Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
|
Bwana Yussuf Hamad anaetuhumiwa kuzaa na bintie akitaka kumpokonya kamera mwandishi wa gazeti la majira Rashid Mkwinda ili asimpige picha |
|
Jamaa kuona amezidiwa akaamua kujifunika na shati lake huku akitoa maneno makali kuwa nyie waandishi mmekosa cha kuandika mmeona hii ndiyo habari hakuna habari nyingine? alihoji mtuhumiwa huyo |
issue hapa ni nini kuwa kambaka mtoto ama kampa mimba mtoto wake...kwani kuna sheria inakataza mtu kuwa na mahusiano na mtu fulani na mtu furani ni sumu?
issue hapa ni nini kuwa kambaka mtoto ama kampa mimba mtoto wake...kwani kuna sheria inakataza mtu kuwa na mahusiano na mtu fulani na mtu furani ni sumu?
issue hapa ni nini kuwa kambaka mtoto ama kampa mimba mtoto wake...kwani kuna sheria inakataza mtu kuwa na mahusiano na mtu fulani na mtu furani ni sumu?
Ninaambiwa kwamba dini ya jaamaa haina dhambi,kwa maana ya kwamba mambo yote kama kutukana, kuua, ushirikina, uwongo uchawi, chuki, udanganyifu n.k ni ruksa. Lakini sikufikiria kwamba hata conscious kumbe huwa zinakufa. Jamaa hata haya wala hofu hana.
Ndio sheria ya Jinai inakaza! Huyo baba amefanya kosa kisheria linaitwa incest na anaweza kufungwa si chini ya miaka ishirini.
issue hapa ni nini kuwa kambaka mtoto ama kampa mimba mtoto wake...kwani kuna sheria inakataza mtu kuwa na mahusiano na mtu fulani na mtu furani ni sumu?
narudia tena wanaume ni viumbe hatari sana ,siwezi watofautisha na nguruwe mwenye uwezo wakula watoto wake aliowazaa sasa tofauti ikowapi??
Ndio sheria ya Jinai inakaza! Huyo baba amefanya kosa kisheria linaitwa incest na anaweza kufungwa si chini ya miaka ishirini.
tena ana yote incest na pia kubaka... ni chini ya 18 hiyooooooooooooooo. japo marehemu kanuamba ali.....