fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Nashauri sherehe za uhuru sasa zifanyike mara moja kwa miaka mitano, maana hazina tena maana, hatuwezi tena singizia ukoloni kushindwa kwetu kupata maendeleo. Sherehe hizo ni gharama kubwa zaidi ya dispensaries 100 huko vijijini, full equipped dispensaries.
Imepitwa na wakati kufanyiwa maadhimisho ya kitaifa kwa gharama kubwa vile, ibaki kwenye historia yetu tu.
Nawasilisha
Imepitwa na wakati kufanyiwa maadhimisho ya kitaifa kwa gharama kubwa vile, ibaki kwenye historia yetu tu.
Nawasilisha