Ndoo maana Mimi nawekeza sana kwenye vitega uchumi vyangu binafsi zaidi kuliko nnavyowekeza kwa wanangu maana ndugu wa kweli wa mwanaume pale anapozeeka ni akiba yake tu.View attachment 2931262
"Formula yangu ni ile ile mwaka wa 7 sasa. Nikimtumia baba pesa X mama 2X" - Idriss Sultan
Vijana kama hawa wakizeeka ndio wanaongoza kutoa lawama kwa watoto wao wa kiume kuwa wanaegemea sana kwa mama wakati utaratibu waliuanza wenyewe.
Baba Hana thamani hadi Afariki, ni kama Tamaduni Baba kutokupewa uzitoView attachment 2931262
"Formula yangu ni ile ile mwaka wa 7 sasa. Nikimtumia baba pesa X mama 2X" - Idriss Sultan
Vijana kama hawa wakizeeka ndio wanaongoza kutoa lawama kwa watoto wao wa kiume kuwa wanaegemea sana kwa mama wakati utaratibu waliuanza wenyewe.
Hakika ukipoteza mzee wako ndo utajua umuhimu wake apa duniani, speaking from hard experience.Baba Hana thamani hadi Afariki, ni kama Tamaduni Baba kutokupewa uzito