Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

Wakuu bora mtu wazo kuliko hela. Binafsi nilipokuwa nasoma niliamni cku nikiajiriwa basi shida kwaheli.chakushangaza ziliongeka maradufu. Baada ya mda mrefu sana maisha yalizidi kuwa magumu maraodufu.siku moja nkaamua kuwa mjasilia mali nilianza nilikuwa na laki moja ikabidi nikope na hela kidogo kwa mdogo wangu ambae nilimsomesha mwenyewe ila yy alikuwa tayari kawa mjasilia mali japo m
Kidogo.

Nilianza kuuza vifaa vidogovido kama flash,badae nikajifunza na kurepair could comp,baadae ikaanza kunisumbua ilipotakiwa mitoe ushauri wa kitaalamu kwakuwa mwanzo nilijifunza kijanja tuu.kutokana na hilo ikabidi nisome diploma ya IT.na nimeunganisha na degree kabisa ya INFORMATICS kabisa hapa SUA ili nitoe huduma bora zaidi kwa wateja wangu.nashukuru mungu mpaka sasa ninaweza kujisomesha taaluma yenye mlengo wa ujasiliamali wangu,naendesha familia na biashara yangu ina mtaji wa mlioni 14.na hapo imeathirika kidogo na pirika zangu za shule ila sio mbaya inaendelea. Ninachosisitiza ni idea uthubutu.tatizo la wasomi ni tunafungwa na hali ya watanionaje?

Angalizo: Si kwamba mpaka naweza fanya yote haya nimejikita kwenye shughuli moja tuu,ila baada ya kamtaji kukua kidogo ikabidi nianze kuwekeza hata kwenye maeneo mengine kama kilimo.juzi hapa nimetoka kuvuna matikiti yangu kufika soko wanunuzi wakaanza kuleta za kuleta ikabidi nikomae mwenyewe kuyachuuza mpaka yakaisha gari zima.kwahiyo wakuyatetea
Maisha yetu ni sisi wenyewe.kama utajifunza kitu kitu basi ni jambo jema.

amazing! Good testimony.
 
Ndg yangu CHASA,

Ninachoweza kusema ni MUNGU AKUBARIKI sana.Umeonesha ni jinsi gani usivyo mchoyo na mbinafsi lakini badala yake umekuwa ume share what you know to the public,kiukweli nakupongeza sana.Nadhani umeleta jambo ambalo ni la msaada kwa watu wengi nikiwamo mimi.

Nimesoma michango ya wenzangu na wengi wameonesha kuwa na woga na namna ya kupata mitaji.Ninachoweza kusema ni kwamba kukosa mitaji inaweza kuwa kikomo cha fikra zetu kwani Maandiko katika Biblia yanasema PESA HUFUATA MAONO,that is to say unapokuwa na wazo ambalo lipo sawa basi uwe na uhakika pesa italifuata wazo hilo.Nawatia moyo wote wanaopenda kuanzihsa biashara wasikatishwe tamaa na swala la pesa,pesa zitakuja immmediately baada ya wewe kuwa na wazo.

Ni kweli inawezekana kuwa zipo njia zaidi ya hizi ulizozitaja lakini umeonesha njia na sisi wengine ambao tunao uwezo wa kuleta nyongeza basi fursa ipo na tututmie nafasi hii kuyaleta mbele ya wengine kwaajili ya kubadilisha kizazi chetu haswa katika eneo la kiuchumi.

Naomba kuwasilisha

Mkuu waweza nisaidia katika biblia ni mahala gani andiko hilo linapopatikana, ili linisaidie kwa reference ninapokuwa naelimisha waumini wenzangu. maana nimelitafuta bila mafanikio.
 
Ukifungua chuo itakuwa powa. Ila isiwe ni material umepakua sehemu ukatuwekewa wakati huwez kuyafafanua. Tutakutoa nduki!
 
Uko sahihi Chasha tatizo wote tunataka kufanya biashara kubwa tumilikii petrol station kubwa kama Victoria na hili ndo tatizo tulilonalo wengi ila barikiwa sana kwa thread hii imekaa vizuri mkuu.
 
Well said. Ukiangalia au kusoma historia za successiful entreprenuers utagundua kuwa aliowengi walianza na wazo lenyewe. Sijaona biashara ambazo zimeendelea na kuwa kubwa ambazo zilianza kwa mtaji. Kwanza ni wazo, uwezo wa kubaini kuwa hicho ndicho ulichokuwa na dhamira nacho (passion) then unafuata mtaji na kufuata ethics za biashara polepole huku ukiwa unakuwa na kuongeza wigo wa biashara yako.
 

Wakuu bora mtu wazo kuliko hela. Binafsi nilipokuwa nasoma niliamni cku nikiajiriwa basi shida kwaheli.chakushangaza ziliongeka maradufu. Baada ya mda mrefu sana maisha yalizidi kuwa magumu maraodufu.siku moja nkaamua kuwa mjasilia mali nilianza nilikuwa na laki moja ikabidi nikope na hela kidogo kwa mdogo wangu ambae nilimsomesha mwenyewe ila yy alikuwa tayari kawa mjasilia mali japo m
Kidogo.nilianza kuuza vifaa vidogovido kama flash,badae nikajifunza na kurepair could comp,baadae ikaanza kunisumbua ilipotakiwa mitoe ushauri wa kitaalamu kwakuwa mwanzo nilijifunza kijanja tuu.kutokana na hilo ikabidi nisome diploma ya IT.na nimeunganisha na degree kabisa ya INFORMATICS kabisa hapa SUA ili nitoe huduma bora zaidi kwa wateja wangu.nashukuru mungu mpaka sasa ninaweza kujisomesha taaluma yenye mlengo wa ujasiliamali wangu,naendesha familia na biashara yangu ina mtaji wa mlioni 14.na hapo imeathirika kidogo na pirika zangu za shule ila sio mbaya inaendelea. Ninachosisitiza ni idea uthubutu.tatizo la wasomi ni tunafungwa na hali ya watanionaje? Angalizo si kwamba mpaka naweza fanya yote haya nimejikita kwenye shughuli moja tuu,ila baada ya kamtaji kukua kidogo ikabidi nianze kuwekeza hata kwenye maeneo mengine kama kilimo.juzi hapa nimetoka kuvuna matikiti yangu kufika soko wanunuzi wakaanza kuleta za kuleta ikabidi nikomae mwenyewe kuyachuuza mpaka yakaisha gari zima.kwahiyo wakuyatetea
Maisha yetu ni sisi wenyewe.kama utajifunza kitu kitu basi ni jambo jema.

Gudest kip it ap my future billioneer
 
Mitaa mingine noma kwa kamati za ufundi, mfano huku kwetu nilifungua biashara ya duka lakini ilibidi nilifunge. Utakuta kwa wiki pesa zinapotea kimiujiza hasa elfu kumi kumi. Unauza kisha nazitenga elfu kumi peke yake kwa sababu siyo chenji. Lakini nikija kucheki baadaye nakuta hazimo wakati full time nakuwemo mimi mwenyewe dukani! Nilinyoosha mikono kwani sikutaka kuanza kumtafuta mbaya wangu labda ningeua mtu ningemtambua.

Mapepo na wachawi hawakimbiwi ewe ndugu tafuta ulinzi mzuri Wa Yesu wao ndo watakukimbia. Bible says " basi mtiini MUngu mpingeni shetani naye atawakimbia" mjasiliamali lazima athubutu na alipe gharama pale anapoona fursa juu ya fursa!!
 
Back
Top Bottom