Binadamu kaumbwa na uwezo wa kutambua zuri na baya..Lakini ni Binadamu huyu huyu anayetengeneza silaha za kumuangamiza binadamu mwenzie na ni binadamu huyu huyu anayetengeneza dawa za kumtibu binadamu mwezake.....Ukienda kwa mlolongo huu utakuja kugundua kwamba sis binadamu ni viumbe tusio na maana kabisa....Halali kwako kwa mwingine ni haramu na kinyume chake halikadhalika...Kwa mtazamo huu nitakuwa wa mwisho kunyoosha kidole kwa mtu huyu kwa vile tafsiri ya maadili imeishachakachuliwa..tabia mbayaaaa......,hv ni haki baba kutaka penz la mwanae japo c wa kumzaa ila wa kumlea.?hz pesa zitatumaliza manake na mtoto nae anaonekana kunogewa na chapaa za mzee na kula uroda kiulainiii..we wasemaje juu ya hlo ndugu.....
tabia mbayaaaa......,hv ni haki baba kutaka penz la mwanae japo c wa kumzaa ila wa kumlea.?hz pesa zitatumaliza manake na mtoto nae anaonekana kunogewa na chapaa za mzee na kula uroda kiulainiii..we wasemaje juu ya hlo ndugu.....
Ijapo kuwa Alutem kuna ki2 analenga lakini ana kigugumizi! Ila hakika siku sijazo ambayo hakuna ajuaye hakika kutakuwa na "KILIO CHA KULIA NA KUSAGA MENO"
kuna jamaa yetu hapa Arusha mkewe aliwahi kuliwa uroda na baba yake mzazi zaidi ya miaka 7. Lakini cha ajabu yule mama kazaa watoto 2 na mchizi wetu hamadan wale watoto wote wana UKE na UUME ktk sehemu zao nyeti. Ni laana kali sana,,,!!
<br />sasa hiyo laana tumwelekezee nani? baba au mtoto? maana wote hapo inaonyesha kabisa kila moja ana udhaifu wake.<br />
<br />
<br />
mtoto anapenda pesa ingawa anajua kabisa kuwa haifai kufanya hivyo na baba yake.<br />
<br />
baba anataka zigo wakati anajua kabisa kutamani zigo la mwanae ni laana kabisa.<br />
<br />
<br />
NANA ALAUMIWE??????????????????????????????????/
Kuna vitu vingine tunamsingizia shetani tuSidhani kama hata shetani huwa anakubaliana na hayo....ahhhh!