Ahahahahaaaaa mkuu uko makini sana na avata za watoto watamuEster kwenyw pic ni wewe?
Angewawahi akajiuzuku angejizolea bonge la u staa ila kwa sasa anatia huruma."Mwigulu alikuwa na nafasi ya kuwa shujaa, mara nyingi tu. Mara zote ambazo mauaji yalifanyika, watu walipotea na mamlaka ya uteuzi ikamfunga mikono, alipaswa kujiuzulu kwa sababu kama umepewa kazi na unakwazwa katika kuifanya basi hiyo kazi haina maana. Timing."
AnatamanishaEster kwenyw pic ni wewe?
Tusubiri maana kipindi cha pili kimeanza..Yaliyopita si ndwele tugange yajayo..
Ushauri huu nadhani sasa ni wa kumpa Muheshimiwa sana kutoka Bumbuli, February Marope.
Maana ndiye aliyebaki kwenye list ya "out"
mkuu unahama kwenye mada...Ester kwenyw pic ni wewe?
Huko jimboni safari hii Kishoa atamgalagazaMwigulu tulimwambia humu, azungumze kama Waziri akaamua kunyamaza ili asijiharibie ndoto za Urais. Sasa amekosa sympathy ya wananchi na chamani huko sasa hivi anaoga matusi tu.
Naomba ile ID ya zamani, nisije nikarudia mambokumtegemea Mungu kuna faida kubwa
Yeye mwenyewe muuaji! Anapenda kusikia adui wake wa kisiasa wanateswa na kuuwawa! Hivyo kwa matukio hayo ya kutisha katu asingeweza kujiuzulu!
bado kigwa ,marope et al
Kweli alichelewa mno na tatizo alishindwa kusoma alama za nyakati. Kwa heshima alipaswa awe ameshajiuzulu mapema kabisa badala ya kusubiri utenguzi"Mwigulu alikuwa na nafasi ya kuwa shujaa, mara nyingi tu. Mara zote ambazo mauaji yalifanyika, watu walipotea na mamlaka ya uteuzi ikamfunga mikono, alipaswa kujiuzulu kwa sababu kama umepewa kazi na unakwazwa katika kuifanya basi hiyo kazi haina maana. Timing."
Yeye mwenyewe muuaji! Anapenda kusikia adui wake wa kisiasa wanateswa na kuuwawa! Hivyo kwa matukio hayo ya kutisha katu asingeweza kujiuzulu!