Nathubutu kusema wana tecnic nyingi na uzoefu wa kufanya biashara LAKINI wahindi ni watu wasio na faida hapa nchini, ni bora waondolewe. Kwasababu:-
- Wana Madharau sana na ni Wabaguzi.
Kuna mmoja maarufu Arusha aliwahi kusema kuwa yeye hawezi kushitakiwa na manyani (akimaanisha watu weusi watanzania)
- Wahindi kamwe hawadeposit pesa zao katika local banks za kitanzania na hivyo kuzuia mzunguko wa pesa ndani ya nchi.
Imagine katika matajiri wakubwa sana hapa nchini wengi wao ni wahindi na wameekeza kila mahali kwenye kilimo, madini, viwanda, shule zao, mahosipitali yao n.k lakini pesa zao wanaziweka katika benki za huko India, Canada, Pakistan na Uingereza.
Wanachuma pesa hapa kwetu na kupeleka kwao.
Wanachokifanya ni kuwahonga viongozi wachache wa serikali na mapolisi wenye vyeo kisha wao wanatutreat sisi kama nyani tu.
Wahindi hawana faida katika nchi hii kwani hata kodi wanababaisha kulipa.
-