Baba JPM hajafa ila amelala ufunguzi wa ikulu leo alikuwepo japo hakuongea😭🤐

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,219
Moyo umesinjaa kwa kile nimekiona leo ktk ufunguzi wa Majengo ya ikulu Dodoma.

Nawaza najiuliza na sipati majibu. Nimeenda mbali zaidi nikasema hata kama hatuamini juu ya uwepo wa Dunia nyingine tusio iyona watu wa siri mlishimdwa hata wauliza Mashekh juu ya elimu Dunia? Mh nadhani Kuna jambo serikali na chama wanalitafuta na JPM ndio anaenda kukamilisha jambo Hilo kwa kosa dogo sana. Kudhani Alisha lala na kwakuwa amelala "wema hawafi ila wabaya wanakufa" msemo ambao kinadharia ktk kiswahili chetu alie tumia msemo huu alitumia kuutweza utu wa mtu akijuwa kabisa maana ya neno hili sio vile aliwaza au aliteleza nani ajuwaye ila wakati utajibu.

Ndugu zangu wana ccm wachache naomba niwakumbushe jambo JPM hajafa JPM amelala na siku zijazo mziki utakuwa mzito kama ule mziki uliwakuta watu wa Zambia dhidi ya Kaunda. Sitaki kusema wala kuongea sana ila Zambia kaunda aliwatoa kamasi tena wakati akiwa hai sio amekufa.

Sitaki kuandika sana ila Chiluba alipo shika Nchi akaona yeye ndio Rais. Na kazi ni moja kufukua makaburi pasipo kukumbuka Mzee wa watu ame pambana sana kuifikisha Zambia pale ilifika wakamsweka ndani. Hayati Baba wa Taifa akaenda kumtoa kwa amri moja tu Chiluba mtoe huyo Mzee ndani. Mwisho wakunukuu. Sote tunajuwa Chiluba yalio mkuta na Yale yali ikuta Zambia baada ya mchezo wa hatari waliucheza.

Zambia ilikuwa haipoi mpaka pale waliposhituka nakuanza mpa heshima yake Mzee Kaunda ndipo Zambia ilipoa na maisha yakaendelea. Hakuna kiongozi alimgusa Kaunda alitoboa😭🤐. Nenda kasome History.

Naona dhambi ile ile walifanya wana siasa wa Zambia sasa CCM mnaifanya tena kwa kada mwenzenu mkijuwa kabisa what is the top secret 🤐😭🤐. Hongereni mmeweza.
Mmeachia watu tena makada wamseme vibaya na kumsuta usiku na mchana ila nyuma ya pazia mnaujuwa ukweli tena ukweli mchungu. Mbaya mnahangaika kumfuta hata ktk kazi amezifanya kwa ujasiri na moyo wa Imani kwa Taifa lake. Dam,machozi na kifo chake mnacho kuona kuwa ni sherehe nataka niwahakikishie juwa halito chomoza kabla hajasikia jogoo akilia mara tatu kama sio nne na mtakapo kumbuka itakuwa imekwisha.

Nawakumbusha chuki na maneno ya Hila kuidhoofisha nyota ya Rais huyu vitakuwa huzuni na mateso kwa chama maana hajafa na kamwe hamuwezi kumzika maana ameifia Imani ya chama chake kama kweli tulitaka mtu atakae nyoosha barabara.

Angalieni alama za nyakati, angalie aina ya nyakati tunaishi mkatubu na kumuomba radhi akiwa bado hajagairi Taifa hili mtaliacha na ukiwa. Ona kile kina enda tokea siku sio nyingi. Ona kile kinaenda wakumba wale wamedhani unaweza taka jina la mtu na kumkebei just amekufa hakuna wakumfanya kitu.

Mpoto umeimba wimbo mzuri ila umeifuta history ya Magufuli wewe Mpoto soma hii thread utajuwa hujuwi kumbe hata wewe? JPM anasema Asante

Msemaji wa Ikulu nimeona video nzuri ya ujenzi wa ikulu na history yake ila umefunga macho nakufunika Ukweli hukumtaja Magufuli hata sehem moja JPM anasema hajafa mawe na Ardhi ya Dodoma mahali ikulu ilijengwa yatajitangaza yenyewe wakati upepo unavuna ila Wewe jiulize Nani atakutangaza.

Mzee JK kweli Mzee wangu kweli hata wewe umesema serikali ya awamu ya Tano hukumtaja Magufuli. JPM anasema Asante sana yupo anaangalia mwisho utakavyokua.

Mh Mpango najuwa huzuni na mengi yalikupata ukasema hili nifahari yenu wa Tanzania. JPM anasema Asante ila anakukumbusha usisahau kile alikwambia ktk vikao. Yeye yupo anaangalia kile kinaendelea anasema usijali anakuombea malaika wa Mungu wakulinde.

JPM hajafa anashukuru kwa yote Mke wake alimuakilisha anasema Mama Janet uwe na moyo mkuu maana baada ya Maria Nyerere wewe ndio utakuwa Maria Nyerere wa kizazi cha sasa. Anasema usiogope na uzidi kumuomba Mungu na Yeye anakuombea. Amen.

Mh Baba Pengo nashukuru kwa kuitetea Imani nakukataa dhuluma juu ya haki. JPM anashukuru kwa kusimamia ukweli na hata kumtembelea kwenye nyumba yake ya milele. Anasema amefarijika sana. Anasema hata kama leo hamkuwepo ila amewaelewa na ana amani kubwa sana.

JPM anawakumbusha wa Tz kuwa bado hamjamkumbuka ila mtamkumbuka kwa machozi na maombolezo na vilio siku zijazo na ndipo mtakumbuka maneno yake. JPM anasema msihangaike kumtetea ila atajitetea na Mungu wake. Leo hakuongea ila mawe yataongea na watu wenye napenzi mema na Taifa wataongea wapo walio hata Susa kwenda kufungua ila anasema watashindana na wanadam ila sio Mungu. Hakuomba kufa mapema ila Mungu alimpenda zaid kazi kwao wanao mnanga na kumsuta je wataondokaje maana yeye ameumaliza mwendo kwa amani. Amen.
 
IMG_6991.jpg
 
Inasikitisha sana na kukuuliza hili taifa limekumbwa na kitu gani kiasi cha kushikwa na upofu wa viwango hivi.

Naamini haya yote yanafanyika ili kuonyesha ulimwengu na dunia kuwa hakuwahi kufanya jambo lolote zuri katika utawala wake. Lakini kama mtoa uzi ulivyosema mawe na watu wanyonge watautetea ukweli juu yake.
 
Moyo umesinjaa kwa kile nimekiona leo ktk ufunguzi wa Majengo ya ikulu Dodoma.

Nawaza najiuliza na sipati majibu. Nimeenda mbali zaidi nikasema hata kama hatuamini juu ya uwepo wa Dunia nyingine tusio iyona watu wa siri mlishimdwa hata wauliza Mashekh juu ya elimu Dunia? Mh nadhani Kuna jambo serikali na chama wanalitafuta na JPM ndio anaenda kukamilisha jambo Hilo kwa kosa dogo sana. Kudhani Alisha lala na kwakuwa amelala "wema hawafi ila wabaya wanakufa" msemo ambao kinadharia ktk kiswahili chetu alie tumia msemo huu alitumia kuutweza utu wa mtu akijuwa kabisa maana ya neno hili sio vile aliwaza au aliteleza nani ajuwaye ila wakati utajibu.

Ndugu zangu wana ccm wachache naomba niwakumbushe jambo JPM hajafa JPM amelala na siku zijazo mziki utakuwa mzito kama ule mziki uliwakuta watu wa Zambia dhidi ya Kaunda. Sitaki kusema wala kuongea sana ila Zambia kaunda aliwatoa kamasi tena wakati akiwa hai sio amekufa.

Sitaki kuandika sana ila Chiluba alipo shika Nchi akaona yeye ndio Rais. Na kazi ni moja kufukua makaburi pasipo kukumbuka Mzee wa watu ame pambana sana kuifikisha Zambia pale ilifika wakamsweka ndani. Hayati Baba wa Taifa akaenda kumtoa kwa amri moja tu Chiluba mtoe huyo Mzee ndani. Mwisho wakunukuu. Sote tunajuwa Chiluba yalio mkuta na Yale yali ikuta Zambia baada ya mchezo wa hatari waliucheza.

Zambia ilikuwa haipoi mpaka pale waliposhituka nakuanza mpa heshima yake Mzee Kaunda ndipo Zambia ilipoa na maisha yakaendelea. Hakuna kiongozi alimgusa Kaunda alitoboa😭🤐. Nenda kasome History.

Naona dhambi ile ile walifanya wana siasa wa Zambia sasa CCM mnaifanya tena kwa kada mwenzenu mkijuwa kabisa what is the top secret 🤐😭🤐. Hongereni mmeweza.
Mmeachia watu tena makada wamseme vibaya na kumsuta usiku na mchana ila nyuma ya pazia mnaujuwa ukweli tena ukweli mchungu. Mbaya mnahangaika kumfuta hata ktk kazi amezifanya kwa ujasiri na moyo wa Imani kwa Taifa lake. Dam,machozi na kifo chake mnacho kuona kuwa ni sherehe nataka niwahakikishie juwa halito chomoza kabla hajasikia jogoo akilia mara tatu kama sio nne na mtakapo kumbuka itakuwa imekwisha.

Nawakumbusha chuki na maneno ya Hila kuidhoofisha nyota ya Rais huyu vitakuwa huzuni na mateso kwa chama maana hajafa na kamwe hamuwezi kumzika maana ameifia Imani ya chama chake kama kweli tulitaka mtu atakae nyoosha barabara.

Angalieni alama za nyakati, angalie aina ya nyakati tunaishi mkatubu na kumuomba radhi akiwa bado hajagairi Taifa hili mtaliacha na ukiwa. Ona kile kina enda tokea siku sio nyingi. Ona kile kinaenda wakumba wale wamedhani unaweza taka jina la mtu na kumkebei just amekufa hakuna wakumfanya kitu.

Mpoto umeimba wimbo mzuri ila umeifuta history ya Magufuli wewe Mpoto soma hii thread utajuwa hujuwi kumbe hata wewe? JPM anasema Asante

Msemaji wa Ikulu nimeona video nzuri ya ujenzi wa ikulu na history yake ila umefunga macho nakufunika Ukweli hukumtaja Magufuli hata sehem moja JPM anasema hajafa mawe na Ardhi ya Dodoma mahali ikulu ilijengwa yatajitangaza yenyewe wakati upepo unavuna ila Wewe jiulize Nani atakutangaza.

Mzee JK kweli Mzee wangu kweli hata wewe umesema serikali ya awamu ya Tano hukumtaja Magufuli. JPM anasema Asante sana yupo anaangalia mwisho utakavyokua.

Mh Mpango najuwa huzuni na mengi yalikupata ukasema hili nifahari yenu wa Tanzania. JPM anasema Asante ila anakukumbusha usisahau kile alikwambia ktk vikao. Yeye yupo anaangalia kile kinaendelea anasema usijali anakuombea malaika wa Mungu wakulinde.

JPM hajafa anashukuru kwa yote Mke wake alimuakilisha anasema Mama Janet uwe na moyo mkuu maana baada ya Maria Nyerere wewe ndio utakuwa Maria Nyerere wa kizazi cha sasa. Anasema usiogope na uzidi kumuomba Mungu na Yeye anakuombea. Amen.

Mh Baba Pengo nashukuru kwa kuitetea Imani nakukataa dhuluma juu ya haki. JPM anashukuru kwa kusimamia ukweli na hata kumtembelea kwenye nyumba yake ya milele. Anasema amefarijika sana. Anasema hata kama leo hamkuwepo ila amewaelewa na ana amani kubwa sana.

JPM anawakumbusha wa Tz kuwa bado hamjamkumbuka ila mtamkumbuka kwa machozi na maombolezo na vilio siku zijazo na ndipo mtakumbuka maneno yake. JPM anasema msihangaike kumtetea ila atajitetea na Mungu wake. Leo hakuongea ila mawe yataongea na watu wenye napenzi mema na Taifa wataongea wapo walio hata Susa kwenda kufungua ila anasema watashindana na wanadam ila sio Mungu. Hakuomba kufa mapema ila Mungu alimpenda zaid kazi kwao wanao mnanga na kumsuta je wataondokaje maana yeye ameumaliza mwendo kwa amani. Amen.
RIP JPM, RIP Ben Saanane
 
Suala la Imani ni gumu sana. Jengeni utamaduni wa kumuamini Mungu Aliye Hai Muumba wa Mbingu na Ardhi, Yeye ni wa Milele. Kuweka Imani kwa mwanadamu zaidi ya Muumba wako ni dhambi.

JPM amefariki na sio wakwanza kufariki toka tupate Uhuru. Tofauti yake na Watangulizi wake ni kwamba yeye kafia madarakani. Kwanini Mnaona kama ni so special kwa Marais wengine?? Yaani mnataka eti watu wote wawe na Imani kama zenu za kwenda kusujudia kaburi lake??
 
Moyo umesinjaa kwa kile nimekiona leo ktk ufunguzi wa Majengo ya ikulu Dodoma.

Nawaza najiuliza na sipati majibu. Nimeenda mbali zaidi nikasema hata kama hatuamini juu ya uwepo wa Dunia nyingine tusio iyona watu wa siri mlishimdwa hata wauliza Mashekh juu ya elimu Dunia? Mh nadhani Kuna jambo serikali na chama wanalitafuta na JPM ndio anaenda kukamilisha jambo Hilo kwa kosa dogo sana. Kudhani Alisha lala na kwakuwa amelala "wema hawafi ila wabaya wanakufa" msemo ambao kinadharia ktk kiswahili chetu alie tumia msemo huu alitumia kuutweza utu wa mtu akijuwa kabisa maana ya neno hili sio vile aliwaza au aliteleza nani ajuwaye ila wakati utajibu.

Ndugu zangu wana ccm wachache naomba niwakumbushe jambo JPM hajafa JPM amelala na siku zijazo mziki utakuwa mzito kama ule mziki uliwakuta watu wa Zambia dhidi ya Kaunda. Sitaki kusema wala kuongea sana ila Zambia kaunda aliwatoa kamasi tena wakati akiwa hai sio amekufa.

Sitaki kuandika sana ila Chiluba alipo shika Nchi akaona yeye ndio Rais. Na kazi ni moja kufukua makaburi pasipo kukumbuka Mzee wa watu ame pambana sana kuifikisha Zambia pale ilifika wakamsweka ndani. Hayati Baba wa Taifa akaenda kumtoa kwa amri moja tu Chiluba mtoe huyo Mzee ndani. Mwisho wakunukuu. Sote tunajuwa Chiluba yalio mkuta na Yale yali ikuta Zambia baada ya mchezo wa hatari waliucheza.

Zambia ilikuwa haipoi mpaka pale waliposhituka nakuanza mpa heshima yake Mzee Kaunda ndipo Zambia ilipoa na maisha yakaendelea. Hakuna kiongozi alimgusa Kaunda alitoboa😭🤐. Nenda kasome History.

Naona dhambi ile ile walifanya wana siasa wa Zambia sasa CCM mnaifanya tena kwa kada mwenzenu mkijuwa kabisa what is the top secret 🤐😭🤐. Hongereni mmeweza.
Mmeachia watu tena makada wamseme vibaya na kumsuta usiku na mchana ila nyuma ya pazia mnaujuwa ukweli tena ukweli mchungu. Mbaya mnahangaika kumfuta hata ktk kazi amezifanya kwa ujasiri na moyo wa Imani kwa Taifa lake. Dam,machozi na kifo chake mnacho kuona kuwa ni sherehe nataka niwahakikishie juwa halito chomoza kabla hajasikia jogoo akilia mara tatu kama sio nne na mtakapo kumbuka itakuwa imekwisha.

Nawakumbusha chuki na maneno ya Hila kuidhoofisha nyota ya Rais huyu vitakuwa huzuni na mateso kwa chama maana hajafa na kamwe hamuwezi kumzika maana ameifia Imani ya chama chake kama kweli tulitaka mtu atakae nyoosha barabara.

Angalieni alama za nyakati, angalie aina ya nyakati tunaishi mkatubu na kumuomba radhi akiwa bado hajagairi Taifa hili mtaliacha na ukiwa. Ona kile kina enda tokea siku sio nyingi. Ona kile kinaenda wakumba wale wamedhani unaweza taka jina la mtu na kumkebei just amekufa hakuna wakumfanya kitu.

Mpoto umeimba wimbo mzuri ila umeifuta history ya Magufuli wewe Mpoto soma hii thread utajuwa hujuwi kumbe hata wewe? JPM anasema Asante

Msemaji wa Ikulu nimeona video nzuri ya ujenzi wa ikulu na history yake ila umefunga macho nakufunika Ukweli hukumtaja Magufuli hata sehem moja JPM anasema hajafa mawe na Ardhi ya Dodoma mahali ikulu ilijengwa yatajitangaza yenyewe wakati upepo unavuna ila Wewe jiulize Nani atakutangaza.

Mzee JK kweli Mzee wangu kweli hata wewe umesema serikali ya awamu ya Tano hukumtaja Magufuli. JPM anasema Asante sana yupo anaangalia mwisho utakavyokua.

Mh Mpango najuwa huzuni na mengi yalikupata ukasema hili nifahari yenu wa Tanzania. JPM anasema Asante ila anakukumbusha usisahau kile alikwambia ktk vikao. Yeye yupo anaangalia kile kinaendelea anasema usijali anakuombea malaika wa Mungu wakulinde.

JPM hajafa anashukuru kwa yote Mke wake alimuakilisha anasema Mama Janet uwe na moyo mkuu maana baada ya Maria Nyerere wewe ndio utakuwa Maria Nyerere wa kizazi cha sasa. Anasema usiogope na uzidi kumuomba Mungu na Yeye anakuombea. Amen.

Mh Baba Pengo nashukuru kwa kuitetea Imani nakukataa dhuluma juu ya haki. JPM anashukuru kwa kusimamia ukweli na hata kumtembelea kwenye nyumba yake ya milele. Anasema amefarijika sana. Anasema hata kama leo hamkuwepo ila amewaelewa na ana amani kubwa sana.

JPM anawakumbusha wa Tz kuwa bado hamjamkumbuka ila mtamkumbuka kwa machozi na maombolezo na vilio siku zijazo na ndipo mtakumbuka maneno yake. JPM anasema msihangaike kumtetea ila atajitetea na Mungu wake. Leo hakuongea ila mawe yataongea na watu wenye napenzi mema na Taifa wataongea wapo walio hata Susa kwenda kufungua ila anasema watashindana na wanadam ila sio Mungu. Hakuomba kufa mapema ila Mungu alimpenda zaid kazi kwao wanao mnanga na kumsuta je wataondokaje maana yeye ameumaliza mwendo kwa amani. Amen.
takataka
 
Back
Top Bottom