A
Anonymous
Guest
Maafisa wa Manispaa Morogoro wanatukamata Bajaj kisha wanataka faini laki moja au utoe Rushwa 50,000
Sisi madereva na wamiliki wa Bajaj Morogoro tumechoshwa na usumbufu wa makundi ya watu wa manispaa. Wanakamata Bajaj bila mipangilio wakidai kuna makosa mbalimbali na faini inaanzia shilingi laki Moja, au uwatoe shilingi 50,000 ili mmalizane, chini ya hapo hawakubali.
Ukiomba control number ya faini waliojiwekea ambayo ni laki Moja hawana, wanaishia kukupa vitisho tu, tunateseka sana.
Sisi madereva na wamiliki wa Bajaj Morogoro tumechoshwa na usumbufu wa makundi ya watu wa manispaa. Wanakamata Bajaj bila mipangilio wakidai kuna makosa mbalimbali na faini inaanzia shilingi laki Moja, au uwatoe shilingi 50,000 ili mmalizane, chini ya hapo hawakubali.
Ukiomba control number ya faini waliojiwekea ambayo ni laki Moja hawana, wanaishia kukupa vitisho tu, tunateseka sana.