Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

Kwa sasa hivi hapa Tz watu wanazidi Kuwa maskini sio kwa sababu ya kukosa business proposals, kwa sababu hata wasomi wa universities wanazagaa mitaani wakiwa hoi kwa umaskini.
 
WanaJF suala la ukosefu wa mtaji ni sensitive sana. Nashauri mtu kama una tatizo la mtaji basi uanze hata kwa kufuga kuku wa kienyeji wachache ambao watakuwa wanaongezeka polepole na kukuwezesha kupata mtaji.
 
Wana JFsuala la ukosefu wa mtaji ni sensitive sana. Nashauri mtu kama una tatizo la mtaji basi uanze hata kwa kufuga kuku wa kienyeji wachache ambao watakuwa wanaongezeka polepole na kukuwezesha kupata mtaji
Duh, kwa sisi tunaoishi katika nyumba za kupanga apo ni ngumu sana.
 
Very correct. aibu uua ndoto nyingi sana, na kikwazo kikubwa kwa kuthibiti.
 
Tatizo naogopa kila nikwaza kufanya bishara..naishia kusubiri mwisho wa mwezi ka mshahara kangu tu.
 
Mwenyewe nilianza na kupakia tofari, kukoroga zege, kupiga tofari, kusaidia fundi. Kimxingi kila Nazi ngumu na nyepex nilikua nafanya. Kipindi hicho nilikua na elimu ya F6. Nilipokea matusi ya kila aina kwani nilio kua nafanya nao hawakuelewa elimu yangu na sikuona umuhimu wa kujitambulisha . nilikua nalaza so chini ya 20000/siku. Saizi nimeajiri kampuni ya ujenzi kunijengea frem 12 mji mdogo huko sumbawanga na najiandaa na kilimo cha hekali 15 na mambo mengine mengi nafanya
Hayo in kwa ufupi tu . NB : "unions umexoma alafu hupati Nazi , jua huna ndoto za kuajiliwa Bali kuajili. Chukua hatua " nitafute kwa uxhauli zaidi.
 
Mkuu umeongea iliyo kweli kabisa
 
Kama naona ulivyolewa halafu unaongea....

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Huu uzi hauna maana yoyote mnamjaza ujinga mleta mada tu kwa kuiba vitu google na kuleta humu bila kufanya upembuzi wowote
 
Huu uzi hauna maana yoyote mnamjaza ujinga mleta mada tu kwa kuiba vitu google na kuleta humu bila kufanya upembuzi wowote
Unaumia sana? Hahaa nenda na wewe tafuta ulete humu. Onesha yako ambayo ni halisi basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…