The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,139
Nawasalimu kwa jina la JMT na Kazi inaendelea..
Ni hivi,awamu ya 5 mahusiano ya Tanzania na Juiya ya Kimataifa yalitetereka Sana hadi kupelekea washirika wa Maendeleo kujitoa na kususa mfano ni Tanzania kuondolewa kwenye mpango wa MCC ambapo,Tzn Tulikuwa tunapokea zaidi ya dola za marekani mil.700 kwa ajili ya miradi mbalimbali ya elimu, miundombinu,umeme,maji nk kutoka serikali ya Marekani kupitia Millennium Challenge Corporation-MCC.
Hata hivyo baada ya Mabadiliko ya uongozi na kuingia Rais Samia ameboresha Sana mahusiano kiasi cha kupelekea washirika waliosusa na kujitoa kurudi tena kufadhili Tzn kama Denmark na Nchi nyingine za Nordic,WB,IMF nk..
Sasa USA imetangaza kuanza tena kwa mpango wa kuboresha Elimu na Lishe kwa watoto wa shule za msingi.Hope kabla ya 2025 Tzn itakuwa imerudishwa kwenye Mfuko wa MCC.
Ikumbukwe kwamba Tzn ilikuwa inapokea fedha nyingi kuliko Nchi zote za Afrika ndani ya MCC.Kupitia hizo pesa serikali ilijenga barabara ya Songea-Mtrwara,Tunduma-Sumbawanga,daraja la Malagarasi,Umeme Kigoma nk .
My take,
Mbowe,Lisu,Lema na Chadomo wenzao is insignificant na hakuna anaewasikiliza huko Duniani wanakopiga makelele.
Ni hivi,awamu ya 5 mahusiano ya Tanzania na Juiya ya Kimataifa yalitetereka Sana hadi kupelekea washirika wa Maendeleo kujitoa na kususa mfano ni Tanzania kuondolewa kwenye mpango wa MCC ambapo,Tzn Tulikuwa tunapokea zaidi ya dola za marekani mil.700 kwa ajili ya miradi mbalimbali ya elimu, miundombinu,umeme,maji nk kutoka serikali ya Marekani kupitia Millennium Challenge Corporation-MCC.
Hata hivyo baada ya Mabadiliko ya uongozi na kuingia Rais Samia ameboresha Sana mahusiano kiasi cha kupelekea washirika waliosusa na kujitoa kurudi tena kufadhili Tzn kama Denmark na Nchi nyingine za Nordic,WB,IMF nk..
Sasa USA imetangaza kuanza tena kwa mpango wa kuboresha Elimu na Lishe kwa watoto wa shule za msingi.Hope kabla ya 2025 Tzn itakuwa imerudishwa kwenye Mfuko wa MCC.
Ikumbukwe kwamba Tzn ilikuwa inapokea fedha nyingi kuliko Nchi zote za Afrika ndani ya MCC.Kupitia hizo pesa serikali ilijenga barabara ya Songea-Mtrwara,Tunduma-Sumbawanga,daraja la Malagarasi,Umeme Kigoma nk .
My take,
Mbowe,Lisu,Lema na Chadomo wenzao is insignificant na hakuna anaewasikiliza huko Duniani wanakopiga makelele.