Baadhi ya wahindi na hizi biashara

Baadhi ya wahindi na hizi biashara

Hakuna anaeyewachukia wahindi

Pengine wao ndio wanatuchukukia zaidi usilete harakati za kiduanzi kama unabisha nenda kafanye kazi kwa muhindi hata mwezi mmoja tu utaelewa wanachosema watu hapa

Hapo jamaa sio binadamu

Mtu ukianza kutaja rangi ya mtu huyu mhindi, mzungu au mchina au mpemba n.k basi umeishiwa hoja. Kuna ndugu zetu waTanzania wanaotoka Iringa wanafanyishwa kazi za ndani ktk mazingira magumu na mshahara mdogo, Je hii ndiyo kusema waTanzania wote bila kujali rangi wanaroho mbaya kwa watanzania wanaotoka vijiji waliowaajiri kama watumishi majumbani mwao?
 
Back
Top Bottom