Baba Diamond Ashinda Njaa

Ali mtelekeza mond n mama yke kipindi mond bado mtoto so mama akachukua jukumu la kumlea mond pekee yke, n mond alipokuwa dogo alipokuwa anaenda kumuomba ela baba yke alikuwa ana mtimua n kipigo juu
unajua maana ya baba??
 
Halafu mbona hao waandushi hawamuulizi kwanini alitelekeza familia yake ili kubalance habari na kuweza ku-judge nani mkosaji.Naona anatafuta tu huruma ya watu ili Diamond aonekane mbaya na mpuuzi lakini anashindwa kuelewa alipokuwa anatumia hela na wanawake wengine wakina Diamond na mama yake walishinda njaa mara ngapi.
 
Alifanya nini ujana wake na je angekuwa teja hayo malalamiko angeenda tena gazetini au TV kusema na ingekuwa habari Leo?
 
Hapo ndio penye shida ukisoma unaona kabisa ni story iliyotengenezwa
 
Mfumo wa wanawake wa kijapan ukoje?
Mkuu wanawake wa Kijep habari zao ndefu.
Ila Kwa ufupi ukimdinya ukampa kitumbo halafu ukakimbia kulea, ujue na mtoto usimuhesabu, na mtoto mwenyewe pia akipata akili wala hakuweki kwenye hesabu kuwa wewe ni baba yake.
Mtoto akiwa mdogo analishwa sumu zote kuwa hana baba, na sumu inapokelewa kiukamilifu na mtoto.
Akipata akili wala hajishughulishi kukutafuta, na ukimuuliza anakujibu kweupe Mbuzi anakula Majani kuwa 'Baba sina, alikimbia wakati nikiwa mdogo, nimelelewa na mama tu'.
Lakini uzuri wa wakimbiaji nao huwa hawageuki nyuma, wakikimbia huwa kimoja, wala huwa hawakumbuki kuwa kuna sehemu walizaa.
Nafanya kazi na vijana 3 wa Kijapan, wote Ma- engineer, wawili wamekimbiwa na baba zao toka wakiwa watoto wadogo kabisa na mmoja alikimbiwa na mama yake akiwa na umri wa miaka 10.
 
Baba sio shahawa au sperms tu..siku hizi zinapatikana hata maabara unaotesha mimba ...

Muulizeni kama yeye sasa ndio ameukata na diamond ni chokoraa mitaani huyo njemba angerudi kuwafata ?

Narejea ubaba sio shahawa...
 
Sijaona UZEE hapo unless siku hizi jina UZEE limepoteza credbility
 
Ni jukumu la diamond kumtunza tiffa.
 
Hilo ni fundisho kwa wanaume jamani msikimbie majukumu yenu sasa yeye aliacha kumhudumia why yeye ahudumiwe sasa hivi?
 
Tafuta pesa we Pimbi(dingi), kama upewi unachotaka, maswala ya kulia lia kausha
 
Haswaaaa hata Watoto tunawakosea sana wazazi lakini hawatuchukii milele,bado wazaz wanatujali na kutuombea mema,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…