Baba kumtaka kimapenzi mwanae.

alutem

Member
Jun 10, 2011
67
2
tabia mbayaaaa......,hv ni haki baba kutaka penz la mwanae japo c wa kumzaa ila wa kumlea.?hz pesa zitatumaliza manake na mtoto nae anaonekana kunogewa na chapaa za mzee na kula uroda kiulainiii..we wasemaje juu ya hlo ndugu.....
 
sijakuelewa kabisa,......anyway labda kuna kitu unataka maanisha lakn una kigugumizi
 
Laana hiyo na hata kwenye vitabu imeandikwa ni laana. Na hakuna justification yoyote wala sijui ni mtoto wa kuzaa nje ya ndoa wala nini ni laana
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
tabia mbayaaaa......,hv ni haki baba kutaka penz la mwanae japo c wa kumzaa ila wa kumlea.?hz pesa zitatumaliza manake na mtoto nae anaonekana kunogewa na chapaa za mzee na kula uroda kiulainiii..we wasemaje juu ya hlo ndugu.....
Binadamu kaumbwa na uwezo wa kutambua zuri na baya..Lakini ni Binadamu huyu huyu anayetengeneza silaha za kumuangamiza binadamu mwenzie na ni binadamu huyu huyu anayetengeneza dawa za kumtibu binadamu mwezake.....Ukienda kwa mlolongo huu utakuja kugundua kwamba sis binadamu ni viumbe tusio na maana kabisa....Halali kwako kwa mwingine ni haramu na kinyume chake halikadhalika...Kwa mtazamo huu nitakuwa wa mwisho kunyoosha kidole kwa mtu huyu kwa vile tafsiri ya maadili imeishachakachuliwa..
 
sasa hiyo laana tumwelekezee nani? baba au mtoto? maana wote hapo inaonyesha kabisa kila moja ana udhaifu wake.


mtoto anapenda pesa ingawa anajua kabisa kuwa haifai kufanya hivyo na baba yake.

baba anataka zigo wakati anajua kabisa kutamani zigo la mwanae ni laana kabisa.


NANA ALAUMIWE??????????????????????????????????/
 
tabia mbayaaaa......,hv ni haki baba kutaka penz la mwanae japo c wa kumzaa ila wa kumlea.?hz pesa zitatumaliza manake na mtoto nae anaonekana kunogewa na chapaa za mzee na kula uroda kiulainiii..we wasemaje juu ya hlo ndugu.....

Fafanua vizuri uhusiano wao manake ueleweki, pia umri wa huyo binti pengine itasaidia kukupa jibu sahii
 
Ijapo kuwa Alutem kuna ki2 analenga lakini ana kigugumizi! Ila hakika siku sijazo ambayo hakuna ajuaye hakika kutakuwa na "KILIO CHA KULIA NA KUSAGA MENO"
 
Ijapo kuwa Alutem kuna ki2 analenga lakini ana kigugumizi! Ila hakika siku sijazo ambayo hakuna ajuaye hakika kutakuwa na "KILIO CHA KULIA NA KUSAGA MENO"

Mkuu siku hizi haya mambo ni ya kawaida sana. Nina mfano wa binti na mama yake kusaga, kwa hiyo tunatakiwa tuishi kwa kujiangalia.
 
kuna jamaa yetu hapa Arusha mkewe aliwahi kuliwa uroda na baba yake mzazi zaidi ya miaka 7. Lakini cha ajabu yule mama kazaa watoto 2 na mchizi wetu hamadan wale watoto wote wana UKE na UUME ktk sehemu zao nyeti. Ni laana kali sana,,,!!
 
kuna jamaa yetu hapa Arusha mkewe aliwahi kuliwa uroda na baba yake mzazi zaidi ya miaka 7. Lakini cha ajabu yule mama kazaa watoto 2 na mchizi wetu hamadan wale watoto wote wana UKE na UUME ktk sehemu zao nyeti. Ni laana kali sana,,,!!

Mwehhh
Hii ni kweli lakini
Au ni hadithi, hadithi tuu..
 
ukianza kuongelea kuwa na uke na uume{hermaphrodism} na laana sidhani kama kuna uhusiano kwa kuwa hizo kwa kitaalamu congenital malformations na zinatokea arbitrarily. Labda eunde katika vitabu vya dini tutakusiliza.
 
Mie naona ni mawazo yako angalia isije ikawa umemtamani bint yako maana inaonyesha kila mmoja anainterest na kimoja wapo huyu penzi na yule chapaa
 
Wody Allen alimuoa kabisa adoptive step-daughter wake.

"You can laugh and criticize Michael Jackson if you wanna
Woody Allen, molested and married his step-daughter"

Mos Def - Mr. Nigga

 
Kulala na mzazi au ,wanao ni laana unalaaniwa wewe mpaka kizazi chako cha nne kwa hiyo na yeye atakuja kulala na mtoto wake na mtoto wake atalala na mwanae hata kwenye vitabu vya dini imeandikwa, wanaofanya hivyo pia hawana hofu ya Mungu.
 
sasa hiyo laana tumwelekezee nani? baba au mtoto? maana wote hapo inaonyesha kabisa kila moja ana udhaifu wake.<br />
<br />
<br />
mtoto anapenda pesa ingawa anajua kabisa kuwa haifai kufanya hivyo na baba yake.<br />
<br />
baba anataka zigo wakati anajua kabisa kutamani zigo la mwanae ni laana kabisa.<br />
<br />
<br />
NANA ALAUMIWE??????????????????????????????????/
<br />
<br /
Wote walaaniwe.
 
Ndo baadhi ya issues ukisikia ama kusoma unajifanya kua hujaona....
kwa amani ya roho yangu naona nijifanye sijapita hapa.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom