Baada ya ng'ombe toka Kenya sasa Wakenya wanaleta ng'amia

Geza Ulole

JF-Expert Member
Oct 31, 2009
59,219
79,511





MY TAKE
Hawa wapumbavu wakiachwa watasababisha migogoro kati ya Wakulima na Wafugaji imagine ngamia 89 wanaswagwa kwa njia za vichochoro! Hii si mgogoro unatafutwa kwa mazao ya wakulima? Ni vizuri uhamiaji wameingilia kati, wacha mahakama iamue hili!
 





MY TAKE
Hawa wapumbavu wakiachwa watasababisha migogoro kati ya Wakulima na Wafugaji imagine ngamia 89 wanaswagwa kwa njia za vichochoro! Hii si mgogoro unatafutwa kwa mazao ya wakulima? Ni vizuri uhamiaji wameingilia kati, wacha mahakama iamue hili!

Who hurt you?
 





MY TAKE
Hawa wapumbavu wakiachwa watasababisha migogoro kati ya Wakulima na Wafugaji imagine ngamia 89 wanaswagwa kwa njia za vichochoro! Hii si mgogoro unatafutwa kwa mazao ya wakulima? Ni vizuri uhamiaji wameingilia kati, wacha mahakama iamue hili!


Kuna watu wenye akili timamu wa kushirikiana nao. Lkn siyo huyu jirani.
 
Eroo long'ui, minyi! Kwani nyasi ulipanda wewe?


2833755_FB_IMG_1612420221935.jpg
 
Hatujafungua nchi kijinga. Wee kundi lote hilo unaliswaga kuelekea wapi, wakati hata vibali halali huna.
Nadhani wanaanza kutesti kina cha maji kama alivyosema mama. Kwa taarifa yao, hapa kuna mkono wa nungwi, ukitesti kwa miguu yote umekwenda na maji.
 
Kwa nyuzi kama hizi kina MK254 na wenzie kina Tony254 na Teargas hauwezi wapata

Ni kweli nyuzi kama hizi huwa hata sizifungui, mkamate ng'ombe mara ngamia, mchome vifaranga na sijui vitu gani hivyo kisha mje kutambia humu halafu utegemee niseme nini, binafsi nilishawazoea mlivyo majitu yaliyojichokea kwa chuki, wivu, uzembe na umaskini uliokubuhu ile siku mlikamata wamama wa Kimaasai kutokea Kenya wamekutana vikoba na wamama wa Kimaasai wa Tanzania tena huko huko wilaya ya mpakani ambapo kunaishi wamaasai, kabila ambalo pande zote mbili wameishi kama ndugu hata baada ya kufanyiwa unyama na mzungu wa kuwagawa kwa misingi ya kuwachorea mpaka, sasa mkoloni mweusi ndiye anapambana kuwagawa kabisa na kupandikiza chuki baina yao.

Tangu hilo la hao wamama wa Kimaasai, ni wazi hamuwezi kuendana na jirani yeyote mlishavurugwa, itabidi muachwe kama mlivyo, sema mama Suluhu anajaribu kurekebisha lakini atajichokea sana mama, kwanza wenyewe ndani huko mlishaanza kumchosha na vibweka vyenu.
 
If that will teach u foools that law and orders should be abided! Yes lipa fines ama choma hizo ngamia! Mbona msiingize hizo ngamia kwa shamba ya Kunyatta ama Ruto?
Yes CEO geza ulale I would have preferred you buy ze ngamiaz and ship to ze plant in subawanga.
 
Ni kweli nyuzi kama hizi huwa hata sizifungui, mkamate ng'ombe mara ngamia, mchome vifaranga na sijui vitu gani hivyo kisha mje kutambia humu halafu utegemee niseme nini, binafsi nilishawazoea mlivyo majitu yaliyojichokea kwa chuki, wivu, uzembe na umaskini uliokubuhu ile siku mlikamata wamama wa Kimaasai kutokea Kenya wamekutana vikoba na wamama wa Kimaasai wa Tanzania tena huko huko wilaya ya mpakani ambapo kunaishi wamaasai, kabila ambalo pande zote mbili wameishi kama ndugu hata baada ya kufanyiwa unyama na mzungu wa kuwagawa kwa misingi ya kuwachorea mpaka, sasa mkoloni mweusi ndiye anapambana kuwagawa kabisa na kupandikiza chuki baina yao.

Tangu hilo la hao wamama wa Kimaasai, ni wazi hamuwezi kuendana na jirani yeyote mlishavurugwa, itabidi muachwe kama mlivyo, sema mama Suluhu anajaribu kurekebisha lakini atajichokea sana mama, kwanza wenyewe ndani huko mlishaanza kumchosha na vibweka vyenu.
fuata sheria za nchi unayoenda pumbavu wewe usimamizii wa sheria zilizopo Tanzania ndo zinazuia cattle rustling mpaka wa Tanzania na kenya la sivyo kungekuwa hakukaliki kama lawless Karamajong and west Pokot! hatuwezi kuwaruhusu muingize mifugo yenu tanzania as if Tanzania is a no man land! that will never happen! BTW nauliza, mbona hizi ngamia hazikuenda shamba la Uhuru Taita Taveta (over 30,000 hectares)? ina maana wavunifu wa sheria wanajua sheria ila ujeuri sio? ni mwendo wa fine au tunapiga mnada hiyo mifugo kama sheria zinavyosema!
 
Back
Top Bottom