Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,591
Unamaanisha baba yake ni mvulana aliyekuwa mpumbavu na akazeeka na upumbavu wake?
Ukipewa tafsiri utanifafanulia.
Unamaanisha baba yake ni mvulana aliyekuwa mpumbavu na akazeeka na upumbavu wake?
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] dah umeua mkuuSio kila mzee ana busara, kumbuka wavulana wapumbavu nao huzeeka
Unamaanisha wenye wake wawili wote Ni vichaa siku hizi?
Kweli kabisaSio kila mzee ana busara, kumbuka wavulana wapumbavu nao huzeeka
wewe Una Baba?Usi mdharau baba yako
Unatakiwa ufurahie maisha, na sio kurelax usifanye kazi... Ndoa ni sehemu ya maisha yako kama kijana ni wajibu wa mke wako kuhakikisha upo nazifu kila siku na mwenye furaha... Nani wajibu wako kama men kuhakikisha familia unaudumia ili kuleta furaha... Jaribu kumuelewa mleta mada!!! Na Wanaume hatuna umama jiangalie mienendo yako then jipime kuwa wewe ni Mama au BabaWanaume wa sikuhizi tuna umama sana..
Unataka kurelax ukioa?....
Wee msikilize baba yako kwa usawa huu kama hujaanza kuongea peke yako huko njiani
Unamaanisha baba yake ni mvulana aliyekuwa mpumbavu na akazeeka na upumbavu wake?
Wewe unapenda kuwa stressed now and then?Wanaume wa sikuhizi tuna umama sana..
Unataka kurelax ukioa?....
Joka jeusi, wewe ni mtaalam wa mambo ya ndoa na mahusiano?Alichoongea mzee wako ni sawa na muda huo huo sio sawa.
Ni sawa kama utapata mwanamke anayependa kushindana na wewe. Asiyekusikiliza. Mwanamke anayependa kugombana gombana. Anayependa maneno maneno.
Mwanamke wa hivi unapaswa umtafutie Mwenzake kusudi apate wa kugombana naye. Apate wa kutoleana naye maneno. Hapa lazima atahitaji uwe upande wake hivyo atafanya juu chini umpende. Yale maneno ya shombo atampelekea mke mwenza huko.
Sio sawa ikiwa utakuwa umepata mke mwema kutoka Kwa Mungu. Hii ni kwa sababu atakuwa anakuheshimu, kukusikiliza. Atajua majukumu yake. Hatagombana wala kukutupia maneno kwa kuwa anaadabu.
Hivyo angalia na mwanamke wa kumfanyia hayo.
kumbuka;
Usioe Mwanamke Masikini
Usioe mwanamke asiye na bikra.
Ahsante sana
Joka jeusi, wewe ni mtaalam wa mambo ya ndoa na mahusiano?