Baada ya Rais Samia kuimarisha mahusiano ya kimataifa, USA Kumwaga mabilioni ya kusaidia Elimu na Lishe Nchini

Asante upe muda wakati.. Nikiwa sipo utakuja kuuona ukweli kama bado tongotongo hazinakutoka
Na hapa vipi?👇

Screenshot_20220208-163030.png
 
Bora msaidiwe saizi Ili vizazi vyenu visije kushindwa kama nyie,Kama mumeshindwa kumbe wawaache mfe?👇👇

View attachment 2112759

View attachment 2112760
Ndio ujinga wenyewe huu ..ni watu wa namna gani? Tuna akili za namna gani? Ni taifa la aina Gani miaka 60 ya uhuru bado mna matatizo ya namna hii? Kama una akili timamu jiulize, sababu hata Dubai haijajengwa kwa miaka 60, miaka 60 ni mingi mno kuwa na matatizo ya namna hii..!!!
 
Which one is better to live your people die just to hide your resources or give up in order to save your people to secure life. Jk aliweza kuajiri kila mwaka kwa sababu ya huo mpango. Huoni jpm alikuwa anaua watu kisa ubabe wake usio na maana mpaka ikapelekea five years no ajira yeye anasisitiza umachinga tu.
Mkuu kunawatoto au watu walikufa njaa hivi karibuni au umepitiwa tu.
 
Mkuu kunawatoto au watu walikufa njaa hivi karibuni au umepitiwa tu.
Kufa ni kukosa ajira na pesa za kujikimu wakati unadeserve unlike wakati wa jk ambapo ilikuwa ni raisi kuaccess ajira kwa wawekezaji au serikalini. Kufa siyo lazima kwa njaa
 
Huo sio msaada ni sehemu ya faida wanayopata kwa kutufanya dampo la uchafu wao wasiouhitaji tena na ambao hawana mahali pa kuupeleka
Kuanzia enzi za magari jaba mpaka leo unajua wamepiga pesa kiasi gani?
Tujaribu kukataa kuwa dampo lao uone watakavyopata tabu... Open your mind
 
Nawasalimu kwa jina la JMT na Kazi inaendelea..

Ni hivi,awamu ya 5 mahusiano ya Tanzania na Juiya ya Kimataifa yalitetereka Sana hadi kupelekea washirika wa Maendeleo kujitoa na kususa mfano ni Tanzania kuondolewa kwenye mpango wa MCC ambapo,Tzn Tulikuwa tunapokea zaidi ya dola za marekani mil.700 kwa ajili ya miradi mbalimbali ya elimu, miundombinu,umeme,maji nk kutoka serikali ya Marekani kupitia Millennium Challenge Corporation-MCC.

Hata hivyo baada ya Mabadiliko ya uongozi na kuingia Rais Samia ameboresha Sana mahusiano kiasi cha kupelekea washirika waliosusa na kujitoa kurudi tena kufadhili Tzn kama Denmark na Nchi nyingine za Nordic,WB,IMF nk..

Sasa USA imetangaza kuanza tena kwa mpango wa kuboresha Elimu na Lishe kwa watoto wa shule za msingi.Hope kabla ya 2025 Tzn itakuwa imerudishwa kwenye Mfuko wa MCC.

Ikumbukwe kwamba Tzn ilikuwa inapokea fedha nyingi kuliko Nchi zote za Afrika ndani ya MCC.Kupitia hizo pesa serikali ilijenga barabara ya Songea-Mtrwara,Tunduma-Sumbawanga,daraja la Malagarasi,Umeme Kigoma nk .

My take,

Mbowe,Lisu,Lema na Chadomo wenzao is insignificant na hakuna anaewasikiliza huko Duniani wanakopiga makelele.

View attachment 2112706

View attachment 2112707

View attachment 2112775
Hivi mnasomaga vitu kama hivi 👇kweli,maana either you are very misinformed au you are a NWO moron.Unashabikia utadhani jambo unalo ongelea ni zuri sana hivii..........!Hizi ni agenda ovu za enslavement, domination na kutuibia resources mkuu,why are you so blind,dah!Kazi kweli kweli.






 
Huo sio msaada ni sehemu ya faida wanayopata kwa kutufanya dampo la uchafu wao wasiouhitaji tena na ambao hawana mahali pa kuupeleka
Kuanzia enzi za magari jaba mpaka leo unajua wamepiga pesa kiasi gani?
Tujaribu kukataa kuwa dampo lao uone watakavyopata tabu... Open your mind...Japan inatuhitaji sisi kuliko sisi tunavyoihitaji
 
Jinsi unavyopokea mabilioni ya mcc na ndiyo unavyotoa mabilioni ya rasilimali za taifa kwenda mcc.

There is no free lunch
Mwenye uhakika wa kupata mlo kila siku atabeza juhudi ambazo zinafanywa ili kuleta uwekezaji nchini. Uwekezaji ukisimamiwa vizuri utaongeza nafasi za ajira na mzungunko wa pesa nchini. Lazima tuwe na mtazamo chanya ili tufanikiwe- mara nyingi mtazamo hasi hausaidii sana maendeleo ya mtu mmoja mmoja wala Taifa. "No free lunch"- Waingereza wana wawekezaji wengi toka Uchina na Arabia.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT na Kazi inaendelea..

Ni hivi,awamu ya 5 mahusiano ya Tanzania na Juiya ya Kimataifa yalitetereka Sana hadi kupelekea washirika wa Maendeleo kujitoa na kususa mfano ni Tanzania kuondolewa kwenye mpango wa MCC ambapo,Tzn Tulikuwa tunapokea zaidi ya dola za marekani mil.700 kwa ajili ya miradi mbalimbali ya elimu, miundombinu,umeme,maji nk kutoka serikali ya Marekani kupitia Millennium Challenge Corporation-MCC.

Hata hivyo baada ya Mabadiliko ya uongozi na kuingia Rais Samia ameboresha Sana mahusiano kiasi cha kupelekea washirika waliosusa na kujitoa kurudi tena kufadhili Tzn kama Denmark na Nchi nyingine za Nordic,WB,IMF nk..

Sasa USA imetangaza kuanza tena kwa mpango wa kuboresha Elimu na Lishe kwa watoto wa shule za msingi.Hope kabla ya 2025 Tzn itakuwa imerudishwa kwenye Mfuko wa MCC.

Ikumbukwe kwamba Tzn ilikuwa inapokea fedha nyingi kuliko Nchi zote za Afrika ndani ya MCC.Kupitia hizo pesa serikali ilijenga barabara ya Songea-Mtrwara,Tunduma-Sumbawanga,daraja la Malagarasi,Umeme Kigoma nk .

My take,

Mbowe,Lisu,Lema na Chadomo wenzao is insignificant na hakuna anaewasikiliza huko Duniani wanakopiga makelele.

View attachment 2112706

View attachment 2112707

View attachment 2112775
Niujinga mtupu Nchi Kama Tanzania kusherekea kupewa msaada wa chakula cha lishe, Wakati tuna aridhi yenye rutuba ya kutosha kuotesha kila aina ya chakula.Mwambieni Samia wenu hatutaki msaada wa chakula tunataka ashushe bei ya pembejeo na mbolea tujilimie chakula chetu,akuna Nchi au kaya iliyowahi kuendelea kwakutegemea msaada wa chakula,Samia ahimize Watanganyika tuchape Kazi, Kama mtangulizi Wake Magufuli alivyofanya Miaka 5 ya Magufuri njaa alipungua sana na utapiamlo,Misaada ya chakula apeleke Zanzibar huko kwa wala ulojo,Mungu ubariki Kazi ya mikono Yako Sio ya msaada,kutegemea msaada kila kitu Kwanza ni laana.
Nawasalimu kwa jina la JMT na Kazi inaendelea..

Ni hivi,awamu ya 5 mahusiano ya Tanzania na Juiya ya Kimataifa yalitetereka Sana hadi kupelekea washirika wa Maendeleo kujitoa na kususa mfano ni Tanzania kuondolewa kwenye mpango wa MCC ambapo,Tzn Tulikuwa tunapokea zaidi ya dola za marekani mil.700 kwa ajili ya miradi mbalimbali ya elimu, miundombinu,umeme,maji nk kutoka serikali ya Marekani kupitia Millennium Challenge Corporation-MCC.

Hata hivyo baada ya Mabadiliko ya uongozi na kuingia Rais Samia ameboresha Sana mahusiano kiasi cha kupelekea washirika waliosusa na kujitoa kurudi tena kufadhili Tzn kama Denmark na Nchi nyingine za Nordic,WB,IMF nk..

Sasa USA imetangaza kuanza tena kwa mpango wa kuboresha Elimu na Lishe kwa watoto wa shule za msingi.Hope kabla ya 2025 Tzn itakuwa imerudishwa kwenye Mfuko wa MCC.

Ikumbukwe kwamba Tzn ilikuwa inapokea fedha nyingi kuliko Nchi zote za Afrika ndani ya MCC.Kupitia hizo pesa serikali ilijenga barabara ya Songea-Mtrwara,Tunduma-Sumbawanga,daraja la Malagarasi,Umeme Kigoma nk .

My take,

Mbowe,Lisu,Lema na Chadomo wenzao is insignificant na hakuna anaewasikiliza huko Duniani wanakopiga makelele.
 
Huo sio msaada ni sehemu ya faida wanayopata kwa kutufanya dampo la uchafu wao wasiouhitaji tena na ambao hawana mahali pa kuupeleka
Kuanzia enzi za magari jaba mpaka leo unajua wamepiga pesa kiasi gani?
Tujaribu kukataa kuwa dampo lao uone watakavyopata tabu... Open your mind...Japan inatuhitaji sisi kuliko sisi tunavyoihitaji
Kila kitu mna pinga afu hakuna mlicho na Cha kuonyesha
 
Inashangaza kwa Taifa letu kipimo cha uongozi bora ni misaada tunayopewa na wazungu.

Hivi kwanini hao wazungu wanalazimisha kutusaidia??

Kuna faida gani wanapata maana naamini misaada hiyo sio bure kwani hao sio ndugu zetu na hata huko kwao wana maskini pia.
 
MCC hawavuni rasilimali zetu, sasa zinaendaje kwao?
Wanaovuna rasilimali za Tanzania wanauza China.
Wavunaji ni Watanzania wazawa.
Madini ya viwandani, soko ni China.
Magogo, soko ni China.
Majongoo Bahari, soko ni China.
 
Hapa sasa naweza kuamini kuwa Makonda kweli anatafutwa japo kimiyeyusho na kwa kuzugazuga ...

... of coz kibinadamu tunaelewa ni sawa na wewe uwe na bangi mfukoni halafu ukamatwe na Polisi then akwambie jisachi mwenyewe ...

... lazima ujipapase tu kwa kuzuga lakini mfukoni hufiki mpaka atakapo amua kukusachi yeye mwenyewe

Ila mambo yenyewe ndio kama hivi mwaka huu hachomoki atanyea debe take asitake hiyo ndio huwa hatma ya majigambo ya udhalimu wa utu wa watu.
 
Hao mabeberu kutusaidia kwenye ishu kama ya umeme, reli hizo hawataki kbsa ila kuwekeza sehemu pesa inayeyuka km upepo ndio wanapenda
 
Inashangaza kwa Taifa letu kipimo cha uongozi bora ni misaada tunayopewa na wazungu.

Hivi kwanini hao wazungu wanalazimisha kutusaidia??

Kuna faida gani wanapata maana naamini misaada hiyo sio bure kwani hao sio ndugu zetu na hata huko kwao wana maskini pia.
Ni kipimo ndio Kwa sababu hatuna mtaji, teknolojia na rasilimali watu..Tuna mali ila maskini kwa sababu ya kukosa hivyo vitu hapo juu..

Hiyo misaada inatujengea uwezo taratibu.
 
Back
Top Bottom