kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,663
Mapenzi au kupendana ni hatua kubwa sana kwenye mahusiano,sasa tabia ya kina dada kujifichaficha muwapo faraga nini maana yake?eti ukitaka kumshika sehemu anakutoa mkono,ukimgeuza huku utackia ooh mi sijazoea,je ni aibu au ndo ushamba?alafu akitaka kuvua au kuvaa nguo utamuona kachukua taulo au kanga kajifunika mabegani ili avae je mpaka unamkubalia mtu mnakwenda g house ina maana umemkabidhi heshima yako sasa iweje unakua huna uhuru?je nini hicho unachokificha kisionekane?au una makovu?au ulishawah ugua ugonjwa wa ngozi?wengne utawasikia zima taa kwanza jamani giza la nini wakati tukiwa uwanjani ni vyema tukawa tunaona?Jamani swala la tendo la ndoa ni swala lenye utulivu wa khali ya juu sasa unaposhikwa then unamtoa mwenzio mkono sijui unamaanisha nini?Kuwa huru coz umemkubal mwenyewe.