Baadhi ya wanawake wa maofisini ni mtihani

Baadhi ya wanawake wa maofisini ni mtihani

Big Balls

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2025
Posts
922
Reaction score
1,757
Baadhi sio wote, wanapokuwa ofisini wanajifanya hawana wapenzi au wapo kwenye mapenzi yanayopumulia machine, kana kwamba wanahitaji faraja.

Ofisini hapa Kuna dada nilimkuta, najua ana mpenzi wake na kutwa wana postiana status, nika test kumtania/kimasihara ili ku prove anachosema Xi Jinping ghafla anasema yupo single na wiki lote limekuwa heka heka ofisini, mie kawaida natoka ofisini usiku nae anakaa hadi usiku ili mradi anile kichwa.

Jamani huku ofisini Hali mbaya Kuna ngono na mapenzi ya ajabu ajabu sana.

Sasa sijui tuombea Mungu kabla hatujatoka labda mtu anakuwa na hofu , au kuwe na vipimo vya ukaguzi kama mtu kafanya madudu mda mfupi uliopita, maana Hali ni mbaya inatisha
 
Baadhi sio wote, wanapokuwa ofisini wanajifanya hawana wapenzi au wapo kwenye mapenzi yanayopumulia machine, kana kwamba wanahitaji faraja.

Ofisini hapa Kuna dada nilimkuta, najua ana mpenzi wake na kutwa wana postiana status, nika test kumtania/kimasihara ili ku prove anachosema Xi Jinping ghafla anasema yupo single na wiki lote limekuwa heka heka ofisini, mie kawaida natoka ofisini usiku nae anakaa hadi usiku ili mradi anile kichwa.

Jamani huku ofisini Hali mbaya Kuna ngono na mapenzi ya ajabu ajabu sana.

Sasa sijui tuombea Mungu kabla hatujatoka labda mtu anakuwa na hofu , au kuwe na vipimo vya ukaguzi kama mtu kafanya madudu mda mfupi uliopita, maana Hali ni mbaya inatisha
Chai
 
Uongo
images - 2024-03-28T101424.595.jpeg
 
Demu wapeke yako ningum kumapata mkuu mahali popote. Mwanamke anakubali mtu yeyote hata akiwa katika mahusiano kwasababu mwanamke anahitaji ndoa na hana uhakika kama huyo aliyenaye atamuoa kwahiyo nilazima ahakikishe anakuwa nao kisha anagalie mwenye mwelekeo.
 
Huko maofisini watu wanafanya NGONO sana ..kwenye vyoo vya ofisi...ofisi ndani kwenye vichumba, jikoni, lakin jikon sidhani mana kila mtu huingia ..ila pia kwenye magari usiku..parking , Wanatoka usiku wanaelekea parking kwenye gari either ya mwanaume ama ya mwanadada..na hii ni kuavoid kufumaniwa kwenye lodge nagesti bubu...kwaio wanamalizana kwenye magari usiku kwenye parking , wakishatombana , mwanaume Anatoka kama ni gari ya mdada anaingia kwenye gari yake anasepa na mwanamke anasepa na gari yake...and vice versa...
 
Back
Top Bottom