ELI COHEN
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 9,376
- 28,497
"aah wapi, hayo mapiza na mabaga wanayokula na mimi ninae kula matembele vyote vitaishia kuwa mavi tumboni"
"usione mtu amekuwa tajiri kiasi hicho wewe, watu wanalala na nyoka kitandani, wewe unaweza?"
"usione dar hii watu wengi hali ngumu, lile sanamu la askari pale posta ndilo linalonyonya nyota za watu na kuchukuliwa na freemason, lile bunduki linalenga nyota za watu ukikaa samba samba nayo"
"siku hizi anajikuta mataaawiii, gari lenyewe la mkopo hilo, roho juju juu kila mara anawaza marejesho"
"usione mtu amekuwa tajiri kiasi hicho wewe, watu wanalala na nyoka kitandani, wewe unaweza?"
"usione dar hii watu wengi hali ngumu, lile sanamu la askari pale posta ndilo linalonyonya nyota za watu na kuchukuliwa na freemason, lile bunduki linalenga nyota za watu ukikaa samba samba nayo"
"siku hizi anajikuta mataaawiii, gari lenyewe la mkopo hilo, roho juju juu kila mara anawaza marejesho"