Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,932
Mazuzu wa ccm wamezoea kutudanganya wakati huo na sisi tunajua fika kwamba wanatudanganya"#Aidha, Serikali ya China itajenga Chuo cha Mafunzo na Ufundi Stadi (VETA) mkoani Kagera ikiwa ni namna ya kufikia lengo la Serikali la kujenga Vyuo vya VETA kila Wilaya hapa nchini"
Hiki chuo kikikamilika utasikia kimejengwa kwa fedha za Watanzania!