Baada ya Zanzibar Bukoba

Baada ya Zanzibar Bukoba

Najua wewe ni walewale,nani asiyejua kuhusu tabia mbovu za ubaguzi za wahaya?Wangapi wamekimbia kufanya kazi Bukoba kwa ubaguzi?
Naunga mkono hoja.Ndugu zetu Wahaya dhambi ya ubaguzi inawatafuna siyo tu maofisini hata sokoni na kwenye maduka katika mkoa wao ni wazawa tu ndio maana mkoa wa Kagera uko nyuma kiuchumi pamoja na kwamba wazawa wa Kagera wana maendeleo makubwa nje ya Kagera.
 
Najua wewe ni walewale,nani asiyejua kuhusu tabia mbovu za ubaguzi za wahaya?Wangapi wamekimbia kufanya kazi Bukoba kwa ubaguzi?

Inaonekana unatamani kuwa Mhaya eh?Kaombe kuzaliwa upya KG.Mnahamisha mjadala kutoka kwenye critical issues mnaanza kuuza chai JF.
 
mimi mbona mhaya nikienda bukoba nikongea kihaya na kujifanya mjuaji naitwa mnyamahanga na bibi yangu?Na kuhusu mwanza,dar kuendelea mbona wahaya tumewekeza sana hiyo mikoa tajwa hahaha.wahaya sio wabaguzi labda wengine wako arrogant.sema tumesoma sana unamuona mama tibaijuka kichwa chake hadi kwa wakorea hawamuwezi!
 
mimi mbona mhaya nikienda bukoba nikongea kihaya na kujifanya mjuaji naitwa mnyamahanga na bibi yangu?Na kuhusu mwanza,dar kuendelea mbona wahaya tumewekeza sana hiyo mikoa tajwa hahaha.wahaya sio wabaguzi labda wengine wako arrogant.sema tumesoma sana unamuona mama tibaijuka kichwa chake hadi kwa wakorea hawamuwezi!
Ni kweli kabisa mumewekeza katika mikoa mingine tena sana tu.Kwa nini hamuwekezi Bukoba mpaka kamji kamechoka hakaeleweki hii ndiyo inadhihirisha dhahiri kwamba kuna ubaguzi mpaka wa vitongoji.Huyu katoka kiziba na huyu Iyangilo
 
We mpuuzi tu huna lolote mjinga.........una hoja binafsi..kila kabila lina jinsi linvyoita watu wa nje ya kabila lao. Usichanganye ya Zanzibar na mila. Nakupotezea:der::crazy:
 
wanyamahanga means Gentiles yaani wasio wahaya. mimi sio mhaya lkini i have been there for more than 5 yrs kama mtumishi wa umma hayo sikuyaona so kuwa makini.
 
wanyamahanga means Gentiles yaani wasio wahaya. mimi sio mhaya lkini i have been there for more than 5 yrs kama mtumishi wa umma hayo sikuyaona so kuwa makini.

Ninamashaka na kazi uliyokuwa unaifanya labda ulikuwa house boy...uozo mwingi upo ktk utumishi wa umma,mfano hata ikitokea semina ya daktari pale halmashauri ya manispaa ya bukoba utakuta anakwenda mfagiaji ambaye ni kabila moja na mganga mkuu ambaye ni mhaya.wenyewe kwa wenyewe wanabaguana utasikia huyu wa muleba,huyu wa karagwe na huyu wa maruku na yule wa kiziba.
 
Kuna kila sababu sisi ijana na Watanzania wote tukipe ridhaa CHADEMA kiunde serikali mwaka 2015.CCM ni chama muflisi kilichoshinda kuzuia ubaguzi wa aina zote.Hata vurugu za ZNZ ni matokeo ya kuwa na serikali legelege yenye usalama wa Taifa wanaolinda viongozi na kuwaacha raia wakiharishiwa maisha yao na wahuni wachache.Yaliyotokea ZNZ hata Bukoba yaweza tokea.Watanzania wasio wazawa wanabaguliwa kana kwamba wanyama.Wamepachikwa majina mbalimbali yanayodharirisha utu wao,mfano wanaitwa WANYAMA ANGA yaan wanafananishwa na ndege.Hali ipo hata ktk ajira.Mfano halisi ni idara ya elimu sekondari ambapo afisa ana sera ya kuwapendelea walimu wazawa wa Bukoba na kuwabagua walimu wa mikoa mingine.Imishawahi kutokea mkuu wa shule wa Rutunga alimshitaki mwalimu mkorofi kwa afisa elimu,afisa elimu baada ya kujua yule mwalimu ni mhaya alimlaumu yule mkuu wa shule kwa nin amemshitaki huyu mwalimu.asema lazma tuwalinde vijana wetu angekuwa si mhaya tungemuadhibu.hii ndio serikali ya CCM yenye watendaji wabaguzi huku ikibariki ubaguzi huo.TUSIPOIWEKA CDM MADARAKANI 2015 TUTAZIDI KUJUTA!!

Hivi maana ya wanyama anga ni ndege we fara?
 
ahsante kwa ufafanuzi wako,lkn ndugu zako wanatumia neno wanyamahanga vibaya.wanahusisha na kutokuwa mhaya yaan wakuja ambaye hana thaman bukoba.

wewe ndo unatafsiri vibaya, kwanza ungeuliza maana kabla ya kukurupuka.
 
Ninamashaka na kazi uliyokuwa unaifanya labda ulikuwa house boy...uozo mwingi upo ktk utumishi wa umma,mfano hata ikitokea semina ya daktari pale halmashauri ya manispaa ya bukoba utakuta anakwenda mfagiaji ambaye ni kabila moja na mganga mkuu ambaye ni mhaya.wenyewe kwa wenyewe wanabaguana utasikia huyu wa muleba,huyu wa karagwe na huyu wa maruku na yule wa kiziba.

Jaribu kuweka ushahidi acha kubwabwaja. Hivi umewahi kukaa mikoa mingapi hapa nchini ukiishi na wenyeji wa mikoa hiyo? Unaweza kutwambia pia wewe ni mwenyeji wa wapi?
 
Jaribu kuweka ushahidi acha kubwabwaja. Hivi umewahi kukaa mikoa mingapi hapa nchini ukiishi na wenyeji wa mikoa hiyo? Unaweza kutwambia pia wewe ni mwenyeji wa wapi?

Wewe unataka ushahhdi gani?mimi nimekaa na hawa jamaa miaka 7 na kushuhudia kila aina ya uozo...picha ninayoipata harakaharaka wewe hukuwahi kutoka hata nje ya wilaya yako.wewe ni gamba.
 
kuna kila sababu sisi ijana na watanzania wote tukipe ridhaa chadema kiunde serikali mwaka 2015.ccm ni chama muflisi kilichoshinda kuzuia ubaguzi wa aina zote.hata vurugu za znz ni matokeo ya kuwa na serikali legelege yenye usalama wa taifa wanaolinda viongozi na kuwaacha raia wakiharishiwa maisha yao na wahuni wachache.yaliyotokea znz hata bukoba yaweza tokea.watanzania wasio wazawa wanabaguliwa kana kwamba wanyama.wamepachikwa majina mbalimbali yanayodharirisha utu wao,mfano wanaitwa wanyama anga yaan wanafananishwa na ndege.hali ipo hata ktk ajira.mfano halisi ni idara ya elimu sekondari ambapo afisa ana sera ya kuwapendelea walimu wazawa wa bukoba na kuwabagua walimu wa mikoa mingine.imishawahi kutokea mkuu wa shule wa rutunga alimshitaki mwalimu mkorofi kwa afisa elimu,afisa elimu baada ya kujua yule mwalimu ni mhaya alimlaumu yule mkuu wa shule kwa nin amemshitaki huyu mwalimu.asema lazma tuwalinde vijana wetu angekuwa si mhaya tungemuadhibu.hii ndio serikali ya ccm yenye watendaji wabaguzi huku ikibariki ubaguzi huo.tusipoiweka cdm madarakani 2015 tutazidi kujuta!!

wewe mwenyewe mbaguzi
 
KWELI KABISAA HAUNA MASHIKO....mleta uzi hajui hata kuweka paragraph masikini!

Wewe ndio walewale wenye libeneke la dhambi ya ubaguzi.Paragraph na madudu wanaofanya hawa jamaa zetu vina uhusiano gani?wewe ni mama koku nini?au muganyizi?
 
Nyinyi nyote mliotoa hoja kuunga mkono vitendo viovu vya ubaguzi hamuitakii mema nchi yetu.mna agenda ya siri fikra zenu hazina tofauti na wafuasi wa uamsho.Mlaaniwe na mshindwe kwa jina la YESU.
 
Oportunist2012 nadhani umetoroka wodi ya vichaa Milembe,thread yako inavutia lakini ujumbe wake pumba tupu.Unaposema Bukoba,na ukasema tusipoipa cdm madaraka tumekwisha,je mikoa ya Dodoma,Singida mbona magamba full na huko vp,acha mawazo ya kichaa km una ishu na Wahaya sema ila siyo longolongo
 
Back
Top Bottom