- Thread starter
- #21
Adabu neimeshika sana ila saaa hivi naanza kuivua maana i am tied enoughBabako hajalogwa ni mapenzi tu hayo hafu kuwa na adabu kwa usingizi wa babako kijana
Kama anapendwa iweje aende kwa waganga mimi siamini hilo na hapo nimehadithia nusu nikieka kila kitu hapa ni waz hapa kuna hirizi