CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Siku moja baada ya kupata chakula cha mchana "baba Chanja na mama Chanja waliamua kubadilishana mawazo kama ifuatavyo.
Baba Chanja:hivi mama Chanja mimi nikifa leo au kesho jee utaolewa na mwanaume mwingine?
Mama Chanja:ndio mume wangu ntaolewa.
Baba Chanja:na huyo mume mtalala nae ktk kitanda hikihiki tunachokilalia?
Mama Chanja:Ndio mume wangu.
Baba Chanja:Na nguo zangu utampa pia?
Mama Chanja:Ndio mume wangu ntampa,na tena lile shati jeupe litampendeza sana.
Baba Chanja:Mhh,kwahiyo ata vile viatu vyangu nilivyovinunua juzi juzi mjini pia utampa?
Mama Chanja:hapana hivyo sitampa.
Baba Chanja:Kwanini vitu vyote umpe isipokua viatu tuu???
Mama Chanja:Miguu yenu haiendani!!!!!
Teh teh teh.
Baba Chanja:hivi mama Chanja mimi nikifa leo au kesho jee utaolewa na mwanaume mwingine?
Mama Chanja:ndio mume wangu ntaolewa.
Baba Chanja:na huyo mume mtalala nae ktk kitanda hikihiki tunachokilalia?
Mama Chanja:Ndio mume wangu.
Baba Chanja:Na nguo zangu utampa pia?
Mama Chanja:Ndio mume wangu ntampa,na tena lile shati jeupe litampendeza sana.
Baba Chanja:Mhh,kwahiyo ata vile viatu vyangu nilivyovinunua juzi juzi mjini pia utampa?
Mama Chanja:hapana hivyo sitampa.
Baba Chanja:Kwanini vitu vyote umpe isipokua viatu tuu???
Mama Chanja:Miguu yenu haiendani!!!!!
Teh teh teh.