Norshad
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,132
- 12,221
Habari wana JF,
Kuna hawa wenzetu wafanya biashara wa kihindi ambao wana flem za maduka katikati ya miji miaka na mikaka unamkuta kakomaa sehem moja ahami wala biashara yake haikui ipo vilevile lakini mtu ana survive kama kama kawaida, sijajua hawa watu huwa hawapandishiwi kodi za pango ama vipi, unakuta dukani kwake anauza rula, peni za speedo, pipi toffi, marashi yale ya zamaaani ya buku, tochi za Tiger na zile kadi za birthday, vifutio na vitu vingine vingine ambavyo mtaani vipo kwa wingi tuu.
Cha kushangaza wenzetu hawa kipindi cha likizo anaenda India ama Canada, usafiri mzuri, sasa kuna Tetesi kwamba hawa jamaa ni mabingwa wa kuajast vitu, yaani hata ukifanya kazi kwao, lazima waku-tune kidogo ili mambo yao yaende sawa....
Kingine udhalilishaji, aisee niliwahi kuomba kazi ktk duka moja pale mnara wa saa Posta (clock tower) nikaacha siku hiyo hiyo, unatumwa na matusi juu na kila muhindi anayekuja hapo ni bosi wako, nakumbuka mmoja nilimtia vitasa na kazi nikaacha ndani ya masaa manne....
Kama yupo anayewafahamu hawa ndugu zetu vizuri naye atiririke hapa.
Kuna hawa wenzetu wafanya biashara wa kihindi ambao wana flem za maduka katikati ya miji miaka na mikaka unamkuta kakomaa sehem moja ahami wala biashara yake haikui ipo vilevile lakini mtu ana survive kama kama kawaida, sijajua hawa watu huwa hawapandishiwi kodi za pango ama vipi, unakuta dukani kwake anauza rula, peni za speedo, pipi toffi, marashi yale ya zamaaani ya buku, tochi za Tiger na zile kadi za birthday, vifutio na vitu vingine vingine ambavyo mtaani vipo kwa wingi tuu.
Cha kushangaza wenzetu hawa kipindi cha likizo anaenda India ama Canada, usafiri mzuri, sasa kuna Tetesi kwamba hawa jamaa ni mabingwa wa kuajast vitu, yaani hata ukifanya kazi kwao, lazima waku-tune kidogo ili mambo yao yaende sawa....
Kingine udhalilishaji, aisee niliwahi kuomba kazi ktk duka moja pale mnara wa saa Posta (clock tower) nikaacha siku hiyo hiyo, unatumwa na matusi juu na kila muhindi anayekuja hapo ni bosi wako, nakumbuka mmoja nilimtia vitasa na kazi nikaacha ndani ya masaa manne....
Kama yupo anayewafahamu hawa ndugu zetu vizuri naye atiririke hapa.