Kuna mwanadada mmoja alikuwa anatoa ushuhuda Radio Safina, mh kasema makubwa.
kasema kuwa alikuwa amechukuliwa msukule na waziri mmoja na kazi yake usiku ilikuwa kuwanga, kwenda kuzima, kuua na kunywa damu za watu.
Siku moja akiwa katika mizunguko yake, akapita nyumba moja palikuwa panafanyika maombi, ndo akachanganyikiwa akajistukia anakimbia uchi, ndo watu wakasema mchawi mchawi wakampeka kuombewa. Baada ya hapo akakubali kuokoka na kueleza A to Z. Amesema ameua wajawazito, ameuwa hata wale watoto waliofiwa kwenye kumbi za Disco Dar.
Alikuwa anakaa kwenye Jumba la Waziri mmoja Dar. huyo dada anaendaga kwenyekumbi za disco, anakuwa mzuri na wanaume wanampapatikia. Mwanaume akimchukua kwenda kulala nae, huyo mwanaume anapelekwa kuzimu
Nawaambieni kuwa Mungu yupo, na Anaweza kufanya maajabu. Wanadamu tuache dhambi na kusali.
kasema kuwa alikuwa amechukuliwa msukule na waziri mmoja na kazi yake usiku ilikuwa kuwanga, kwenda kuzima, kuua na kunywa damu za watu.
Siku moja akiwa katika mizunguko yake, akapita nyumba moja palikuwa panafanyika maombi, ndo akachanganyikiwa akajistukia anakimbia uchi, ndo watu wakasema mchawi mchawi wakampeka kuombewa. Baada ya hapo akakubali kuokoka na kueleza A to Z. Amesema ameua wajawazito, ameuwa hata wale watoto waliofiwa kwenye kumbi za Disco Dar.
Alikuwa anakaa kwenye Jumba la Waziri mmoja Dar. huyo dada anaendaga kwenyekumbi za disco, anakuwa mzuri na wanaume wanampapatikia. Mwanaume akimchukua kwenda kulala nae, huyo mwanaume anapelekwa kuzimu
Nawaambieni kuwa Mungu yupo, na Anaweza kufanya maajabu. Wanadamu tuache dhambi na kusali.