Baadhi ya wahindi na hizi biashara

Baadhi ya wahindi na hizi biashara

Wahindi wazee wakutakatisha pesa,wanaweka viduka duka uchwra ili viwe kwenye system halaf wanakua na account za biashara hyo hata 5,so wanacheza dili wanazozijua wao hela ikipatkana wanaizungusha kwenye biashara zao,so inaonekana kama viduka ndo vinaingiza pesa,wahind wanauza madini bila kulpa kod,wanauza unga,wanauza mazao,etc usione kiduka kinauza matoy au pen ,vile ni vya kuzugia tu
We umewajua hawa, sababu watanzania wengi inakua ngumu kuwatofautisha wahindi, wapakistan na wayemen tunawaita tu wote wahindi.

Ila huko kwao Pakistanis na Indians ni paka na mbwa ila hapa Tanzania waliounda undugu uliopea kiasi cha kutisha ili kufanya biashara yao pendwa na kubwa ya drug trafficking, 70% tunaowaona wamefanikiwa Tanzania ni drugs dealers hivyo viduka vyao ni money dry cleaners tu.
 
Kweli kabisa na Ndio maana nikaandika na jina Juma
 
We umewajua hawa, sababu watanzania wengi inakua ngumu kuwatofautisha wahindi, wapakistan na wayemen tunawaita tu wote wahindi.

Ila huko kwao Pakistanis na Indians ni paka na mbwa ila hapa Tanzania waliounda undugu uliopea kiasi cha kutisha ili kufanya biashara yao pendwa na kubwa ya drug trafficking, 70% tunaowaona wamefanikiwa Tanzania ni drugs dealers hivyo viduka vyao ni money dry cleaners tu.
Wanaita money loundery
 
Njombe, Makambako wametoka kimya kimya na watatoka tu hata Kariakoo na Mbeya na wataendelea kuisha japo ndo wao pekee wanaojitahidi kuuza kwa fair price but their reign is over
 
Njombe, Makambako wametoka kimya kimya na watatoka tu hata Kariakoo na Mbeya na wataendelea kuisha japo ndo wao pekee wanaojitahidi kuuza kwa fair price but their reign is over
Wahindi wengi wa madukani wamefulia sababu miaka hii wazawa wa maeneo husika wanaenda China, Thailand, Dubai n.k wanaleta budhaa wenyewe wamefungua maduka makubwa mijini na pembezoni hasa ukizingatia miji mingi inakua pembezoni ni hasara kubwa kwa wahindi ambao maduka yao yapo CBD mjini kati
 
Na walidhumiwa izo nyumba wkt wa utawala wa kwanza nyingi zisomeni juu utakuta majina yao na waliachwa wakae walipe kodi na ndio wako mpk leo
 
Hawa jamaa siwapendi kwa sababu ya dharau zao kuna mwaka nilikuwa nasoma shule mojawapo ya secondari iliyopo kati kati ya jiji letu dar ilikuwa ni kawaida jion mkiwa chini ya kituo mkusubiri gari sana sana kituo cha Congo bibi moja la kihindi tema mate toka gorofani

But hawa jamaa wanaongoza kwa kuwanyanyasa dada zetu hususa wafanyakazi kuna moja alikuwa anapewa mpaka vikongwe kuviogesha kwa mshahra wa mbuzi wengi pia wamekuwa wakibakwa na kuingiliwa kinyume na maumbile

Viwandani huko na kwenye ni bara tupu na kumbuka kipindi cha Jk matukio ya wafanyakazi wa viwandani nyanyaswa na mabosi wa kihindi ili kuwa ni kawaida kama ambavyo alikuwa akifanya mtoto wa mmiliki wa murza oils mills mara kadha alitishia kwa bastola wafanya kazi lakin hakuwahi chukuliwa hatua stahiki

Binafsi nilikuwa naiomba Serikali ya Rais wangu Magufuli itoe kipaumbele kwa wafrica wakipato cha chini kukaa kwenye magorofa ya mjini pia na udhika sana potential areas kama, posta kariakoo, upanga kukaliwa na hawa watu

Ifikie muda nao wajichanganye uswazi atleast watu tuchanganye rangi machotara wawe wengi sio sasa night ikifika posta na kariakoo kunageuka kuwa India
 
Nathubutu kusema wana tecnic nyingi na uzoefu wa kufanya biashara LAKINI wahindi ni watu wasio na faida hapa nchini, ni bora waondolewe. Kwasababu:-

- Wana Madharau sana na ni Wabaguzi.

Kuna mmoja maarufu Arusha aliwahi kusema kuwa yeye hawezi kushitakiwa na manyani (akimaanisha watu weusi watanzania)

- Wahindi kamwe hawadeposit pesa zao katika local banks za kitanzania na hivyo kuzuia mzunguko wa pesa ndani ya nchi.

Imagine katika matajiri wakubwa sana hapa nchini wengi wao ni wahindi na wameekeza kila mahali kwenye kilimo, madini, viwanda, shule zao, mahosipitali yao n.k lakini pesa zao wanaziweka katika benki za huko India, Canada, Pakistan na Uingereza.

Wanachuma pesa hapa kwetu na kupeleka kwao.

Wanachokifanya ni kuwahonga viongozi wachache wa serikali na mapolisi wenye vyeo kisha wao wanatutreat sisi kama nyani tu.

Wahindi hawana faida katika nchi hii kwani hata kodi wanababaisha kulipa.

-
Sasa na wewe ungempatia kwa kumjibu hivi kuwa hauna wasi wasi maana Nguruwe huwa hawanaga akiri na wewe unazungumza n nguruwe mojawapo!
 
Nathubutu kusema wana tecnic nyingi na uzoefu wa kufanya biashara LAKINI wahindi ni watu wasio na faida hapa nchini, ni bora waondolewe. Kwasababu:-

- Wana Madharau sana na ni Wabaguzi.

Kuna mmoja maarufu Arusha aliwahi kusema kuwa yeye hawezi kushitakiwa na manyani (akimaanisha watu weusi watanzania)

- Wahindi kamwe hawadeposit pesa zao katika local banks za kitanzania na hivyo kuzuia mzunguko wa pesa ndani ya nchi.

Imagine katika matajiri wakubwa sana hapa nchini wengi wao ni wahindi na wameekeza kila mahali kwenye kilimo, madini, viwanda, shule zao, mahosipitali yao n.k lakini pesa zao wanaziweka katika benki za huko India, Canada, Pakistan na Uingereza.

Wanachuma pesa hapa kwetu na kupeleka kwao.

Wanachokifanya ni kuwahonga viongozi wachache wa serikali na mapolisi wenye vyeo kisha wao wanatutreat sisi kama nyani tu.

Wahindi hawana faida katika nchi hii kwani hata kodi wanababaisha kulipa.

-
Ungemwambia hata hivyo mbona nguruwe amekuja kukaa na nyani inakuaje tena wewe nguruwe kutoka india?!
 
Endeleeni kuwasimanga wahindi na kuwataka wahame nchini . Wakishahama muwageukie waarabu . Waarabu nao wakihama mpambane na wapemba . Mkishamaliza wapemba mpambane na wa kaskazini . Mmesahau usia wa Mwalimu Nyerere ? Someni kwanza historia ya wahindi waliingiaje nchini kabla ya kuanza kulaumu .
Ha ha ha ha ha true
 
Kama hujui katika watu wanaoongoza kusoma number saivi ni wahindi wengi saivi hawajiwezi sababu walikua wananufaika na mfumo ambao saivi Magufuli kaufunga kama juzi hapa high Cort muhindi mmoja kahukumiwa miaka 25 jela kwa kukwepa kodi ya millions 300 na wengine wengi kesi zao zinaendelea wanajaribu kuhonga lakini hakuna mwenye time nao
Kama situation iko hivyo kweli basi tanzania pananivutia kukaa kwa sasa hadi raha
 
Kuna muhindi mmoja ana filling station ina wateja sana huwa anamleta baba yake kila jioni kwa siku maalum katika week mzee ni zezeta anakuja hapo anajipiga vibao weee analia kama masaa mawili kisha anapakiwa kwenye gari anarudishwa nyumbani
Hahaa JF huwezi kosa kisa kipya kila siku...daaah nimecheka sna
 
Back
Top Bottom