Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,472
- 12,889
Mkuu unatafuta kichapo sasa🤣😂😂😂Hao wameungana na CCM hawana kazi za kufanya
Unadhani wanatambua kuwa hizo nembo na mavazi na gadgets ni kodi za hao raia wsnaowanyanyasa kila wapatapo nafasi.Wanajeshi wa jeshi la ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi ya Tanzania wana tatizo la nidhamu na hawapendi kukosolewa pale wanapokosea.
Tatizo ni kwamba hawa vijana wetu na kaka zetu na dada zetu na wadogo zetu,pale wanapovaa mavazi yenye nembo ya taifa wanajiona wapo juu ya sheria.
Matukio ni mengi na hatuwezi kuelezea yote ila yanatufedheesha sana.
Na watu wanaogopa kusema ukweli ila nodhamu ni tatizo kwa asilimia 49% katika jeshi la JWTZ na matukio yanayojitokeza kuanzia ndani ya nchi na mpaka nje ya nchi hayafichiki.
Au elimu inayotolewa jeshini inahusu tu nidhamu ua uwanja wa vita na sio nidhamu ya kuishi na raia au watu inaowalinda?
Bahati mbaya uongozi wa jeshi unaongozwa na kanuni,sasa wale watu waliopewa dhama ya kusimamia hizo kanuni wakizivunja ni nani atawakemea?
Au hawa vijana wetu hawana utambuzi kua kuna jamii inayowazunguka na kuna maisha baada ya kulitumikia jeshi la ulinzi na usalama la wananchi wa Tanzania?
NB: MATUKIO KAMA LILILOTOKEA KAWE YANGEWEZA KUEPUKWA KAMA ELIMU YA MAHUSIANO YA KIJAMII NA NIDHAMU INGEKUA INATOLEWA KWA WANA USALAMA HAWA.
KUPIGA RAIA KUNAJENGA CHUKI NA RAIA WAKIJENGA CHUKI NA MADHARA YAKE NI MAKUBWA NA YA MDA MREFU.
Mkuu umeelewa nilichoandika huko juu?Kama Jeshi la Tanzania lisingekuwa na nidhamu,Uasi unaouona katika nchi zenye vita ungeuona katika JWTZ.
Mkuu ebu fafanua kiundani ,,masna umeongea pointi sanaUnadhani wanatambua kuwa hizo nembo na mavazi na gadgets ni kodi za hao raia wsnaowanyanyasa kila wapatapo nafasi.
Tatizo ni kule juu yaani heads wa siasa ambao wanaliingiza jeshi kwenye mbawa zao watekeleze matakwa yao.
Katiba mpya ndo mwongozo muhimy tunaoungoja
Kwani kambini wanaruhusiwa hivi vitu kutumia??Hapana .. Afya ya akili. Na endapo Jani la Arusha ama Malawi wametumia ndo taabu tupu
Hebu kunywa togwa hapo ntalipa.,..watu wengi hawajui kwamba matokeo ya yote haya sababu ni siasa uchwaraUnadhani wanatambua kuwa hizo nembo na mavazi na gadgets ni kodi za hao raia wsnaowanyanyasa kila wapatapo nafasi.
Tatizo ni kule juu yaani heads wa siasa ambao wanaliingiza jeshi kwenye mbawa zao watekeleze matakwa yao.
Katiba mpya ndo mwongozo muhimy tunaoungoja
Mkuu tunasubiri mchango wakoHebu kunywa togwa hapo ntalipa.,..watu wengi hawajui kwamba matokeo ya yote haya sababu ni siasa uchwara
Majeshi yasiyojiamini au tuseme majeshi feki ambayo tunajua fika uwezo wao unaishia kwenye vita za huku Afrika.Mojawapo ya kazi ya jeshi ni kujivisha sura ya kuogopeka mbele ya raia wake katika mazingira fulani
Nashangaa kwanini wengine wanakosa nidhamu maana kumkuta Afisa mzima akiwa haa nidham huwa linanifikirisha sana Bora hawa Ma askari wa jeshi sawa..Wanajeshi wa jeshi la ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi ya Tanzania wana tatizo la nidhamu na hawapendi kukosolewa pale wanapokosea.
Tatizo ni kwamba hawa vijana wetu na kaka zetu na dada zetu na wadogo zetu,pale wanapovaa mavazi yenye nembo ya taifa wanajiona wapo juu ya sheria.
Matukio ni mengi na hatuwezi kuelezea yote ila yanatufedheesha sana. Na watu wanaogopa kusema ukweli ila nodhamu ni tatizo kwa asilimia 49% katika jeshi la JWTZ na matukio yanayojitokeza kuanzia ndani ya nchi na mpaka nje ya nchi hayafichiki.
Au elimu inayotolewa jeshini inahusu tu nidhamu ua uwanja wa vita na sio nidhamu ya kuishi na raia au watu inaowalinda? Bahati mbaya uongozi wa jeshi unaongozwa na kanuni,sasa wale watu waliopewa dhama ya kusimamia hizo kanuni wakizivunja ni nani atawakemea?
Au hawa vijana wetu hawana utambuzi kua kuna jamii inayowazunguka na kuna maisha baada ya kulitumikia jeshi la ulinzi na usalama la wananchi wa Tanzania?
NB: MATUKIO KAMA LILILOTOKEA KAWE YANGEWEZA KUEPUKWA KAMA ELIMU YA MAHUSIANO YA KIJAMII NA NIDHAMU INGEKUA INATOLEWA KWA WANA USALAMA HAWA.
KUPIGA RAIA KUNAJENGA CHUKI NA MADHARA YAKE NI MAKUBWA NA YA MDA MREFU.
hakuna kitu hapoKama Jeshi la Tanzania lisingekuwa na nidhamu,Uasi unaouona katika nchi zenye vita ungeuona katika JWTZ.
Mkuu umefafanuaa vizuri sanaKwa hapa nalitetea jeshi,kati ya sehemu watu wanafundishwa nidhamu na kuishi kwenye mipaka basi ni jeshini,isipokuwa ulimbukeni na ushamba wa baadhi ya watu na wengi waliofeli shule wanatumia nguvu badala ya akili ndo wanalifanya jeshi lionekane la hovyo,ndo maana mengine yakipishana na afisa yanahama njia eti kisa kumsalimia
Afisa wa jeshi mara nyingi ni watu ambao wako smart wanaotumia akili angalau
Huyu muna kawafedhehesha maafisa wenzake.
Nje ya mada Majeshi ya bongo yanajitahidi kwenye ulozi basi
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Hujaamueleewa auhakuna kitu hapo