Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,709
- 5,697
Jumapili moja nilikuepo kwenye mgahawa mmoja hapa Dar, kiukweli ni mgahawa wenye hadhi kidogo (upo classic) mgahawa una ukuta wa kioo, ndani kiyoyozi plus tv Pana flat screen. Nilivokua nje ya mgahawa mara akaingia mdada mmoja mzuri kweli nikasema dooh.
Mungu ni fundi ile nimeingia ndani mdada yuko na dume lake, ameagiziwa hills water ya 1000 na jamaa nae kaagiza hill water ya buku, baada ya kuwaangalia vizuri pozi walizokaa nkajua hao ni wapenzi, nimekaa pale masaa manne, maji ya elf ni hayo hayo yananywewa, wakati wateja wengine wanaagiza ballantino, Windhoek na hennesy.
Shida sio jamaa kuagiza maji ya buku, mwanaume kumleta mpenzi wako sehem ya hadhi kama hiyo, hlf unachomwagizia ni maji ya buku wakati smoothie juices, milk shakes, kitimoto, nyama rost, wali, kuku chips na ugali Maini vipo, huko naona ni kama kumdhalilisha demu wako, Kama huna hela mpeleke vibandani.
Au ukija sehem kama zile kuangalia mpira tu, njoo mwenyewe, mwanaume inatakiwa ukiwa Peke Ako na demu wako sehemu kama zile, kibunda kiwe kinasoma mfukoni, uhakikishe wewe na demu wako mnaenjoy.
Mungu ni fundi ile nimeingia ndani mdada yuko na dume lake, ameagiziwa hills water ya 1000 na jamaa nae kaagiza hill water ya buku, baada ya kuwaangalia vizuri pozi walizokaa nkajua hao ni wapenzi, nimekaa pale masaa manne, maji ya elf ni hayo hayo yananywewa, wakati wateja wengine wanaagiza ballantino, Windhoek na hennesy.
Shida sio jamaa kuagiza maji ya buku, mwanaume kumleta mpenzi wako sehem ya hadhi kama hiyo, hlf unachomwagizia ni maji ya buku wakati smoothie juices, milk shakes, kitimoto, nyama rost, wali, kuku chips na ugali Maini vipo, huko naona ni kama kumdhalilisha demu wako, Kama huna hela mpeleke vibandani.
Au ukija sehem kama zile kuangalia mpira tu, njoo mwenyewe, mwanaume inatakiwa ukiwa Peke Ako na demu wako sehemu kama zile, kibunda kiwe kinasoma mfukoni, uhakikishe wewe na demu wako mnaenjoy.