Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

@Chasha thanks so much,

Watu wana pesa kibao sema wanasubiria yule mtu mwenye excellent idea ili pesa yao isipotee bure.Mi ningeshauri watu wajijenge sana,someni vitu mbalimbali,tembeleeni sehemu tofauti mbadilishe mandhari,pia ni vizuri kuwa open to new business ideas. Pia watu wengi wanaofanikiwa kwenye maisha ni watu wanaothubutu kufanya vitu ambavyo sio watu wengi wangefikiria kufanya. Mimi ni mfanyabiashara na nimezungukwa na wafanyabiashara wakubwa ambao kati yao kuna wanaotengeneza atleast 40million profit on monthly basis.I'm learning from them na kama unapenda nikuunganishe nao ili ujifunze kutengeneza pesa kwa akili kupitia mifano hai, just check on me.Nisingependa kufaidi mwenyewe wakati wengine wanateseka.Kumbuka:-

"Ukitaka kufanikiwa, kaa na watu waliofanikiwa."
 
Dah mkuu that is true kwamba Watanzania utamaduni wa Saving hatuna na si wachina hata Wakenya wanatuzidi mbali sana katika swala zima la Saving, jamaa hawana sijui kampani ya kusaidiana kula, hilo ni tatizo kubwa sana na ishu ni kwamba Watanzania wengi tunapenda sifa kupita kiasi, hili ndo tatizo kubwa mno, asante sana mkuu riltz
 
Last edited by a moderator:
Safi sana Chasha, Nimesomea Biashara lakini haya sikuwahi kufundishwa, na kweli JF ni zaidi ya Chuo kikuu, ila CHASHA kuna moja ya thread yako baada ya kuiona huku kuna siku nimekuja kuikuta imetoka kwenye Gazetu fulani hivi, na naamini jamaa waliichota humu na kwenda kubandika kwenye Gazeti lao

Inavyoonyesha unatumia wewe mwenyewe ID zaidi ya moja! hapa umejisifia mwenyewe bila kujua ulijisahau ukadhani umelog out. kumbe holla! tuko deep kufukunyua!
 
Inavyoonyesha unatumia wewe mwenyewe id zaidi ya moja! hapa umejisifia mwenyewe bila kujua ulijisahau ukadhani umelog out. kumbe holla! tuko deep kufukunyua!
Hayo ni makosa wakati na m quote huyo jamaa, soma alie leta hiyo coment na acha kukariri mamabo, nijisifie kwa lipi? siko hapa kutafuta sifa sawa?
 
Kama unataka Mali utaipata shambani..sasa ni wakati wetu vijana kutoka mijini kurudi vijjini kuanza kushika jembe Lowe kwa mikono au machine...utajiri upo was kutosha tujiongeze vijana tuache kulalamika Na kuilaumu serikali
 
Chasha thanks so much, nilikuwa sijaisoma hii.
Kuna mtu anauliza mitaji, mie naona wengi wetu hapa ni wafanyakazi, mitaji itapatikana kwa kuwa na good saving habits, ukigoogle wenzetu wanambinu nyingi nilizojifunza chache
1. kupunguza matumizi kwa kubeba lunch box yako badala ya kununua kila siku (3500 - 10000)
2. Kupunguza matumizi ya simu yasiyo lazima
3. Kupunguza manunuzi ya mavazi na au outing zilizo costly au frequency, badala ya hoteli ghali weekend waweza kwenda beach, fellowships, meet family, friends etc
4. Kupunguza namba ya helping hands au wasaidizi mfano kila weekend salon waweza suka au tengeneza mwenyewe, kulima maua au bustani ndogo, tuition ukafanya mwenyewe au siblings, car washing yaani mshahara wetu huu tunaulipa kwa watu kibao kwa kazi ambazo mkiamua kama family weekend mnaifanya bila shida
5. Kupunguza matumizi ya petrol kwa kutumia usafiri wa basi inapowezekana mfano kuna basi za 1000 kuliko petrol 15000-30000 daily
Ukiangalia mianya mingi yakubana matumizi kwa mwezi unajikuta umepata mtaji wa kuanzia kitu kidogo tatizo watu hawataki shida...
Chasha Poultry Farm. ..anacho sema Mama Joe ni kweli kabisa, Kuna Rafiki yangu Juzi alikuwa ananipatia full story za Maisha ya Wachina, kwa kweli Tanania tunayo kazi sana Bila kubadilika maendeleo tutayasikia kwenye redio, Wachina wana nidhamu ya Hali ya Juu kabisa katika maswala ya fedha na kwa wachina Familia nzima ni lazima ifanye kazi si kwamba Baba na Mama waende kutafuta Huku nyuma watoto wanabakia kula tu ma kutazama TV kutwa nzima, China Kijana akimalzia Chuo ni lazima achacharike hata kwa kuuza pipi, na si kwamba auze pipi then pesa ale no ni pesa ya familia,

- Chiana biashara ya kupigana offa hawaijui
- China Biashara ya kutafuta sifa kwenye Mavazi na magari hawaijui, kuna public transport na zinatosha kabisa sasa garila nini
-
Watanzania kwenye swala la Saving tunaweza kuwa tunaongoza Duniani na si dhani kama kuna nchi nyingine ambayo wanachi wake wana poor Money managment kama sisi.

- Unaweza amka asubuhi kwenda kazini bila kuwa na plan ya kununua chocjote lakini utarudi na viatu kisa tu umekutana na Machinga akiuza viatu,
- Offa zakutafuta sifa
- Sifa za kumilika Gari, unakuta kuna staff Buss lakini mtu anaona bora aende na gari lake mwenyewe kuliko kupanda staff bus

So katika ile wealth Equation bado tunakazi sana
Kweli mtaji sio tatizo,kama idea ipo excellent basi mtaji utapatikana with no doubt.Kuna sekta mbalimbali zinazosaidia watu kuboresha innovative ideas.kwa mfanoTBi(Dar Teknohama Business incubators-for technological ideas).From then idea yako ikishakamilika unaweza kui present kwa investors,sometimes hata kama haijakamilika kunakuwaga na workshops ambazo zinakaribisha investors wavutiwe na concept yako.(Hizi ni baadhi ya huduma zinazotolewa:-
* Business Planning Capacity Building and Support
* Establishment of the company
* Support towards concept pilot testing
* Mentoring and Coaching
* Development of revenue model and financial projections
* Linkage to potential markets
* Exposure to expert talks, training and marketing events
* Evaluation for transition into the next stage
* In some cases, access to seed capital (finance/grants).
* The startup incubatees can be resident or non- resident (virtual).
* Access to high speed internet.
* Networking events.
* Exhibitions, workshops and hackerthons.

Watu wana pesa kibao sema wanasubiria yule mtu mwenye excellent idea ili pesa yao isipotee bure.Mi ningeshauri watu wajijenge sana,someni vitu mbalimbali,tembeleeni sehemu tofauti mbadilishe mandhari,pia ni vizuri kuwa open to new business ideas.Pia watu wengi wanaofanikiwa kwenye maisha ni watu wanaothubutu kufanya vitu ambavyo sio watu wengi wangefikiria kufanya.Mimi ni mfanyabiashara na nimezungukwa na wafanyabiashara wakubwa ambao kati yao kuna wanaotengeneza atleast 40million profit on monthly basis.I'm learning from them na kama unapenda nikuunganishe nao ili ujifunze kutengeneza pesa kwa akili kupitia mifano hai,just check on me.Nisingependa kufaidi mwenyewe wakati wengine wanateseka.Kumbuka:-
"Ukitaka kufanikiwa, kaa na watu waliofanikiwa."[/QUOTE]
Mkuu naomba tucheckiane watsap namba 0785-074040 pliz, umenigusa
 
Tatizo la msingi ambalo wengi wamelizungumzia ni mtaji wa biashara. Ni sawa kabisa kama unataka kufanya biashara za karne ya ishirini ambazo bado zinaendelea kuwa mazoea ya watu kwenye karne hii ya 21.

Karne ya 21 imekuja na nyenzo tofauti za biashara kutokana na maendeleo ya teknologia na utandawazi hivyo fursa za kisasa zimeibuka ambazo hazihitaji mtaji kabisa au zinazohitaji mtaji mdogo tu wa kuanza biashara ambayo ina fursa ya kukuingizia kipato kikubwa zaidi kutoka kwa wateja waliotapakaa duniani kote au wa eneo fulani.

Nitazungumzia fursa ya kuanza biashara ya kidunia bila mtaji wakati muafaka ambapo kampuni inayotoa fursa hiyo ipo kwenye matengenezo ya tovuti zake zitakazokuwezesha kujiunga bure na kupata kipato kwa kuwaalika watu bure popote pale walipo duniani kwa kuzungumza na ndugu na jamaa zako au kwa kutumia mitandao ya kijamii kwa ku share kiungo chako ambacho mtu akikibonyeza na kusoma maelezo ya jinsi biashara ilivyo na kuamua kujiunga basi atakuwa source yako ya kupata kipato milele kutokana na matumizi yake atakayoyafanya ndani ya tovuti za kampuni.

Kwa leo nitazungumzia fursa ya nyumbani inayoendana na karne hii ya 21 ambayo inahitaji mtaji mdogo tu kuianza lakini ina uwezekano wa kukupatia kipato kikubwa kila mwezi.

Kwa habari zaidi kuhusu fursa hii soma thread hii hapa

Kwa nini utumie simu yako ya mkononi bila kulipwa wakati kuna Rifaro?
 
Mkuu ni kweli kabisa kwamba Mitaji ni Tatizo, Ila si kwa kiwango tunacho taka kuaminishwa, wewe kama Entrepreners ni lazima pamoja na mambo mengine uwe na Mbinu za kupata mitaji, na tatizo lina kuwa mitaji kwa sababu tuna penda kufanya biashara kubwa sana kitu ambacho ni ndoto, mtu anataka aingie kwenye biashara na amfikie Mengi au jamaa wa Azam, sio rahisi,

Nchi kama Kenya wapo watu wanoenda hata Kupiga Debe ilimuradi wapate mitaji, wapo wanao enda kufanya vibarua vya kufyeka ilimuradi wapate mitaji, Je ulisha wahi jaribu hivyo na kukosa mtaji? AU unataka mtaji wa Milioni 100?

Tatizo tunataka kuanzia juu wakati wenzetu wote waliaznia chini na kufika hapo walipo sasa ingawa iliwachuku miaka mingi,

so ni vizuri kuanza na ulicho nacho, na kusonga mbele kwa sababu maswala ya mitaji yatakukuta mbele ya safari na si kusibiri mtaji ndo safari ianze, kwa sababu hata kama kuna sehemu Mikopo au mitaji inatolwe wanao pewa kipaumbele wa kwanza ni ambao tiyali walisha anza na si ambao wana mawazo
Mawazo ya biashara kiukweli ni mengi kwenye mazingira tunayoishi, ila vikwazo ni vingi sana hasa mitaji ndo kikwazo kikubwa. Sijui wanajamvi mnaongeaje kuhusu hilo??
 
Siku yeyote mshauri mzuri ni yule amabaye anakushauri ufanye biashara ambayo yeye anaifanya na ana udhoefu na anachokishauri,naomba mleta uzi utupe udhoefu wa namna ulivyofaidika na biashara hii unayoisema isije ikawa ni nadharia umeiona mtandaoni na unataka watu wengine waingie ili upatie ujuzi kwao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom