaishi hapo Mbezi Tangi Bovu ambae alikataa uja kanisani pia ukumbini, bwana ilibidi baada ya kutoka kanisani apitie nyumban kucheck kulikon baba hajaja kanisani akamkuta mzee anaangalia TV comfortably kama hakuna kilichotokea.
Pamoja na kumsihi bado mzee hakutokea.
Hii ni sawa wajameni.
Au ndo ukauzu
Pamoja na kumsihi bado mzee hakutokea.
Hii ni sawa wajameni.
Au ndo ukauzu