Hivi ataendelea kuivaa ile Scarf?
Mbitingoja nimuite Inna !
"Mwigulu alikuwa na nafasi ya kuwa shujaa, mara nyingi tu. Mara zote ambazo mauaji yalifanyika, watu walipotea na mamlaka ya uteuzi ikamfunga mikono, alipaswa kujiuzulu kwa sababu kama umepewa kazi na unakwazwa katika kuifanya basi hiyo kazi haina maana. Timing."
Baba ubaya ni nomaaaBora alivyongojea kutumbuliwa maana alijijuwa kuliko angetaka kujiuzulu wangekuwahi fasta na hata kama angefanikiwa angejiweka nafasi mbaya zaidi na hata kupotezwa kabisa kwenye ramani maana baba hakubali kushindwa na wanawe
Ngoja tuone, tusubiri siku atakayojitokeza kwa mara ya kwanza baada ya hili timbwili.Hivi ataendelea kuivaa ile Scarf?
Hakika! Ni kweli tupu
Eti february maropeYaliyopita si ndwele tugange yajayo..
Ushauri huu nadhani sasa ni wa kumpa Muheshimiwa sana kutoka Bumbuli, February Marope.
Maana ndiye aliyebaki kwenye list ya "out"
kinadharia ni rahisi sana kama usemavyo, practical wise inaweza kuwa tofauti sana"Mwigulu alikuwa na nafasi ya kuwa shujaa, mara nyingi tu. Mara zote ambazo mauaji yalifanyika, watu walipotea na mamlaka ya uteuzi ikamfunga mikono, alipaswa kujiuzulu kwa sababu kama umepewa kazi na unakwazwa katika kuifanya basi hiyo kazi haina maana. Timing."
yule anayefuata baada ya kuzaliwa December?Bado Yule Kaka Yake Na February,yajayo Yanafurahisha Uko Tayari?